Jana mitaa ya tatu nne usiku baada ya kutoka kula mtungi nimedrive home, packing kama unavyojua maeneo ya wazi mf .CCM, baada ya kujiridhisha nimeacha chombo vzr, Ile naondoka tu, nikasikia samahani Kaka. Nacheki Mama wa kati ya 30-35 mjamzito miezi 6 nilimuuliza.

Nikamwambia unasemaje mama mbona hapa saa hizi!, ni kijimtaa wanamopita watu kila baada ya dakk 2-3.

Nikasikia boy mmj anasema bro msaidie huyo. Nacheki madogo wa kitaani nawafahamu. Akili ikanipa basi wanamjua.

Huku nawaza kula tunda na mjamzito lilivyotamu(K ya moto). Lakini maadili yangu yananikataza,as if pana kitu, kinanambia kiumbe tumboni anasikia vyote mnavyoongea.

Akasema shida zake ikiwa ni njaa tu kikubwa, maskini ninatabia ya kununua nyama nikaitoa imekaangwa na ndizi. Akanishukuru Sana akanipa namba, sikumbuki nilivyo isevu. Naona tunda linakuja taratiiibu.

Nia ya kumla sina kabisa. Ukizingatia aliomba niende nae gheto. Chakula na vijicent nilivyompa viniache huru na yeye awe na amani. Tusifurahie kula tunda kimasihara,lakin tuangalie jinsi ya kusaidia watu tukikwepa kuwala warembo wetu, mkumbuke usemi ...'ukila utakiwa..' mwisho wa kunukuu.

Ipo siku mke wako, mtoto wako, dada ako ataliwa kimasihara.
 
Ulitumia ndom u
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Acha mke wa mtu kaka utakuja kuishia pabaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maza wa umri uo nisha mbooking kabisa naenda kula tunda ana 55 kanigawa ktk kt kiumri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio uongo mkuu, kuna stori unasoma kulingana na mazingira uliyopo unaiweka kiporo kwanza maada unaweza dhalilika hivihivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haa haa.... Ni noma sana leo nilikuwa nasoma post moja apa kwenye mwendokas nkaona jamaa ameanza kidinda noma.... Nkatoa kwanzaa nsije kuzalilika.... Kweli nilianzisa balaaa japo hawataki kunifungulia bann adi leo[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji33][emoji33][emoji33][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe haukuwa mtaalamu wa izo mambo ..uliingia kichwa kichwa..

Ila pole sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kesi yako ni sawa na uhujumu uchumi na utakatishaji fedha.
 
Mimi nipo kazini now nimefungua huu uzi nimeona hapana nitasoma baadae mamsap akiwa karibu. Maana unaweza kuaibika
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hivyo rafik ake ulimuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…