Ulitomba 2 in 1 ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba umekula 3some

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point, kujimwambafai kwingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pajama kaishusha
 
Means ulimuoa kabisa? Hongera bahari, vp kuhusu mkenya ligi iliishaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mwamba ametaja sana codes zote kujimwambafai kwa sana ila fresh tusonge mbele na Uzi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nifukue makaburi kidogo hapa...
Miaka kadha wa kadha.. nmemaliza form six
Nipo mwanza mwanza kwa brother.
Nakaa na magetoni kwake..nmepata ki tempo changu mahala napoteza mda nikusubir matokeo.
Bro kwa maisha ya pale chuo alikuwa hapiki so tulikuwa tumeweka bili ya msosi kwa mama muuza..bhasi maisha yanaendelea..
Siku moja ckwenda kibaruani so nikawa nipo tu magetoni nakula music na kufua fua..
Mida ya saa nne nikatoka zangu kwenda kupiga chai..
Nafika kwa mama muuza naagiza zangu chapati na chai ya maziwa ..ile ndo inafika mezani tu..anaingia bi Dada mmoja yuko fasta fasta..kaagiza roast maini na chapati..
Mama muuza anamjibu maini yapo bt chapati za kusubiri..
Bi Dada anaishiwa pozi mda sio rafiki anawahi pindi..
Kidume ikabid nifanye ukarimu wa kiume..
Nikamwambia Dada we chukua hizi..mi ntasubiri..
Bhasi mbibie akashukuru pale..akapewa chapati zangu akala akasepa..
Kesho yke tena ilikuwa inaangukia weekend jmoc alikuja pale mida ya asbuh tukaonana
Safari hii hakuwa yupo fasta ko tukasalimiana tu akasepa..

Ckuwahi kumuona tena may be kwa sababu ya ratba ya kibarua changu.. nlikuwa narudi jioni so ucku ndo naenda kula pale..
Siku moja mwishoni mwa mwezi nikawa nmeenda kujipongeza kidogo..
Nlikuwa kwenye ki bar kimoja kipo mitaa ya sweya ziwani..enzi hizo pako hot..ndo ka kiwanja ka kupotezea time weekend.
Nmeagiza zangu konyagi na Pepsi na maji kubwa natiririka mdogo mdogo
Huku navuta upepo wa ziwa...
Mara papu aningia Yule bi Dada anaingia..direct Hadi ziwani usawa wa maji huku anongea na simu very upset.. yaani inaoneokana kaghafirika sna anajibizana na mtu kwenye simu..
Kmaliza kaenda kwenye meza upande mwingine akasikilizwa kaagiza castle lager mbili..nikawa nazipimishia kwa mbali
Mda kidogo akawa kma ameangalia upande wangu..nikampungia kishikaji bt cjui hakuniona au ndo ivo yupo upset akawa ameuchuna...
Mi nikaendelea kula gambe mdodo..
Akanyanyuka tena akasogea karbu na maji ya ziwani akaanza kuongea na simu tena..
Ka dakika kumi ivi...akarudi tena mezani nikaona anazifakamia bia chapu..
Mi nikanyanyuka nikaenda zangu kupunguza maji.. wakati wa kurudi ikabid nifanye kupita kwenye meza ake nikampa hi pale..na
Nikampa na pole kwa kuwa na cku mbaya..
Nikamwambia kama vip ahamie pale kwangu Kuna pozi..
Nikabeba vinywaji vyake nikahamia navyo kwa meza yangu pale..
Mbidada kaja pale anaporomoka shit za kutosha about men.. yaani kila saa anasema "wanaume nyie ni mbwa tu.." mi kimyaaaaaa..namcheki tu..
Mara anachukua nyagi ana mix na castle anabugia tu..
Ghafla tu akawa kachangamka balaa..
Anaamka anacheza anarudi
Vyombo vinatiririka tu..
Nilkuja kustukia..ameenda kuçhezea
Maji ziwani..Mara mtu kajiachia pwaa kwenye maji..
Kwenda kumtoa kalowa chapa chapa..
Afu mtoto kapoteza
Ikabid nimkokote mpka mpka lodge palepale..kwa wanaopajua Gonzales watakuwa wameshajua mazingira..
Chukua room pale..
Itaendeleaa......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…