Iv kuna manzi aliyetoa ushuhuda wa kuliwa kimasihara?? Kama yupo comment no. ngapi??
 
Hahhahhaha. Watanzania tuendelee na kazi, na tuukuze uchumi wa nchi yetu hii pendwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukileta ushuhuda wa kula kimasihara tunaambiwa ni chai sasa ngoja baadae nishushe kitu nadhani kama chai itakuwa ya maziwa kaeni mkao wa kunywa
Asanteni
Achana na watu wenye gubu na wivu huku wakiwa hawajakua kimtazamo na kimaisha. Hawajakutana na mambo mengi ya kidunia kwa maana ya dunia yetu tunayoishi yenye visa na mikasa ya kushangaza.

Watu wenye hadithi zenye kula tunda kimasihara/kimzaha waendelee tu bila kujali wapuuzi wachache wanasemaje!

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli.
 
Wewe bwana utajua mwenyew kama ni chai au sio chai. Kama ni chai chukua hii miandazi unywee ushibe utulie acha watu walete ma burudaniView attachment 1325387

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Yaani hivi ndio inavyo kuwaga ??.. Maandazi yapo chini halafu eti wanajifanya kutumia mifuko kuvaa mikononi kama strategy ya kuki-protect chakula kisipatwe na bacteria wachafu ''!!!!

