SAFARI YA MWANZA-MBEYA ILIVYONIPA MGEGEDO KIMASIHARA.

Ilikua 2016 mwezi june kipindi hicho mama mtoto kazingua. Safari imeanza nyegezi nikiwa nyuma ya dereva nimetulia na muungwana mmoja. Safari ilivyozidi kuchanganya ndivyo hadithi kati yetu zivyoendelea kukata. Ile shuka-panda na chimba dawa za njiani nikawa nazicheki pisi kadhaa but nikawa sina mzuka wa hizo mambo as usiku kabla ya safari nilipata company. Shida ya safari ilianza nilipoingia Iringa town, maana nilikua nimevaa t-shirt na hali ya hewa mwezi huo wenyeji wanaielewa. Kipindi hicho gari zinalala makambako na baridi ni kali balaa. Ikabidi nichukue (kaschana) konyagi ndogo. Mpk nafika makambako nikawa nimekamaliza lkn bado bado baridi ilikua inanikomoa balaa, nikanywa chai ya maziwa alfajiri ile lakini wapi. Nikachukua uamuzi wa kutafuta bar iliyo wazi muda huo( saa7 usiku) nikaja kuipata mitaa ya mizani ambapo ni mbali na stand na nimepigwa baridi kwenye boda balaa.

Niliporudi nikakaa nje ya mgahawa raia wengine wakiota moto huku mie nashusha Antony Lusekelo(Bapa) mdogo mdogo. Kati ya waotaji moto alikuwepo binti mmoja (sio pisi kali lakini si haba alikua kajaliwa mahitaji yangu). Binti akatokea kuzielewa itikadi zangu nakula kitu kigumu naondoa baridi afu nipo kimya. Mungu kutujaalia wanadamu macho yetu kutokua na pazia alikua na malengo yake. Mara kadhaa tukawa twakutanisha macho huku yeye akionekana na fadhaa kizushi n design anatabasamu. Nikapata time ya kumzingua atupie vitu vikali akadai havipendi n hapendi wanaume wapiga tungi na bla bla kibao, but tulipiga story kibao na vile wazungu walikua wamenikolea binti akaishia kucheka tu na mwishowe tukabadili namba za simu.

Saa10 alfajiri safari ikaendelea tukaingia mbeya saa4 asubuhi, mie nilikua naunga mpaka s'wanga home mitaa ya kizwite na yeye alikua aelekea Tunduma. Baada ya siku mbili mida ya jioni akanipigia simu akanambia yupo stand kuu s'wanga (kitu ambacho sikutarajia kabisa). Basi nikamchukua na kutafuta pango la wageni maana alidai amekuja kutalii. Kumpeleka home ikawa jau kuwashawishi washua kuwa ni rafiki yangu. Niliporudi usiku kupiga nae stories binti akanizuia kuondoka akitaka nilale nae mzungu wa nne ati aogopa wachawi. Kilichoendelea kwa wiki nzima akiwa ana talii pale swanga kinaeleweka, hadi mtalii akaishiwa mkwanja wake ikabidi nisimamie show mpk nauli ya kurudi mwanza.

NB: CHUPI ILE YA KISUKUMA NILIIELEWA KIAINA INGAWA HAIKUWA KWA MATUMIZI YA KINYUMBA. Mawasiliano yalikuja katika ilipopata ajira Kigoma huko. Na mimi kufuata mgegedo mkoa wa vumbi jekundu jeuri hiyo sina(samahani WAHA kigoma ni moja eneo la Tz nisilolipenda kufa). Kwa sababu ya VUMBI JEKUNDU LA KIGOMA nikajikuta nimempoteza Grace.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wasalimie hapo kwa John Kella[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuja kuznguana na yule mama kwa ajili ya wivu wa kisengerema. Kila mara anapiga video call aone nko wap na nko na nan..mara nataka nije Dar nkaona huyu miznguo nikampa tofali fresh maisha yakaendelea kwa raha mustarehe.

Sawa mkuu
 
vipi ulitumia condom?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua mwaka 2015 nipo na jamaa yangu Rafiki yangu mkubwa sana alinipigia simu kuwa kuna demu alikua anataka kwenda kuonana nae lakini hamjui kiufupi hawajawahi kukutana walikutana kwenye mtandao hivyo alikua anaomba kampani yangu,nikasema poa twenzetu.

Nikajiandaa fasta akaja home hao tukatoka mpaka Rangi 3 hapo ndipo tulipopanga tukutane nae.Mara yule manzi akampigia simu mshikaji akaelekezwa tulipo lile eneo kuna Bar korofi iko inapakana na sheli ya pUma enzi hizo inaitwa Kobil.Basi bwana yule manzi kuja kumbe kaja na mwenzie bila kulaza damu wale mademu wakasema maeneo yale kuna ndugu zao afu ukicheki hawajawahi kukaa Bar wanaona aibu.Fasta nikamtext jamaa nikamwambia hapa tuchukue chumba kuna gesti hapo nyuma bei chee akasema poa.

Tukawainua mademu bila hata kuwaambia mpaka kwenye ile gesti tukachukua room mbili mimi nikaingia na yule best wa shemeji yangu,kufika tu ndani demu anaanza kusema mnatabia mbaya kutuleta gesti bila kuwaambia nikamwambia watusamehe hakuna namna,mara akasema humu tumeingia naomba tuheshimiane maan hatuna uhusiano nikamjibu hakuna neno.Basi yule manzi alikua mkali sana ila mwembamba balaa stimu yote ilinikata nikampotezea basi tulikaa kila mtu na ishu zake mpaka muda ukaisha tukasepa.

