Mtu mzima hovyoo, umekula ugali wa Shemeji sasa umekuja kuharisha humu
Haaaa haaa Yan hadi wakina shigongo wameibuka
We unasoma za wenzio tu hizo za kwako mbona husemi hata moja😬😬😬Baada ya kusoma baadhi ya comments. Nimegundua yafuatayo:
90% ya waliokula mademu, hawajala kimasihara. Demu unampanga week nzima au siku nzima, anakuja kwako unambembeleza na unamkula, huko sio kimasihara. Hapo umempanga na anajua anakuja kuliwa. Yani unakutana na demu mtaani kwako, unamuona, unampenda, unamtamani, unamuomba namba, anakupa, mnawekeana miadi, anakataa au kukubali, unampanga aje kwako, hadi muda mnakubaliana, unampikia, unamuandaa, unakula mzigo. Hapo sio kimasihara hata kidogo.
Kimasihara nilivyoelewa mimi, unakutana na demu papo kwa hapo na unakula mzigo baada ya hapo hakuna kujuana, hakuna kupeana namba wala kupigiana simu.
Kama mdau mmoja aliemla demu kwenye coaster anaenda moshi. Huko ndo tasfiri halisi ya kula kimasihara. Mnakutana kwa mara ya kwanza, mnakulana na baada ya hapo kwaheri.
BTW, leteni story, huku nikisubiri ya Mamndenyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan we umekaa miezi miwili unakula nyama ya kondoo sasa madudu yamejaa kichwani ndo ukaamua uje utusumbue humu😎😎Nimesoma posts nyingi ktk huu uzi
Naomba kuwauliza waungwana
Kuna wengi naona wanamuelezea mtu kuwa alikuwa
DEMU WA KAWAIDA SANA
sasa hapa
Nawaza Je ni ktk kipimo kipi hasa ulitambua kiwango cha uzuri wake
au ni wa kawaida kwa macho yako tu?
Nauza miwani za mbao ila baada ya huu uzi zimeisha Sasa hivi,
Pole mkuu.
Ulimbombo na ulindi
ungekufa kimasihara ungepataje wasaa wa kuja kutusimulia upangusa wako humu JF,Jamaica wee,Morogoro mkubwa wewe,India kabisa wewe,alaa
Mkuu usifanye mchezo na hiyo kitu inaitwa pangusa ni hatari na noma yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani uliloweka kavu kavu kwa barmaid, kuna lijamaa langu nalo fara kweli limekula barmaid kavu kavu sasa hivi lipo kwenye dozi ya kutibu gono
Nnamwaka wa 5 sasa sijatamani pombe wala sigara ila bado nashuhurika na pepo moja Naamini Mungu atalifukuzia mbaliVP sasa masihara huna tena... Pombe Je... Na sigara? Umesha kuwa mtu makini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi Mimi nilimaliza 2013 na tulifanya mtihani mwezi wa piliMwaka 2013 form 6 walimaliza mwezi wa pili. Ila kwa maelezo yako hapo naona unataka kutuaminisha kwamba mlimaliza mwezi wa 5... Hii chai haijakolea sukari vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zama za mawe za kati(Middle stone age)Ulimbombo na ulindi