Tunasubiri visa vingine vya mama zetu.
Baada ya vita vya Vietnam na US,yalifanyika mapatano ya kidiplomasia ili kuweka au kuhuisha uhusiano wa hizi nchi mbili.Moja ya makubaliano ilikuwa ni USA kutoa scholarship kwa vijana wa Vietnam ili wasome na kurudi kuendeleza nchi yao.

Kwa hiyo hii ilikuwa programme maalumu kwa vijana wa Vietnam ambao ama wamezaliwa na kukulia Vietnam au wanaishi USA kama wahamiaji,maana kuna wengine waliikimbia nchi enzi zile za Ukomunisti na USA ikawa inawapokea.So baada ya vita kuisha na wao wakaendelea kubaki hukohuko.Mmoja wa aina hii ya Scholarship ni First Asian-American Mayor John Tran Tuyen

So mabinti wa Vietnam wengi waliomba Scholarship hii,changamoto yao ni kuwa ilikuwa lazima wawe na programme ya mwaka mzima ya kujifunza Kingereza na baadae kuwa admitted katika vyuo vikuu vya Marekani.

Kingereza kiliwasumbua sana Wavietnam,mahali ambapo nilikuwa nafanya course yangu kulikuwa na centre ya kuwafundishia Wavietnam walio katika huu mpango wa USA.So tulikutana na mabinti hawa kwenye mambo yanayohusu international Students Affairs.
Kuna binti mmoja aliitwa Huon Twiin Chinh,alikuwa kwenye hii programme,mrembo kiasi chake mzaliwa wa Da Nang,Vietnam.Huyu alinizoea sababu tulikuwa tunakutana ama cafeteria au kwenye Buddhism Club,nilijiunga na club ya wanafunzi Wabuddha sababu nilitaka kufahamu dini ya wabudha na falsafa zao katika imani.

Club hii ikaniweka karibu sana na Huon,alikuwa na hobby ya hiking na kuendesha baskeli,akafanya na mie ninunue baskeli na viatu vya haking.Baadae akawa ameomba niwe namsaidia kingereza,ili afanye mitihani yake ya Special English Profiency for Vietnamese ajiunge na chuo.Basi nikawa mwalimu wake.

Nikawa nampa shule pale na home work zake akileta tunazicharanga sana.Akawa na furaha sana maana alipata na mtu wa ku-practise naye Kingereza.Mimi nilimsaidia tu bila kuwa na hisia yoyote,sababu wakati huo nilikuwa mgumu kidogo.

Tukaenda naye mpaka tukawa karibu sana,na mie nilikuwa off campus baada ya kukimbia "curfew" chuoni,so kachumba kangu kalikuwa mwendo wa kutembea tu toka Campus.Kingereza huwasumbua sana watu wa Asia,na huwapa stress sana kutokana na lugha zao kuwa tofauti na English na hata tu ile hali ya kutokuchangamana na Waingereza au watu wanaoongea Kingereza.Huyu mdada akawa analalamika,stress nyingiiii...basi mie ndio nikawa mfariji.

Tumeendaaa weee,mpaka akaja kufanya mtihani akafaulu na baadae kuwa admitted chuo.Alifurahi sana,basi siku akanialika twende hiking,kwenye mlima mmoja maeneo ya Campus,tukaenda hiking ilikuwa majira ya Spring,tukiwa kule tukawa tunafuata vile vibao vya hiking vinavyoelekeza uelekeo mkiwa mlimani kuwa mpo mita ngani na tahadhari kwa watu wenye magonjwa gani wanatakiwa wasizidishe hizo mita.

So tulifika mita kadhaa akasema kachoka,tupumzike maana anahisi kifua kubana na tunapozidi kwenda juu ata-suffocate.Basi mle hiking milimani huwa pia kwenye vituo vya kupumzikia wanaweka vifaa vya mazoezi kama vile open public gym,unakuta kuna watu wanafanya hiking wakifika hapo wanayoosha viungo.

Tukakaa hapo tukanyoosha viungo na story za hapa na pale mpaka kakiza kakaingia.Na ule mlima ulikuwa na Deers wa kutosha.Baadae tukakaa kwenye bench na story za hapa na pale...mara mtu anishike vidole?mara anipanguse jasho.Hapo kijana nikajua kazi ipo.

Baadae akashindwa kujizuia nikaona kanishika mkono kanisimamisha then akanikumbatia,akaanza kunibusu na kazi ikaaamka,mie nimekubwa na butwaa hasa jasho la hiking sikuhisi.Nikaunganisha pale romance romance...Tukaendelea weee!!mpaka nikazidiwa nikamlaza chini nifanye mambo.Kila nikijaribu inagoma...hawa watu wa Asia wanahifadhi ndogo sana huko chini.Sisi wa jando la bila ganzi hizi bidhaa zetu huwa zinatuna sana baaada ya jando.

