Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Lazima huu uzi ufungiwe,Kuna siku last year nilienda ZNZ kwenye mishe zangu. Mara nyingi nikienda huwa nafikia kwenye getto la mshkaji wangu, nakaa pale mpka nikimaliza mishe zangu narudi zangu DSM. Sasa kuna awamu moja nilivyoenda jamaa akaja kunipokea akaniambia pale kwa siku zote amehama amehamia kwingne maeneo ya Fuoni. Mwanzo alikua anaishi KWEREKWE. Basi tumefika kwenye hyo nyumba kuna wapangaji watatu including my friend. Jamaa akaniambia kwa hzi siku mbili yeye hatokuwepo getto anaenda "shamba" nikisema shamba kwa wazoef wa ZNZ watakua wanaelewa kwamba kuna family event so lazma yeye awepo hvyo ataniacha alone ila kuhusu vitu vdogo vdogo km vya dukan na shida zngne kuna mmama hapo ndan mpangaji mwenzie ambaye wanaitana dada anaweza kunisaidia, kwahyo akamuita akanitambulisha then tukaendelea na stor halaf jamaa jion akasepa zake. km mnavyojua waZnz ni wakarimu kimtindo, Bas ilivyofika around saa 1:30 jion nkamuaga yule mmama kwamba naenda Forodhan kutembea na kupata chakula, kwahyo nikirud ntaomba nkusumbue ili unifungulie geti. Tukakubaliana nikaondoka zangu mpka forodhan nikapiga sea food fresh. Kwakua yule mma alikua ashanipa namba yake then nikamtext "dada nkuletee chakula gan" akanijb asante ameshiba, nikamwambia hata bites tu akakubali nikamnunulia znz piza nikampelekea. Nilivyofika nikampigia akaja akanifungulia geti nikamkabidhi mzgo wake tukaagana kila mtu akaingia room kwake. Km baada ya nusu saaa hv nachek movie naona sms inaingia "asante kwa piza ni tam sana lakn pia asante kwa ukarimu wako" nikamjib asante sana na ww kwa kupokea zawad yangu. From that moment akili ya msingi ikaanza kusinyaa, ya uzinz ikaja. By the way yule dada alikua kanizid km labda 5 years sema kidogo alikua na mwili kuliko mm. Nlipomtumia text yangu akajib "ukihitaj chochote nijulishe usipate tabu nitakusaidia" asee akili ikazd kuruka nkamjib kwa kumuuliza swali " hata sasa hv naweza kusaidiwa? Akajb "why not" pale pale alarm ikalia kwamba hapa nakula hii kitu. Nikamtext tena bas naomba unisaidie uje tuangalie movie. Kumbuka hyo inaenda saa 6 hv usiku. Sms haikujibiwa muda kidogo ukapita nkahis au nimeharb. Baada ya muda kidogo ikaingia sms tena, "unataka kulala saa ngap? Nikamjib mimi sina ucngz mpka muda huu kwahyo sina muda maalumu wa kulala. Hapo sikuona tena sms badala yake saa 7 niliskia mlango unagongwa nkauliza nan? Akajib movie haijaisha? Bas nkajua ni yeye nikamfungulia akaingia kanikuta nko na boxer kwenye kochi naangalia movie ila nkaweka pause kwanza, yeye alikua na kanga moja kiunon nyingne kajitanda ananukia ile mbaya, bas nkawa natafta namna ya kumuanza nikakumbuka kwenye hii external ya jamaa kuna movie za porn, nkamwambia yule mmama unaangaliaga movie za xx maana ndio nnazoziangalia hapa hii uliyoikuta inascratch sana, akacheka akasema sawa ila nikiwa mwenyew siwez kuangalia. Bas nkaweka nkaona anaona aibu akaniambia anaondoka atakuja kesho, nkajua huyu ashaloa itakua. Nkamfuata nkamkumbatia akawa amekaa kimya tu mara nikamkis, naye akareply nkaona hapa vita nishashinda bado kushika dola tu niitawale. Nikapiga touches za kutosha na mautundu ya hapa na pale akaniambia tuingie chumban kitandan ndio vzr. Bas tukazama room hapo ndio akarusha zile kanga zake mbili nikala sana mzgo. Alikua fundi sana yule mtu. Tumepiga km goli mbili akasema amechoka tutakuja kupiga kesho yake. Akatoka mi nkaingia bafuni nkaoga na kulala. Kesho yake nimerud kwenye mishe akaja nikamla tena. Nilimla mpka mchz anarud halaf sijawah kumwambia jamaa mpaka leo maana angenitoa thamani[emoji23].
Tulikuja kuznguana na yule mama kwa ajili ya wivu wa kisengerema. Kila mara anapiga video call aone nko wap na nko na nan..mara nataka nije Dar nkaona huyu miznguo nikampa tofali fresh maisha yakaendelea kwa raha mustarehe.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uzi wa hovyo huu vijana wanaharibika