Naisubl mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah huu uzi kiboko ndio kwanza nimesoma mpaka 1K ila hii naiona kama kali kuliko, ukiusoma huu uzi unasahau mpaka kama maisha ni magumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Daaah! umeamsha hisia za wengi haswa.
Ndege wawili at a go? Hii funiko bovu aisee.

Big up sana
 


Napata shida kuamini hii story


Mtoto wa miaka nane wa kiingereza anakukiss tena mbele ya wazazi wake??

Nitakuwa wa Mwisho kuamini hii kitu aisee..
 
duuuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
 
tunakusubiri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha nami nilete yangu kidogo

Katika Harakazi za ajira yangu huwa tunasafiri sana hata kwa sasa nipo mkoani napambana na Sites.

Sasa mwaka juzi (2018) Mwezi wa Tisa nilikuwa na sites za arusha nilipata guest maeneo ya Shivaz inaitwa Deluxe ila baadae wana walikuja kunijoin wao walipata Sakina kwahiyo ikabidi nihame deluxe niende guest kule maeneo ya Sakina ipo upande wa kushoto kama unashuka ukiwa unatokea Huku town Ipo barabani kabisa kwenye ule mteremko kama wa Services road

Sasa Nje ya ile guest kulikuwa na Kijigrocery cha dada mmoja hivi mtu mzima
Siku ya pili toka nilipohamia pale nilikaa ndani usiku nikaona ngoja nitoke niende hapo kwenye grocery nikapige story

Ile nimefika nikakuta kuna mama mmoja mtu mzima hivi ila sio kiviile amejaa jaa
Basi kidume nikaa pembeni yake.
Sasa yule mama alikuwa ni kiongozi wa CCM pale arusha ila huwa anaishi Dar mara nyingi

Stories za unbishi zikaanza mimi nampigia chapuo Lema yeye anasema watamgaragaza 2020 ule ubishani ukatufanya tukazeana na kuanza kununuliana pombe

Pombe imekolea si nikamchombeza bhana goma likatiki ila kwa Sharti hawezi kulala kwenye ile Guest kama nataka basi twende kwake

Basi akaniambia kwanza twende tukanunue chakula kule mjini nje ya Night club Picnic kama sikosei ila muuzaji wa hapo pamapouzwa chakula ni Mwarabu sijuu muhindi aliniambia anachoma kiku vizuri

Tukaenda tukachukua msosi pale haoo mpaka kwake maeneo yale yale ya sakina ila upande wa Pili wa ile guest tukafika akafungua mlango hapo nipo na Ndinga ya Ofisini (sijui akili za pombe yaani nilijilaumu sana baada) mpaka ndani sebuleni akaniambia mwanae wa kiume mkubwa ameenda club pale yupo mdogo wa kike mumewe alikuwa kwenye makazi mengine ya Dar kwahiyo kidume nikaambiwa nisiwe na wasiwasi
Nikakaribishwa maji wa kuoga oga fresh gonga chipsi zetu na kuku kubaliza hao mpaka chumbani
Piga sana machine mule mama wa watu anapiga sana yowe la kimasai (aliniambia ni mmasai sijui muarusha)
Nikapitiwa na usingizi nashtuka hivi alfajiri basi piga machine tena kitu ya Morning glory then huyooo nikatoka nje akanifungulia geti nikasepa Hata namba ya simu hatukupeana na wala sikukumbuka kuchukua

Kufika lodge tukapokea maelekezo toka ofisini tuache sites za arusha maana vibali vilikuwa vinazingua tuende babati.
Kufika babati tukaunga mpaka kigoma kazi ya arusha iliyobaki ikaenda team nyingine kumalizia
Nilienda mwaka huu arusha nimekuta ile Grocery wamefunga na siwezi kwenda kwake kuomba namba maana aliniambia huwa mara nyingi anaishi Dar

