Mkuu, kuna uzi mbona ulishaanzishwa?zinanilowanishaa haswaaa, wanaume wa JF hamna mwenye show mbovu, sijui mtaani mnapatikana wapi akii.
Jibu zjriMkuu soma kuelewa sio kuja tu kumpinga mtu.
Hujaona sehemu nlipoandika anachukua uber anaomba nimpe directions?
Umeshawah kupanda Uber kweli mkuu?
Na unafikri kwenye chatting zetu za weekend sikumuambia nimepanga wap na yeye anaishi wap?
Unafikiri aliwezaje kukadiria muda wa Nusu saa kufika kwangu bila kujua nakaa wapi?
Jifunze kujiongeza Mkuu.
Anyways, it's of you to take it or leave it.
Your Choice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani baada ya kusoma hiyo quote ya jamaa nimemaliza kiroho safi bila kikwazo, ndiyo nakuja nakutana na ulichomwambia kwenye comment hii then narudi kuchungulia nakuta ni kweli. Dah hizi story zinaweza kukutia upofu 😂😂😂😂😂😂Duuu hakuna nukta, mkato wala nn. Lakini umeeleweka mkuu
"mm nalianzisha hapa hapa, lakua na liwe, nkiumbuliwa nashuka kituo kinachofata kwan sh ngapi?"Well leo naona biashara inaenda taratibu sana, ngoja ni buy some time niweke yangu hapa.
JINSI NILIVYOMLA SLAY QUEEN.
Back in the days, nimemaliza chuo pale Mlimani, nlijikuta nimepigika sana.
Inshort i was totally broke, hasa ukizingatia nlikua sitaki issue za kuajiriwa soo harakati zikawa hazitembei kabisa kwa muda ule, kurudisha mpira weekends kwa Keeper ilikua ni PIE. Constant.
Good thing is nikiwa mwaka wa 2 chuo nlipanga Ghetto langu safi, soo pamoja na kua juu ya Mawe nlikua nina uhakika wa sehemu ya kula, kulala na kumkaribisha mgeni yeyote wa Kike.
JINSI NLIVYOKUTANA NAE.
Siku hio nimetoka kwenye harakati za kimaisha, nkijiangalia mfukoni sina kitu, nkajisemea leo ngoja tu nirushe mpira kwa Keeper, nikajisogeza stand ya Daladala mdogo mdogo ( Hii ilikua around saa 3 usiku ).
Ikaja Eicher mmoja hivi ina baadhi ya seats ziko empty, ile kupanda nkajisogeza kwenye mmoja ya seats ambazo zilikua double hazina watu, kukaa dirishani nikaone nipo sehem ile ya Tairi, kwa wajuzi watanielewa ile position ukiwa ni mrefu kidogo hua panakufanya uwe uncomfortable, bila ya kugeuka nyuma yangu, nkajirudisha kwenye seat ya nyuma.
ieleweke kua wakati napanda nlipandia mlango wa nyuma soo seat iliyokua nyuma yangu nliispot ikiwa imekaliwa na mdada hivi amesuka Braids, ya pembeni yake ikiwa haina mtu.
Soo muda huu nlivyoamua kurudi seat ya nyuma yangu nlifahamu fika yupo mtu lakin seat ya pembeni yake ikiwa haina mtu.
Nimesimama kuelekea ile seat ya nyuma, nikae, ndio nkapata CLEAR VIEW ya yule Dada, Aiseeee!! Aiseeee!!!
Wakuu i was flattered, alikua ni mdada mmoja hivi black beauty, ana shape unaiona hii hapa, mrefu wa shingo na miguu, halafu ana smile mmoja hivi ambayo ilinfanya nichanganyikiwe hapo baadae baada ya kumuona akismile.
Simply put, she was a 10, according to my Standards.
Nakumbuka nlimuangalia once, nkamsalimia halafu nkamute, kimya. Lakin hapa akili ikawa haipo kabisa, mbaya zaidi alikua amevaa earphones kwaio haikuwa rahisi mimi kuanzisha conversation na yeye, halafu ni zile types za wadada ambao ukimuona tu unajua huyu ni slay queen. Nkazidi kuchoka.