Ilichukua muda sana pale purukushani ya kuingia inagoma...mpaka tukafurumushwa na vishindo vya Deers maana ilishakuwa kiza na tukadhani ni watu wanapita.Tumetoka pale mie nikarudi kwenye "Box Room" yangu ye akaenda hostel.

Hakuwa karidhika,baadae usiku akawa amenitafuta,tukaenda kupata chakula na akasema leo anadhani anaweza kuongozana nami mpaka kwangu.Nikajua hii kitu ipo kibra tayari...basi kufika box room nilichakaza sana,kwa mara ya kwanza Mvietnam anakutakana na mashine iliyoenda jando ya bila ganzi,kila akiangalia anaachama mdomo anasema mbona kubwa sana,anaigeuza huku na kule aamini,anasema wanaume wao wana vidude vidogo.

Toka nilipomuonjesha nikajuta,ikawa kama dozi,anataka kila siku na kila uchwao mpaka nikawa namkimbia.Ninadhani hatakuja nisahau maisha yake yote...japo sasa ni mtu mzima,lkn huwa anakumbuka hizo nyakati ana anaomba kama zirudie.Lkn basi ujana ni maji ya moto.

Niliposikia juzi huyu kijana wa bongo music anaimba anasema hataki kibamia anataka tango,nikakumbuka nyakati hizo...maana Huon alizoea kuniita "Cucumber" na mie nilimuita "kongsung"...Maana alinambia kwao Vietnam wanawake wenye sehemu za siri kubwa huitwa "Kongsung" ambalo ni jina la bwawa kubwa la samaki huko kwao,hivyo nikawa namwambia ukirudi kwenu atakayekuoa atakutana na "kongsung".

Uzi huu unanikumbusha uovu wa ujanani,na kwa kweli ile sehemu haizoeleki.Unaweza fanya leo ukasema nimekinai,lkn kesho ukiiona ipo kwenye mwili wa mwingine unaitamani wakati nyingine ipo ndani kwa mkeo umeiacha na unaweza kuila bila hata kuhonga.

Wakati wa uzee ni wa kutoa zaka na sadaka,ili tuwe na mwisho mwema,tufe kifo chema.Na mwenyezi Mungu atupe mwisho ulio mwema na kutusamehe makosa ya ujana wetu.Amina
 
Hahaaaaaaa kumbe we mlaini hivi yaani mtu anakuchukua na kukuinamisha haongei kitu duuuuu njoo pm nikusalimie Mamndenyi


Kilichosababisha aliwe kirahisi hvyo ni hasira za mume wake kuwa na mchepuko....ukikutana na mwanamke aliye na hasira na mume/guy wake...hata ndogo unapewa kilaini tu...eti anamkomoa guy wake..
 


Barafu the cucumber...... Lete story mkuu....lete story..naona ujana wako umechakata sana wa kimataifa ..
 
Hii sasa ndio imekaa kimasihara zaidi yaani bila neno lolote mtu kaliwa kimya kimya mpaka mkavunja kitanda?!!
Kuna kitu Boss wa mumeo alikuwa anakifahamu kuhusu maisha yenu ya chumbani aka tumia hiyo fursa kutimiza haja zake kingono.


Boss na yeye kwake kulikuwa hakuko sawa si umesikia Mleta story kasema alikuwa anamkojolea yeye tu na wakati mwingine zinakuwa nzito mpaka kama zina punje vile. Tena kasema alikuwa hamkojolei mkewe.

Huyu alikuwa na hasira na mumewe kuwa na Nyumba ndogo...ndo maana akaliwa kilaini hvyo
 
Hakika ulikuwa mchakataji wa kimataifa. Dunia haina usawa, maana wakati mwingine anahesabu makabila wewe unahesabu nchi ulizowahi kula matunda yake.
 
Hivi yule mwamba aliye tom b a kichaa aliishia wapi??yule sasa ndio kabeba huu uzi woote yaani

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni namba 1. Nimempea vyeo/nyota zote za gadafi
2. Yule mwana aliyetoka na sime usiku kumfuata demu wa rafiki yake aliyezingirwa na wana. Huyo nimempa nyota zote za fidel kastro
3. Ni yule msabato aliyekula mke wa mwalimu usiku wa saa 7 alipomfuata room kwake..huyu nimempa ukomando wa Carlos the Jackal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Ngoja nije na story hapa majuzi nilivyomla house girl wa jirani mwenye kichura mbinuko kimasihara
 
@mamadenyi kweli ndo ulivyonitenda hivi miaka yote tuliyoishi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…