Mwandiko mbaya jamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
teh teh teh teh teh teh teh[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga moves at the speed of electromagnetic waves in a vacuum, therefore he is timeless. He exists outside of time.

The past, the present and the future are all one big blob to his singular Kiranganess.

Sent using Jamii Forums mobile app
mfamaji hakosi kutapatapa, kila mwanadam kapitia kila aina ya upuuzi..tena nyie mnaojionaga special ndio huwa hamnaga kitu kabisa..[emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebwana siku ya match ya simba vs yanga, nilijitahidi kuwahi mpirani ila nilikuta ukumbi umejaa seat zote za mbele ikanibidi nikae siti za nyuma, shangwe zilikuwa sio la nchi hii..watu walinyweshwa sana vinywaji hasa mashabiki wa yanga kwa kuitwa wao ni masikini/team yao ni wananchi...
Basi match umeanza goal la kwanza mara goal la pili wana simba tukatawala ukumbu mzima kwa shangwe...shangwe likizidi kuwa sio la nchi hii baadae namuona dada flani karibu na mlango kajibanza na jezi yake ya yanga, si nikamuita kwa kumvuta mkono nikamwambia akae pahala pangu, kutokana na kuwa ukifungwa unakuwa mpole dada wa watu hakupinga wala nini..nikavua jezi yangu ya simba nikamvisha pale kishabiki zaidi, akawa kaivaa,
Mda si mda si tukapigwa la kwanza hatujakaa sawa tukachomekewa la pili[emoji85] hali ya hewa ikabadilika mle ukumbuni mashabiki wa yanga ndio wakaonekana sasa kwa shangwe, yule dada alirukaruka vibaya mno, sijakaa sawa na yeye akanivisha vile vikofia vyao mademu (ni kama vile vya kulalia ila vipo mfumo wa mzura). ikanibidi nivae tu wakati wote nishakuwa mpole na mdogo ka pillton.
Match imeisha nipo mpole nikiwa kifua wazi na kofia ile ya yule bidada, yule mdada akiwa na jezi yangu..nikamwambia haiwezekani mmetubahatisha nipe namba yako ili match ya marudiano mikutafte akatoa number ile kishabiki..mda si mda kichwa cha chini kikapiga alarm basi nikakumbuka siwezi kusubiri match ya marudiano hadi April 18, basi nikampigia simu baadae kuwa aniletee jezi yangu naye aijie kofia yake, kafika ghetto kwangu kalielewa ghetto langu the way lilivyo si full kukodoa mimacho tu nikamwambia sisi wana msimnazi tupo vizuri kidogo kama team yetu ilivyo, hatuwezi lingana na nyie wana jangwani, basi story mbili tatu, nikamwambia ile match ya marudiano inatafaa kama nikirudiana nae, aliguna nikamfuata nilimkula mate sana match ilipigwa nikafunga bao zangu mbili zile zile, yeye aliniambia kuwa kafunga 4 kwa hiyo bado yanga inaongoza, mpaka sasa bado nimemuacha maghetto, ninapambana nisiwaangushe wana simba mwenzangu mpaka nimzidi magoli na simba iwe kifua mbele...dadeQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezama chumvini kama nusu saa mmh ?[emoji44][emoji44][emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usije ukatuaibisha wana msimbazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…