Safari ikaanza, yeye kimya, mimi kimya (Lakin muda wote huu akili ipo kwake tu, nawaza na kuwazua namna ya kuanza kumuongelesha sipati sababu)
Bwana bwana Mungu hamtupi mja wake, thankfull kuna insident ilitokea mule kwenye daladala abiria wakaanza kushout out, kila mtu anapayuka, nkajisemea this is my chance, nkasema na mm nalianzisha hapa hapa, lakua na liwe, nkiumbuliwa nashuka kituo kinachofata kwan sh ngapi?
Nkamsemesha yule Manzi a few words kuhusu what really happened mle kwenye daladala, nkionesha kusikitishwa na what really happened, suprisingly alitoa positive feedback ambayo ilinfanya nshangae sana, hapa ndio nlipoiona ile Smile. Nilichanganyikiwa wakuu.
Story zilianzia hapo, na wala hakua na mapozi kama nlivyomchukulia mwanzo, she was soo down to earth, na muda wote anasmile. Sema kwa zile outfits alizovaa, na nywele alizokua amesuka, unajua kabisa huyu mtu sio wa pesa ndogo.
Nlipoona nakaribia kushuka nkamuomba number yake akasema "Cool", kipindi hiki nlikua nimepoteza smartphone yangu soo nlikua sina simu kubwa, but kiNokia Torch.
Akatoa Iphone yake me nkatoa kimeo changu, akaniuliza swali dogo sana,
"Hio ndio simu unayotumia?"
Nkamjibu "YES"
Akasema siwezi kukupa number yangu kama unatumia simu kama hio.
(Imagine anasema hivi mbele ya abiria na wanasikia).
Akilini "I was like WTF!, am Doomed"
Ila akili za 007 zikanjia faster ili kuua soo, nkamwambia simu yangu imeisha charge nimeiweka kwa bag. Hii ndogo hua naitumia for emergencies.
Naona mtu anankazia macho ila akaishia kusema haya
"Write it down, na ukifika nitext kwenye Whatsapp"
Mwanaume nkaandika number nkaibeep kama inapatikana, nkashuka, nkasepa.
Kimbembe kinakuja sina whatsapp wala smartphone.
Nkachukua Laptop yangu nkainstall whatsapp nkamcheck usiku ule ule.
Damn people. Damn.
Hapa ndio nlikujaga kujua huyu Manzi alikua ni mtu wa aina gani.
In a span of few hours had saa 11 asubuh tulichat mambo mengi sana had nkaomba mgegedo usiku ule ule, sikupewa jibu. Nkajua hapa nshatinyanga kazi.
Nkalala.
JINSI NLIVYOMLA.
Kesho yake was a weekend, soo tuliishia kuchat throughtout the day, likewise until Sunday, lakin had inafika jumapili usiku tukawa kama ni wapenzi tayar, sijamtongoza wala nini, just casual and erotic convos tu zilikua zinatembea hapo, ila game sikuomba tena tangu ile ijumaa usiku.
Nlikuja kujua baadae ni mwanafunzi wa chuo final year na alikua akiishi hostel za mtaani na rafiki yake na ni watu wa bata sana (Hii nlikuja kuiona kwenye IG page yake, posts zake hakuna kiwanja hajaacha kwenda)
Nkaishia kujisemea huyu me tutaishia kuchat tu lakin haya maji ni marefu sana kwangu siyawezi. Sina pesa yakumhudumia mtu sasa hivi, afterall nlihisi she was out of my league.
Lakin mwanaume ngajipiga moyo kando nkasema let me see where this will take Us.
Monday imefika siku hio hatukuchat kabisa, na mimi nkaendelea na misele yangu, kufika jion nkawa nsharudi maghetton, nkawa nimechill.
Wakuu mimi ni Introvert sipendi kusocialise kwaio ilikua nkifika ghetto najifungia mpaka kesho yake.
Saa 5 usiku nipo zangu naangalia movie, sina hili wala lile, nkiwa na maswali mengi sana kuhusu mstakabali wa maisha yangu, yan hata huyu Manzi siku hio sikumwazia kabisa, nlikua nina stress vibaya mno, kidogo naona simu ya Manzi inaingia kwangu, i was a little bit Shocked kuiona simu yake muda ule.
Nkahisi huyu atakua amekutwa na msala huko tu.
Nkasema sipokei hii simu. Nkakausha.
Alivyoona sipokei akakata simu akapiga tena.
