Chai nzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Inawezekana isiwe chai pia...kisa kama ili nilishakishuhudia sehemu.

Tulikuwa tupo tunafanya Kazi Fulani sehemu Fulani kwa muda kidogo tulikaa sehemu hyo. Sasa siku moja tupo tunapata masanga akaja Jamaa Fulani na demu wake..sehemu tuliyofikia kilikuwa ni lodge na bar. Basi driver Wetu akawa amemtamani kishenzi yule demu akatuambia huyu demu Lazima nimle..Kila mtu akashangaa...huyu vipi???

Basi bwana baada ya muda yule demu akawa kama pombe zimemuingia maana walikaa Mesa karibu na sisi. Akawa anaenda uhani Mara kwa Mara, driver akasema hapa hapa namaliza mchezo. Akaruambia nilivyomsoma Huyu demu nikimpa buku kumi hachomoi, basi demu ananyanyuka kwenda chooni driver na yeye akafuata nyuma hapo ni kama SAA Mbili hv. Kilichofuata Jamaa yake na yule demu alisubiria kama nusu SAA demu harudi..anaenda kumwangalia chooni...hayupo..akarudi akaanza kuleta Fuji.unasema demu wake kaibiwa kwa hyo Anataka kusearch lodge mzima chumba baada ya chumba..Muhudumu wa lodge akamwambia haiwezekani..baadae walinzi wa lodge wakaitwa Jamaa akatolewa kwa njee. Yule demu alilala na driver...ile ishu tulivheka sana asubuhi...na demu akawa demu wa driver kwa muda wote tuliokaa pale ila ilibidi tuame lodge driver asije akatolewa koromeo na jamaa .
 
Umenipotezea muda kusoma upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Driver haendi mbinguni sio kwa ukatili huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari sana Sheikh.
 
Wakuu nimepata janga jingine kuhusu mambo ya kula tunda kimasihara.. last time nilikula kofi baada ya kutaka kumkiss yule manzi...

Tarehe 29/12 /2019 niko kwenye mishe mishe zangu mjini natafuta pesa ya kula bata mwaka mpya nilikutana na manzi flani kwenye daladala za mbezi - mawasiliano. Hiyu dada alikua kavaa ushungi na ni mweupeee ana mwili kiasi..

Basi kwa macho yangu ya kibaharia nikamvua nguo kwa macho pale nikamtathmini jinsi atakavyokuwa akivua uke ushungi na baibui.. mate yakaanza kunitoka..
Nikaapa kabla mwaka haujaisha lazima nimvue mtoto huyo ushungi huo.

Basi jamaa aliyekuwa amekaa karibu na huyo dada akashuka .mimi nikaona huo ndio wakati muafaka wa mimi kutema sera zangu..

Nikahamia kwenye siti ya yule mrembo nikaanza story za hapa na pale.. yuke binti alikuwa na ushirikiano hadi nikahisi hili linaweza kuwa jini.. baada ya story mbili tatu nikaanza kumsifia kidogo yeye anacheka tu..
Tukafika mawasiliano tukashuka pamoja. Nikamuuliza anaenda wapi akasema anaenda anarudi ubungo kuna mtu ananenda kumuona.

Basi nikamuambia hapo ubungo ni karibu na mimi nnaenda njia hio hio kwa hio kama hatajali tutembee mdogo mdogo tuwe tunapiga story hata jua halikua kali kivilee. Mrembo akakubali.

Tumetoka mawasiliano tunatembea nikaanza kumpigisha story za uongo na ukweli (kipaji cha kusema uongo na kuunga story ninacho). Nikaanza kuzidi kumsifia anacheka cheka tu... nikamuuliza kama ameolewa akasema yuko single..
Nikaingiza story kuhusu wale waislamu wanaovaa kininja watu wanawatongozaje bila kuwaona sura..akawa ananielezea.
Basi nikamwambia natamani na mimi nimuone alivyo maana nguo alizovaa zinamfichia mengi.. akawa anacheka tu (hapa nikaona hizi ni dalili nzuri)..

Basi tulivyokuwa tunatembea alikua anapigiwa simu mara kwa mara .mwanzo alipokea akasema ndio anatoka mawasiliano.. baadae alikua anazikata zile simu.. hapo baharia nikasoma mchezo nikajua alikua anaenda kukutana na mwanaume..

Basi tumefika karibu na ubungo kuna kibao flani cha kanisa la pentekoste kinaelekeza upande wa kushoto ..nikamwambia kama vipi tupite hapa chini mara moja maana sasa hivi tayari tulishatoka jasho tukapumzike kidogo na mimi nipate nafasi ya kuangalia uumbaji wa Mungu .... akakubali akasema amesweti kinoma ndani..

Basi tukashuka ile njia ya kanisani.. sasa ukiwa unashuka ike njia kwa chini kuna bar then chini yake kuna guest house... tukafika pale nikamwambia tukate kona tuingie guest akaguna kidogo akasimama... nikamwambia tunaenda kupunguza joto hili then tunaendelea na safari..

Akawa anaangalia simu yake na missed calls zilizokuwepo... akawa anatafakari baadae akaizima simu mazima then akasema twende...

Tukaingia guest chap nikachukua chumba self cha 15k.. tukaingia akaniambia nifumbe macho avue nguo aende kujimwagia maji chap ili awahi mtu anayemuwahi ubungo..

