Kagere unamjua lakini![emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]

kelphin kepph
 
Wanyarwanda wa yudism wengi walikuwa wabovu sana na tule tuvitambaa vyao twa kuvaa shingoni

Walikuwa wanatakaga wakazwe na warwanda wenzao tuu
Wale wa engineering wengi walikuwa wana disco.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanyarwanda wa yudism wengi walikuwa wabovu sana na tule tuvitambaa vyao twa kuvaa shingoni

Walikuwa wanatakaga wakazwe na warwanda wenzao tuu
Wale wa engineering wengi walikuwa wana disco.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hhahaa mzee walikwepo visu, sema wanapenda kukazana wenyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ni nyoko balaaa kwahiyo askari wa watu ukamvutisha mmea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha genye mbaya sana jamani.
 
Baada ya kuusoma huu uzi nikajarbu na mimi kula tunda kimasihara kilichonikuta daaahh[emoji26]
Wale waliokula tunda kimasihara wamewezaje?
Kwa sababu me nmejaribu nmeshindwa nimeishia kutukanwa sanaa na kupigwa kibao na jirani yangu wa kike baada kujaribu kutaka kumla kimasihara, sasa hivi kaninunia hanisemeshi hata ile salamu hakuna, huu uzi umeniponza aisee!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…