This time nkasema ngoja niipokee nimsikie anasemaje usiku wote huu.
MAZUNGUMZO YETU.
Mimi "Hello D*"
Yeye "Poa, leo umenkaushia"
Sikujibu kitu hapa.
Yeye "Uko wapi"
Mimi "Nipo Ghetto nimechill"
Yeye "Uko na mtu?"
Mimi "Hapana"
Yeye "Unajua ijumaa sikukupa jibu lako?"
Mimi "That i realised"
Yeye "Nakuja kukupa jibu lako, nipe Nusu saa"
Mwisho wa kunukuu.
Sikuamini nlichokua nimekiskia kutoka kwake, nlijua anantania, nkachukulia poa.
Ikaingia text "Nachukua Uber nipe directions"
Nkapanic kidogo.
Nkajisemea Shit has just got real here.
Halafu muda huo mfukoni ni buku 5 tu ya kesho.
Yan kusema hata nkamnunulie msosi muda huo i cant.
Nkajisemea leo ukisikia mwanaume anaumbuka ndio leo.
Ila moyoni nlikua nina furaha kinoma iliyojawa na hofu cause nlijua mwanaume naletewa mzigo.
Nkampa maelekezo namna ya kufika mwanaume nkaenda nkapiga zangu pushups kama 100 hivi, Squarts kama 100, nkastretch out nkaenda kuoga nkatulia. Kunywa maji mengi sana.
Hii hua ni mbinu hua naitumia kabla ya Game yeyote ile isiyo ya gafla.
Nkajisemea huyu leo akinvulia chupi, sifanyi makosa.
Kwanza kabla sijaendelea naomba nimdescribe huyu manzi kidogo.
Alikua na urefu wa 6 ft.
Yan amenzidi kidogo had mimi urefu.
Ana hips na matako ambayo toka nianze kua na kujihusisha na mademu sijawah kua na mtu mwenye mzigo kama huo.
Nahisi ndio maana nlipanic kidogo.
Her face and smile ndio vilikua vinanmaliza kabisa.
At first nlihisi ni Mnyarwanda cause hana tofauti sana na maumbile yao.
Mama yake ni Mbulu.
Na alimfata mama yake mazima mazima.
Mnaweza imagine alikua na uzuri wa namna gani
Nlikua sijawah kumuona hivi live live toka ijumaa, nlijua haya baada ya kuona pics na vids zake za IG.
Kuhusu urefu nlikuja kujua baadae.
Baada ya kama 40 mins.
Ananambia nimeshafika nipo nje.
Ile nimetoka kumpokea nje, ndio nilizidi kupagawa aiseee.
Alivaaa this short dress, with heels, ananukia vizuri, mzigo wote unajichora huko ndani, halafu anakua anasmile tu muda wote, hapana aiseee this was too much to bare.
NILIDINDA PALEPALE.
Wakati namhug aligundua kua huyu jamaa ameshasimamisha, akaishia kusmile tu hakusema chochote.
Akamlipa Uber nkamkaribisha ndani.
Ila ameingia ndani, sikutaka hata kumuuliza chochote kile, nlimuanziashia pale pale mlangoni, she never resisted nashangaa napewa ushirikiano tu, nkajisemea huyu leo atantabua.
Nafikiri alikua ameshajua nini kitatokea baada ya kuona mwanaume nshasimamisha toka nje huko.
Sitaki niwachoshe na nini kiliendelea wakati wa kutiana ila hakuna kitu sikuacha kufanya.
Alikua msafi mnooo.
Smelling soo damn good.
Akili mm haipo.
Piga sana dekio.
Mtoto analia tu huko.
Na alivyokua mrefu na lile shape me ndio morali ikawa inazidi tu simsikilizi.
She was soo flexible ya miguu nliibania kifuani kwake nkaishika yote na mikono yake nkaibana na miguu.
Hapa alikua hawezi kufanya chchote, akawa anapiga tu kelele, mwaga sana maji mtoto wa watu yule.
Me simsikilizi hata kidogo.
Yan mpaka anakuja kunambia niingize ndani ameshalegea muda sana.
Piga sana mashine.
Kula Sana Mate.
Yan sikumhurumia hata kidogo.
Nlijisemea am might not get this chance ever again, better use it wisely.
Wakuu naomba tu nseme ile kitu nliipiga usiku kucha.
