Achaa tuu mkuu pesa ndo jibu la mambo yote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba naniluu akujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ifike hatua sasa tupige kura kati ya matunda yooote hapa.

lipi lililiwa kimasihara masihara kweli...

maana kila siku zinavosonga naona masihara yanazidi kuwa next level...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo visa vingi vya kutisha vimefuntwa na moderators sasa wale wageni hawajavisoma. Labda kama wanaona kwenye qoutes tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu.
Wewe ndio ungeanza kupata ajira walq usi gemtosa ila kwa hawa viumbe hawana uvumili kwao ni tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kan
Kanembwa Jkt
 
daah pole sana baharia,nimejikuta naumia na mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…