HATIMAE KAKUBALI KUJA...Tokea uzi huu utolewe siku ya kwanz nilikuwa mfatiliaji wa namna gan nitakula nyuchi kihasara hasara. Coz Sijawah kula tunda kihasar , zote nilikuwa na fight...hatimae leo mtoto kakubal kuja gheto mida ya sa 9 hiv akitoka job kwake ,ili aje tuoneshane ufundi , Ni mtot flan hiv siku ming namtania kuhusu ufund wangu pale 6*6 ..
Na hizi mvua za mjin itakua bomba zaid.
Hapa nilipo nakunywa maji mengi..nimeweka na order ya supu ya pweza..
DUA ZENU WAKUU ,KUKU WANGU HUYUView attachment 1227168
Katika huu uzi ww pekee ndo umemaliza kila ktuKwa harakaharaka inaonekana kitandani ni 0 manake kama ungekuwa unayaweza mambo lazima angekukubali....hakunaga mwanamke anayekunwa vizuri halafu akaja kumkataa mkunaji
Usicheke,jitafakari
Wanawake wakiwa na hasira hayo mambo ya Kukunwa vizuri anayafikiria wapi..??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo unamkaza bado akili ipo kwa Jamaa akee..!! Anafanya hivyo bhasi tu...Katika huu uzi ww pekee ndo umemaliza kila ktu
Halafu hii ya kimasihara tamuuuuu
Exactly,najisemeaga tuu...hii ni kama kubet..najiandaaga na chochote...winning or loosingTechnique yako kubwa ni "ujasiri" kitu ambacho kinawashinda wengi.. Kama jini halijakudhuru kuna shida gani!
Hivi hamnaga kinyaa eehh? Yan mtu humjui mmekutana tu unapiga hadi denda na kulana bila ndom?
Mungu yupo kila sehemuhapo hata mungu hakuwepo
No.. Kuna jamaa zangu huku uswahilini ndio michezo yao..Je anakupwelepweta?!
Nasikia huyo watu wanapenda kuruka ukuta, Sasa sijui kama kuna ukweli wowote.
Testimony ya hivi hainogiJuzi tu nmekula mtoto wa kizungu kwa zawadi ya culture (Necklace) za kimaasai yenye picha ya tembo.
Nasikia huyo watu wanapenda kuruka ukuta, Sasa sijui kama kuna ukweli wowote.
Wewe ndio ulisema kwamba ulitombwa mabao matatu na mwanaume ukasingizia umebakwa?? Na ukapigwa cha asubuhi!!
Mwanamke unaenda kulala kwa mwanaume, chumban kwake, kitandan kwake. Unategemea nini.
Ulidhan ni kaka yako huyo???
Nasubiri na shuhuda za kina dada[emoji23][emoji23][emoji23]
Asingelala huko huu ushuhuda tungeupata wapi? muache aendelee kutuamini mkuu!Wewe ndio ulisema kwamba ulitombwa mabao matatu na mwanaume ukasingizia umebakwa?? Na ukapigwa cha asubuhi!!
Mwanamke unaenda kulala kwa mwanaume, chumban kwake, kitandan kwake. Unategemea nini.
Ulidhan ni kaka yako huyo???
We muhuni Mkuu..jinsi unavyo narrate hizo earned points nimejikuta nacheka tu[emoji23][emoji23][emoji23]Miaka 5 na nusu baada ya kumaliza chuo nipo zangu Mwanza kwenye chaka langu la ajira kituo fulani. Asubui kulikuwa na kikao cha kazi kuna wageni tulikuwa tunawakaribisha walikuwa wanafanya Feasility study issue ya Ziwa Victoria, sasa kutokana na mimi ni Mzee wa Mitungi nilichelewa kulala jana yake so nikaingia kwenye kikao nimechelewa kidogo, naingia tu ndio nakuta ile Pisi ambayo niliiachaga Chuo miaka 5 na nusu ndio inajitambulisha Mimi ni ......... ndio Team leader wa Team hii.
Yaani katika siku ambayo moyo ulienda kasi na nikapona kufa ugonjwa wa Moyo ndio siku hiyo sasa, ila nashukuru zile Hangover za asubui nilizoamka nazo ndio zilinipa Moyo wa kujiamini.
We fikiria miaka ile Pisi ilikuwa kali balaa je jiulize sasa hivi inakula Salary ndefuu ya Mabeberu (Donor Countries) muonekano wake utakuwaje??Mzee Baba achaa Pisi ilikuwa na ngozi nzuriii balaaah vijana mnaita Chocolate sijui, Shape sasa ndio ilikuwa ballah, Mkurugenzi, Mkuu wa Idara kila mtu macho juu.
Turudi kwenye kikao, sasa sijui siku niliamkaje maana nilikuwa nimepiga pamba swafii niko smart na nimepulizia pafyum yangu matata ya Maangamizi. Mkuu wa kikao akasema na wewe jitambulishe, nikajitambulisha baada ya kikao kuisha kutoka nje Pisi ikanifuata kabla haijanisemesha nikampa hug nikamtajia jina lake nikamwambia karibu ...... Rock City!, akashangaa sana kama bado nakumbuka jina lake, Hapo Mzee Baba ndio nilipata pointi za waazi kabisaa asubuii.
Nikamwambia ukitoka site naomba nikutafute niwe mwenyeji wako, akasita .. baadae akasema sawa akaniambia chukua namba yangu, Nikajiongeza nikamuuliza namba yako ya wakati upo chuo bado unayo? Akatahamaki akasema ndio nayotumia mpaka sasa, nikamwambia namba yako bado ninayo kwenye simu yangu, Pisi ikahamaki na kutabasamu kihaina , Mzee Baba hiyo ni pointi ya pili ambayo nilipataa ya waziiiii kabisa , nikajisemea kimoyomoyo ashaliwa huyuuu.
Itaendele soon..