Ilikua ni mwendo wa pumzika, oga, nimerudi kiunoni tena.
Demu analia tu huko.
Hadi kufika asubuh miguu iko hovyo vibaya mnoo.
Siwezi hata kusimama.
Muda huo yeye kalala tu.
Baadae alivyoamka nikaendeleza show, i remember siku ile alikua na group presentation akawaambia rafiki zake anaumwa hawezi kwenda.
Alishinda pale for the whole day.
Nkamkopa mwanangu mmoja hivi pesa ikatuvusha siku hio.
Asante zikawa nyingiiii, me nkawa nacheka tu.
Mwanzoni nlijua huyu akisepa harudi tena, kesho yake jioni nkapokea simu, "Eiffel I Miss You"
Nkamwambia come and get it if you want it.
Kwan alikawia, hahaha.
Baharia nlijiona mshindi sana.
Tuliendeleaga hivyo kwa miezi sita ila sikutaka kuweka majeshi cause baadae nlikujaga kushika simu yake nkakutana na mambo ya ajabu sana.
Although baadae she came to fall in love with the Nigga.
Kilichokuaga kinaendelea kwenye Sms, Whatsapp, na DMs nkajisemea mm hapa sikai.
Wakuu hawa mademu wazuri WANATONGOZWA SANAAAAAAAA.
Tena na watu wenye mawe yao.
Honestly this made me soo uncomfortable.
Yan wewe kama umejiweka kwake weka hilo akilin, take things easy, piga sepa.
La sivyo Kisukari na Pressure vinakuhusu.
Alikuaga anatongozwa sana na watu famous kwenye industry ya muziki na filamu.
She even slept with a couple of them.
Sikuwah kumuuliza chochote cause nlijua huyu sio wakuweka makazi.
Nlichompendea hakuwahi kuniomba hata 100 yangu.
Ilikua tu akijiskia nyege huko ananpigia simu napiga anasepa.
We went for a couple of dates, and i never had to pay a Dime.
Sema sikua comfortable mwanamke kutake care of the bills, soo nlikua namake sure tunasplit the costs.
Kama sina ndio ntoleee hio.
Tulikujaga kuachana baadae kwa sababu zilizokua nje ya uwezo wetu/wangu.
Hua anantafuta mpaka kesho lakin sijawah kureply wala kuanswer her calls back.
She's one of the good woman i've ever met, inshort ndio demu mzuri katika wanawake wangu wote nliowahi kua nao, kwa kipindi hicho, sema alikua hatari kwa usalama wa afya yangu.
Sikuwahi kutumia Condom.
Nlipima baadae na majibu yakaja Safi.
Nkamshukuru Mungu.
Maaana kwa zile Conversations nlizokua nakutana nazo kwenye simu yake.
Watu maarufu wanapita sana pale.
Mnajua Slay Queens tena.
Nlichompendea ilikua akifika kwangu anakua real, the real her.
Mapozi yote yanaisha, sema ndio hivyo alikua soo immature.
Utoto mwingi.
NB:
Huyu Manzi kiukweli siwezi kusema nlikula kimasihara, yeye alinkula kimasihara.
Maana kwa ule uzuri na standards alizokua nazo, kwa financial status nliyokua nayo kipindi kile, sio rahisi kumiliki demu kama yule. Ukiwa huna Chapaa.
Nayakumbuka maneno yako mpaka kesho D*
"EIFFEL i know you are broke, let me take care of everything, things will fall inplace oneday"
Thanks for the good memories.
Cause ulinkubali for whom i was.
I rarely get this these days.
TUPIGE KAZI WAKUU.
TUTAFUTE HELA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! nimebubujikwa machozi!!!A continuing story of how I met my wife.
Nimepokea PM kadhaa zikishauri story hii niipeleke kile kwenye entertainment forum. Kwa sasa naona niendeleze tu hapahapa mpaka pale itakapoonekana kuwa yafaa hivyo (ingawa ni kweli harakati zinazoendelea hapa hakuna masihara tena).