So ina maana hapo chini ni mahala salama kwa usafi kuliko hata mikono Yao ..... Hahaha Aise kweli Africa watu wengi baadhi ni misukule ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naishi mitaa fulani hapa Dar miaka kadhaa nyuma, katika eneo ambalo lilikuwa na nyumba kadhaa ndani ya uzio mmoja baada ya kumla yule single parent kimasihara, nilifanikiwa pia kumla kimasihara dada mmoja ambaye alikuwa akiishi kwa mmoja wa mpangaji; huyu dada alikuwa amemaliza chuo kimojawapo hapa nchini.
Nilikuwa nikimuona mara kadhaa huyu dada akisindikiza watoto asubuhi kwenda shule. Nyumba niliyokuwa nikiishi ilikuwa karibu kabisa na geti kubwa, hivyo nilikuwa nikimuona mara kadhaa akipita hapo.
Huyu binti mara nyingi alikuwa akipita akiwa amevaa ‘’night dress’’ na kujifunga khanga ama kitenge na alikuwa akionekana kama amechokachoka hivi. Kazi yangu ikawa kumwangalia tu na kummezea mate kila siku asubuhi nikiwa najiandaa kwenda kibaruani.
Siku ya tukio, Mei Mosi nikiwa nimepumzika nyumbani nikaona mama na watoto wake wakitoka nadhani kwa matembezi lakini huyu dada hakutoka. Nikiwa nawaza jinsi ya kufanya ili walau nipate wasaa wa kuongea naye, baada ya kama dakika kumi hivi huyu dada alitoka na nilisikia muungurumo wa bodaboda nje ya geti; nikaona hapa nishafeli. Nikatoka na kukaa nje karibu na kibanda cha mlinzi, nusu saa baadaye huyu dada alirudi ndipo nikajua kuwa alikuwa amekwenda sokoni, alipita akanisalimu kwa shikamoo iliyojaa heshima zote akiwa na mizigo yake na kwa bahati mbaya mfuko wa plastiki uliokuwa na viungo ukakatika na nyanya kadhaa zikaanguka, nikajisogeza na kumsaidia kuokota, alishukuru nikamsindikiza kwa maneno ukimaliza kupika unifuate nije kula, aliitikia sawa huku akitabasamu.
Muda wa saa saba nikasikia mlango unagongwa, nilipotoka nikakutana na huyu binti akiwa amebeba sahani iliyofunikwa kwa sahani nyingine, akasema nimekuletea chakula nimeona nikikuita uje kule usingekuja. Nikapigwa na bumbuwazi maana huyu binti wakati huu akiwa amevaa tshirt laini na jeans huku akitoka kijasho laini ndipo nikajua kuwa ana vishimo shavuni (dimpoz) na mwanya maridadi. Nikapokea chakula na kushukuru huku nikimkaribisha aingie ndani japo binti alikataa na kuniambia nikimaliza kula nimwite aje kuchukua vyombo. Nikaona hii ndio nafasi ya kupata namba, nikaomba namba na binti bila hiyana akanipatia namba. Nilirudi ndani na sahani ya chakula huku binti akirudi nyumbani kwao.
Nikiwa nakula nikamtumia whatsapp meseji ‘’chakula kitamu sana, umeweka nini?’’ binti akajibu ‘’sijaweka chochote, labda mate yangu’’ huku akiweka emoji za kutosha. Nikamjibu ‘’hayo mate kwenye chakula yapo hivi, yakiwa yenyewe yatakuwa matamu zaidi’’ binti akajibu ‘’mi sijui labda niulize waliowahi kuyaonja’’nikaona huyu anapoeleka lipo jambo analitaka nikaandika ‘’acha na mimi niyaonje leo ili nijue utamu wake’’binti akaandika na kufuta kwa muda kisha akaandika ‘’kula chakula haraka kabla mwenye nyumba hajarudi’’. Nilimaliza kula na kumtumia meseji ‘’ nimemaliza mrembo’’ binti akajibu ‘’nakuja kufuata vyombo’’.
Binti alikuja ila wakati huu alikuwa amevaa zile sketi pana wenyewe wanaita charanga na blauzi moja ya pinki, nilimkaribisha na kumkabidhi vyombo kisha nikauliza ‘’vipi naweza kuonja’’binti akaniangalia na kuniambia ‘’nilikuwa nakutania tu kaka yangu mate yangu hayana utamu wowote’’huku akiangalia chini, nilimsogelea karibu zaidi na kuchukua vile vyombo mkononi mwake na kuviweka mezani, nikamshika mikono kwa kupishanisha vidole (jigsaw fit) nikaona binti anabana vidole vyake na vyangu, nikaona tayari huyu hana upinzani. Nikaachanisha mkono wa kulia na kukamata sehemu ya nyuma ya shingo yake na kumsogeza na kumpelekea mdomo, binti hata hakusita akanipokea vizuri kwa dry kiss, kisha akafungua mdomo na kuanza kunipa denda kwa dakika kadhaa. Nikiwa naendelea kujilia mate simu yake ikaita hivyo akajitoa na kupokea ile simu, ilikuwa ya mama mwenye nyumba akimweleza kwamba atachelewa sana kurudi hivyo aandae kila kitu ikifika jioni. Hii ikawa habari njema sana kwangu. Tukaendelea na shughuli yetu maana yule binti ni mtaalamu hasa wa kula denda maana alikuwa anaingiza hadi ulimi mpaka kwenye matundu ya pua zangu.
Nikamsogeza kwenye sofa na kumlaza, vua kile blauzi nikakutana na vinyonyo vidogo na kuanza kushughulika navyo, binti akashusha skirt na kunitoa pensi huku akiunganisha na boxer na kukamata mhogo na kuuelekeza kwenye kitumbua. Tukamaliza pale baada ya dakika kadhaa binti akashauri tukaoge, tukapiga kingine bafuni kisha binti akaangalia mazingira na kutoka mle ndani.
Tuliendelea kuchati usiku ule na binti akaniambia anahitaji tena mhogo kesho yake asubuhi,japo ilikuwa siku ya kazi lakini nikahairisha kwenda kazini, nikajilia tena binti wa kanda ya ziwa. Nikawa najilia mzigo ndani ya uzio bila kupata tabu. Nimekukumbuka ‘’Cheupe dawa’’ wangu.
Huyu nilimfanyia mpaka mpango wa kazi kwenye ofisi moja hapa mjini. Waoaji wakamwona huko mjini wakaoa.

Tuendelee na majukumu yetu Watanzania
 
NILIVYOKULA TUNDA LA ASKARI POLISI KIMASIHARA

Na mimi baada ya kusoma uzi huu, kwa mara ya kwanza naomba nieleze namna nilivyokula tunda kimasihara.

Ilikuwa hivi;

Ilikuwa mwaka 2016 mwanzoni, ofisi yetu ilikuwa maeneno ya karibu na geti la kutokea hospitali ya Muhimbili(Maternity ward gate) ila sio muajiriwa wa Muhimbili Hospital. Ilikuwa jioni kama saa 10.45 jioni, nimetoka ofisini naelekea maeneo ya faya, niende zangu nyumbani ubungo. Nilipofika maeneo ya usawa wa geti la kutokea muhimbili(ninaendesha gari yangu), upande wa pilinilimuona mdada flani(tumuite Z, maana jina lake linaanza na herufi Z) hivi kaende hewani, anatembea yupo na mwenzake, nilipomtupia macho na yeye akaniona.