Ule ujinga sirudii tena kwenda kulala kwa mwnanamke Simjuo alafu na Gari ya ofisini then mji wenyewe arusha....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua mwaka jana kipindi msiba wa mengi ndo upo hot, kabla hajaletwa kutoka nje kwa ajili ya mazishi, ikaingia text mida ya saa nane hivi kutoka kwa bi A....,huyu ni mama wa mapacha wa kiume anamume wake ila alikua girlfriend wangu wa kitambo mno, mwanzo nilipita nae ila ilikua kimasihara kabla hajaolewa na ulibidi nimuoe mimi

Nikamwambia siku natamani nikuvue uo ushungi nione walau nywele zako tu na kifua chako ulichokifunika(alikua anajistir muda wote) akanambia usijali ilo tu au na kingine nikamwambia labda kama kitakuwapo labda tukiwa ndani akacheka akasepa

Siku akanialika kwao ye anachumba chake cha nje alikua na mdogo ake ila siku iyo alisafiri,akanambia njoo unipe campany mdogo angu kasafiri,mi nikachukulia masiara nikamwambia nakuja ila nipo tu nimekaa,mpka ananmbia nafunga geti nikajua yupo siriaas,nikafungasha condom zangu chap nakumbuka zilikua zile za ladha ya strawberry salama , ni nyumba kadhaa tu mida ya saa sita iyo mtaa tuliii nikajisweka ndani

Mpaka naingia siamini mtoto wa kiume uoga uoga, naingia tu akanidaka denda denda wote tulikua vizur ktk french kiss, then tukaaa story story uku tunashikana shikana

Ikafika time nikamchojoa nikapiga mzigo na ndomu zile nilishangaa sana dudu alikupoa mpka ndomu zikaisha tatu,

Nikataka kupiga kavu akagoma katu na kilio juu akasema tufanye next day

Nikalala mpka saa kumi na moja maana watu wanaamka mida ile nami nikatoka uyoo

Naendelea.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea....

Kesho yake tena nikapak ndomu zangu nikaenda tena tukaenjoy sanaaa,nafikir ni zaid ya sana tukapanga mambo mengi siku iyo tukilal lisaa limoja tu ni kutifuana then kupetiana,

Nikaja safiri bila kumuaga nikaspend kama miaka kadhaa uko mwanza, nilivorud sikumtafuta tena na nmba alibadilisha,tukapotezana kabisaaa

Ndo mwaka juz nipo zangu mahala kitaa naguswa bega kugeuka namuona A... Nilishtukaa mnoo amepungua mnoo,nikagundua chap kwa kuscan huyu analea na kulea uku si mtoto mmoja maana alipungua mnoo, tukafurah kuonana

Piga soga sana ndo akafunguka ameolewa na anamapacha alisikitika sana kwanin sikumuoa nikachukua namba


Tukawasilianaaa mnoo kila jambo la familia yake ananiambia akataka avunje ndoa yake aje kwangu ciz mume wake amjali ana care hampi uduma ipasavyo

Siku zote sikumgusia habar yoyote ya kupasha kiporo

Inaendelea .........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea...

Ndo kipndi cha msiba wa mengi sms inaingia G kuna kitu cha muhim natak kukuambia,nikamuuliz nini akasema ngoj ntakuambia mi poa

Siku inayofuata akanipigia tukaongeaa muda wote anakumbushia ya zamani nikajua hapa kiporo kinatakiwa kupashwa,

Ktk story akanambia embu elewa basi wajua ninachohitaj kwako ndo tukapanga day, mumewe alikua safarini

Tukaplan loji flani iv kulikua na mvua mvua na ilikua chungu cha kwanza ndo kinaanza

Niligonga yule demu piga sana mzigo no ndomu round hii ,mpka saa mbil usiku akataka kulala ila mumew call zilikua nying akaona uduanzi,nikamviaha nguo zake alilalamika sana siku ile kwanin sikumuoa alilia mno,alilia kwanin ameisalit ndoa yake, nikambembeleza weee kumbe alikua na hamu ya kudeka nami nikampa haki yake

.
Tukasepa akarud kwake nami kwangu, tukaahidiana no sex tena maisha yote sijui kama itatimia, ni mrembo mnoo japo kazaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…