Baharia nikafumba macho nikaangalia pembeni ..akavua nguo akaingia bafuni.. na mimi huko nyuma nikavua nguo chap ile anaanza kuoga na mimi huyoooo naingia bafuni...

Akajifunika macho mimi hapo mashine imesimama hatari..
aiseeh wakuu hizi baibui zinawafanya hawa madem wawe weupeee... yaani mtoto alikuwa na ngozi nyeupee lainiiii kama vile haishi nchi moja na sisi..
Nikamsifia nikamwambia kumbe baibui linaficha mambo mengi... nikamsogelea nikammwagia maji nikaanza kumuogesha... sasa akasimama vizuri ndio nikaanza kushuhudia uumbaji wa Mungu..

Mtoto alikua na msambwanda flani laini sana ambao huwezi kuuona akivaa baibui.. yaani mtoto ana maziwa flani makubwa kiasi... basi nikaanza kumuogesha mtoto huku analalamika anachelewa...

Baada ya kuogesha huku namshika shika kila kona ya mwili nikamrudisha bedi.. weka mtoto kifo cha mende kula vitu vyangu.... alikua na papuchi tight sana... halafu ile napiga tako 2 akazungusha miguu nyuma yangu akawa kama ananibana kwake na mikono amenikumbatia ananivuta kwake...
Mzee nilipiga mashine kama dk 5 wazungu hao... nikimuangalia mtoto hapo hapo mzuka wa kuunga cha pili ukaja..

Sasa bado nna mawazo ya kuunga cha pili.. nikasikia nje kuna mabishano makali.. nikatoka kitandani nikachungulia nje nikaona majamaa watatu wanabishana na yule muhudumu wa pale..

Machale yakanicheza.. nikamuona yule mazi kama vile anashtuka aliposikia zile sauti... na yeye akaja kuchungulia akasema mmoja wa wale watu ni mchumba wake ndio alikua anaenda kumuona ubungo anafanya kazi pale ni mjenzi wa flyover (engineer)..

Sasa akili ikapiga shoti hapo nikaona hapa nisipoangalia nnaweza kupakwa mafuta hapa... basi nikachukua simu chap nikampa dem yule nikamwambia aandike namba chap..maana mpaka hapo nilikua nnamjua jina lakini sina namba yake.. nikaona hapa kitumbua kimeingia mchanga kwahio hili game ntalimalizia siku nyingine..

Wale jamaa pale nje walikua wnazidisha fujo wanataka kuanza kupita chumba kimona baada ya kingine kukagua.. yule muhudumu alikua mbavu kidogo alikua anawazuia..

Sasa mimi nikatumia ile advantage ya ule.mzozo nikavaa nguo chap (huwa nikitoka gheto kwenda kwenye mishe mishe huwa nabeba nguo za kubadilisha na dawa ya meno maana usiku unaponikuta huwa namtafuta mwana aliye karibu nalala kwake) sasa hapo nikabadili nguo sikuvaa zile nilizoingia nazo.. yule manzi akavaa nguo zake chap lakini nikamwambia asiweke ushungi kichwani.

Ile guest ilivyo ina kama nyumba mbili ndani ya fensi ya ukuta.. basi nikijua kama wakifanikiwa kumpita muhudumu basi wataanza kukagua nyumba ya kwanza.. na mimi nilikua nyumba ya pili.

Nikamtoa ndani yule dem kupitia mlango wa nyuma wa ile nyumba ya pili... kashehe ikaanza ule ukuta una mlango mmoja ambao upo uelekeo wa wale jamaa wanapobishana.. basi nikaamua naruka ukuta.. nikimcheki yule manzi na yeye ananiangalia tu..
Sasa nikawaza kiruke zangu ukuta nitembee nimuache huyu manzi hapa maana tukishikwa mimi ndio nitakula kichapo hevi yeye ataishia kula makofi mawili matatu tu...
Lakini nikikumbuka ile show ya chumbani nikasema nikimuacha pale kwenye nitapoteza point zote.. basi pale ukutani kulikua na matofali walikua wanajengea.... nikamwambia apande pale ... mimi nikatangulia kupanda nikashuka upande wa pili nikamwambia aruke ntamdaka😂..

Akaruka kufika chini akateguka mguu... nikamkokota hivyo hivyo kibabe hadi sehemu tukakuta bodaboda... akapanda bodaboda ikaondoka.... na mimi nimaoanda boda nikasepa kwenye mishe zangu...

Sasa tar 31 nikaanza kuitafuta ile namba aliyoniachia ili nimuulize mambo yalivyoendelea na jinsi gani yuke jamaa alitudaka pale na lijuaje kama tupo guest...

Yule manzi alipokea simu.. akaniambia kumbe alipomwambia jamaa kuwa ndio anatoka mawasiliano jamaa akaanza kumsubili lakini alipoona anachelewa ndio jamaa akatoka pale site kwenye flyover akawa anakuja uelekeo wa mawasiliano ndio akatuona tunakatiza ule uelekeo wa kanisani.. akatufuata then akarudi site kutafuta washkaji wake ike watupe kipondo..

Akasema waliyamaliza na jamaa yake lakini jamaa bado ananitafuta kinoma noma.. nikaona isiwe taabu nikamblock nikafuta na namba...

Mwaka 2020 sitaki tunda la masihara tena maana kinachofuata nadhani matunda yatanitoa roho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…