Kimasihara nikapaki gari pembeni alipokaribia usawa wa gari yangu nikawauliza

Mimi: Mnaeleke wapi?

Z: Tunaelekea Home

Mimi: Ok njooni niwaache faya Mimi naenda Ubungo Kupitia Buguruni.

Wakapanda wote, Z alikaa kiti cha Mbele.

Mwenzake na Z (sikuweza kujua Jina lake akasema atashuka faya apande gari za kimara) Yeye Z alisema anakaa Ukonga hivyo basi Buguruni patamfaa atapata usafiri wa kumfikisha Ukonga.

Kabla ya kufika Faya kulikuwa na kifoleni flan, mwezake na Z kashuka akatuacha. Nikavuka mataa nikaingia kituo cha mafuta kuongeza mafuta kiasi.

Mimi: Unaitwa nani mwenzangu, na unakaa wapi?

Z: Naitwa Z na ninakaa Ukonga ni Askari nipo Call Point (sijui maana yake)

Mimi: Ok, Mbona mwenzako ameshuka anaenda kimara ni nani yako,

Z: Tulikuja Kumsalimia Ndugu yake amejifungua ni jamaa zetu.

Mimi: Huku nimemkazia macho na kumuangalia serous usoni, nikamuuliza mbona kama haupo fresh, maana macho yake yalikuwa yamelegea kama amekula kungu.

Z: Ahha nipo fresh tu sijala halafu nasikia kama tumbo linauma hapa chini ya kitovu, naona kama siku zangu za hedhi zimekaribia.

(Baharia nikaona hapa sina Abilia lazima aliwe tu huyu, hawezi anza kusimulia habari za hedhi).

Z: yaani nasikia Njaa hatari

Mimi: Ngoja tutafute sehemu tupate Mchemsho, nikadrive gari mpaka Ilala just opposite na Amana Hospital tukasimama ktk Bar tukapata mchemsho wa samaki/kuku.

Mimi: Vipi ratiba yako ipo vipi,

Z: Ratiba kivipi tena, naingia kazini saa tatu usiku.

Mimi: Oky sasa ni saa 12 Jioni, unajua ulivyoniambia kuhusu tumbo kukuuma china ya kitovu, nikaona nikupe ka utabibu kiasi si unajua tuna na hali ya hewa inaruhusu( siku hiyo kulikuwa kama kuna mvua kiaina kiasi).

Z: Akacheka, wewe yaani tumekutana hata dk 45 hazijapita unataka mambo.

Mimi: (Baharia nikajua nipo final stages ya kula tunda) Nikamjibu, yaani ilitakiwa within first 25 minutes tuwe kitandani na goli moja hivi.

Z: Unamasihara sana

Mimi: Nipo serious

Z: Utanipeleka Ukonga

Mimi: Si umeona nimeweka mafuta kabisa ktk gari, maana nilijua lazima baada ya kula tunda lazima nikupeleke.

Z: Makubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mimi: So upo tayari au, tuwahi twende zetu tukapumzike then nikupeleke Ukonga.

Z: Sawa ila saa mbili usiku tuwe tayari

Mimi: Kibaharia directly ktk chimbo langu LPH Buguruni Lodge,

Lipia Chumba naumbuka by then ilikuwa kama Tsha 10,000, Roughrider zangu, zama room.

Z: Naomba nioge kwanza

Mimi: Ok sawa

Alisaula nguo zake hapo bila hata ya aibu, kaenda oga nami nikazama tukaoga wote, touch zilipigwa za maana, Bj za maana, soon kwa bed, nilijilia tunda mpaka saa 2.30usiku ndio tunatoka na kumuwahisha ukonga.

Alinipa story nyingi sana jinsi mahusiano yasivyokuwa mazuri na mzazi mwenzake(hawajafunga ndoa) na ni askari mwenzake.

Huwa tunawasiliana nae mara kwa mara

Nakukumbuka sana Z
 
Usisahau kuzileta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani akilia ndo anakua kafika ama nna elimu ndogo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Nani Alikudanganya kuwa maaskari wa kike wanajua kukataa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…