Njiani wakati tunawsindikiza mi nikajua jamaa ameshamkaza yule manzi yake kumbe hola na jamaa anajua mimi nilimkaza huyu mwingine kumbe hakuna kitu.Niliporudi home jamaa akanicheki kuwa demu wake ameomba namba zangu je,nimpe nikamwambi mpe.Baada ya kama lisaa ikaingia namba ngeni nikajua atakua demu wa mshikaji kumbe sio alikua yule best yake akanisalimia akaniambia namba yake niisave basi tuakapiga stori kidogo tukaachana.

Baada ya siku mbili tukawa tunachati ile kawaida ila mimi sikua na mpango nae maana mwembamba mno siku 6 tangu tulipoonana akanicheki kupiga stori akaniuliza niko wapi nikamjibu gheto hiyo ilikua J'mos mida ya saa 4 asubuhi akaniuliza ninachofanya nikamwambia nacheki muvi akasema basi nakuj nikamwambia njoo.kiutani baada kama nusu saa ananiambia yuko kwenye gari doh nikaona utani(demu alikua anakaa kwa aziz ally).Kweli bhana demu akawa kafika mtaani kwa maelekezo mpaka home ikabidi fasta nifike gengeni nikanunua zaga nikapika pale baada ya stori hapa na pale ukimya ukatawala tukawa tunaangaliana kisha kila mtu anacheka bila sababu nilikua nimekaa kitandani yeye kakaa kwenye sofa nikamfuata nikamshika mikono.Nikawa naichezea nikaanza kumuona anachange kufupisha stori nikamla bila shida alikaa mpaka saa 2 ndo akasepa kwao,kesho yake akarudi tena niagonga sana ila mapenzi yalidumu kwa mwezi mmoja tu maaana alikua na vizinga heavy.


Nitaendelea jinsi nilivyomla yule shemeji yangu(best yake kimasihara) lakini mchizi alibariki hilo zoezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulituangusha mabaharia kimoko tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya mwaka kupita tangu kuachana na yule manzi jamaa yangu anae alikua ameachana yule mwingine maana alikua anampiga vizinga na papuchi hakupewa.Siku hiyo nipo mjini kwenye mishe za kununua nguo nikakutana na yule Shemeji yangu na yeye ndo aliyeanza kuniona tukapiga stori mbili tatu tukapeana namba za simu.

Basi bwana niliporudi home nikampigia mshikaji nikamchana akasema aah poa,mawsiliano yakakolea mpaka nikawa namshangaa siku moja akaniomba buku 5 ya pedi mmh hapo nikajiuliza ila nikamtumia.Baada ya mda tena akaniomba elfu 10 nikamtumia mara vocha dah nikaona huyu ngoja nimpige block sasa kabla sijaamua siku hiyo akanipigia akasema amenimis anatamani kuniona ilikua mida ya saa 6 mchana nikamjibu mimi nipo kwenye gari naenda home ukiweza njoo nyumbani.

Bila kulaza damu yule manzi akakubali nikamuelekeza kipindi hiko nakaa maji matitu na demu anakaa Banana,demu alifika saa 10 jioni baada ya kumpa maelekezo nikamchukua stand mpaka room tulivyofika room kwa jinsi nilivyomuona tu nikajua alichofuata nini nikawa navuta tu muda stori za hapa na pale huku nikiwa nimemnunulia soda.Nikaanza uchokozi kwanza nikaanza msifia sana na kujifanya kumuona mshikaji mjinga kumuacha mtoto mzuri kama yeye akawa anacheka tu baada ya muda nikawa namwangalia ile bila kupeleka macho pembeni akawa anaona aibu nikamsogelea nimkissi mdomoni akasogeza sura pembeni na akanizuia na mikono,nikamshika begani akatoa mkono basi nikamuacha.Kilipita kimya cha kama dk 15 simsemeshi na yeye yuko kimya mara akaniuliza umekasirika? Sikujibu

Nikaona kasimama kaenda kushusha pazia ya dirisha nikaanza chekelea ushindi moyoni basi akaja aksema ila tutumie kondomu sikulaza damu aisee yule manzi jamani ana shimoo looh na maji mengi hata sikuenjoy sana mbaya zaidi nikagundua ni bata maana nilipiga sana finga kwenye mtaro nikamuuliza kuwa anatumia akasema ndio ila hapendi basi nikala tu k maana huwa sipendi hizo mambo niliishia goli mbili nikakausha maana hakua na ladha kabisa nadhani kapitiwa sana na wahuni.ila nilichomsifu ananyonya mboo ile hatari hajali kam umeitoa shimoni au la.Nilipomaliza nikaoga yeye hakuoga nikampeleka hadi stand ilikua saa 1 usiku na tangu siku hiyo sikuwahi kutamani tena kurudia gemu japo mawasiliano yapo na tushapanga sana ila dk za mwishoni mambo yanavurugika.Nilipomchana mshikaji alifurahi sana.

Nakuja n stori ya Mmanyema aliyenizidi miaka 6 nilivyomla kimasihara ukweli mpaka leo najuta kwanini nilimuacha huyu demu kwa mapenzi niliyonyeshwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chezea paleeee vua nguo zake akabaki na chupi, hapo mimi sijavua nahesabu muda wowote kuanzia sasa mlango unavunjwa watu wanaingia mtego umefanikiwa.

HAHAHAHAHAHAHAAHAHA
Wenzio huwa tukimuita guest number 1 tunatoka nae mlango wa nyuma na unaandaa boda boda kabisa wa kuwahamisha guest ili mtego uliwe kirahisi bila kukamatwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise kama kufaidi basi ulifaidi sana
Bahati nzuri na nguvu pia ulikuwa nazo ingawa ulichanganyia na busta la vidonge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huendi mbinguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…