Tuliumiza kichwa sana namna gani Boss Rona anarudi kwake bila kuzua varangati. Maana hata ungekua ww ndugu msomaji, mkea anarudi sketi imechanwa, shati limechanwa na kachafuka oil ingekua ngumu kumuelewa. So idea mojawapo ilikua tupite town tununue nguo then apitie kwangu aoge kisha abadilishe. Ila wanawake bana wako very smart hasa inapokuja kwenye suala la survival. Akachukua simu yake akampigia mumewe, “babe gari imeharibika njiani, naomba uje unichukue" kamtajia barabara mojawapo pale mjini, then kazjma simu akaniambia problem solved twen'zetu. Na hata Tshirt yangu kanirudishia hahahah. Amefika kwake jamaa hayupo kaenda kumchukua mkewe. Sasa sijui alivorudi mzee baba aliambiwaje.
Basi mazoea na Boss yalizidi sana. Siku moja yupo kwangu baada ya mechi, tumejipumzisha kitandani akkaniambia, “Ujue Kiga sijawahi penda in my life. Yaani pamoja na kuwa nimeolewa na nina watoto ila sijabahatika kufall in love, wewe ndo mwanaume wa kwanza kukupenda and I love you so much" nikamwambia how comes hajawahi penda,? Vipi kuhusu mwanaume wako wa kwanza? Boss Rona alikua amelala kiupandeupande tukiwa uchi, kichwa ameegemeza kwenye kiganja cha mkono mmoja, huku mkono mwingine ukiwa unatalii kifuani kwangu, nilivyomuuliza kuhusu baba mtoto wake wa kwanza, akalala chali akaangalia darini kisha akafunguka.
“Nilivyokua form three mwishoni mwezi November, majira ya jioni mzee alinituma duka la jirani nikamchukulie pakti ya sigara. Nakumbuka ilikua kama saa 12.30 hivi kigiza kilikua kimeanza kuingia. Bbaada ya kununua pakti ya Sportsman, pale dukani kulikua na mkaka amesimama kwa pembeni, wakati natoka yule kaka akanisemesha kwa kiingereza, akaniomba samahani na kuniomba nimsaidie kumtafsiria kitu kwa muuzaduka maana walikua hawaelewani lugha.
Kumuangalia vizuri nikaona kweli ni mgeni, yaani anawajihi kama wa kisomali hivi. Basi kwq kuwa ngeli kwangu haikua shida nikamsaidia akapata anachotaka. Then akannambia kwa kuwa amenichelewesha anaomba anisindikize hadi home maana giza lishaanza kuingia. Nikqmwambia asijali home sio mbali. Akasisitiza sana nikaona sio kesi. Katika kunisindikiza ndo nikafahamu anaitwa Mekonnen na ni raia wa Ethiopia. Amekuja Tz kwa short course ya miezi miwili inafanyika chuo kikuu pale mlimani. Tulivyofika karibu na home nikamwambia nimefika asante, Mekonnen akaomba kama sitojali anione kesho yake pia ili tufahamiane vizuri, “who knows you might find urself in Addis someday" nikacheka. Akasuggest saa nane kamili atakua ananisubiri kituo cha basi pale Urafiki. Then akasepa, yaani hakunipa hata nafasi ya kukubali au kukataa.
Kesho yake was Saturday, so out of curiosity, nikaaga naenda kwq rafiki yangu Tina then huyo nikasepa zangu kumuona Mekonnen. Nilichelewa kama dkk 40 hivi ila nilimkuta mkaka wa watu amenisubiri. Kwa kuwa ilikua mchana ndo nilimuona vizuri, he was handsome, ila sio kama ww mpenzi (akajihami mapema) and had very good eyes. Basi alivyoniona alifurahi sana. Then akachukua taxi, “nipeleke chuo hall six" nikamwambia kumbe kiswahili unakijua? Akajitetea kuwa amekariri some phrases za muhimu.
Kufika hall 6, kuna block moja wanakaaga foreigners, tukapanda ngazi mpqka room kwake. Nikakaa kwenye kiti, then akatoa juice aliyoihifadhi kwenye jagi akanipatia. Tukaanza stori za Ethiopia na historia yao hasa ya mfalme wao wa karne ya 19 Tewodros wa pili iliyonivutia sana. Badae akabadili mada kuanza kunisifia pale nilivyoumbika, mara ghafla akanifata kaanza kunishika matiti. I was surprised nikajikuta sijui nifanyaje nikabaki nimetulia. Akili ilivyokuja kukaa sawa keshafungua vifungo vya shati ananyonya chuchu. Nikawa kama nahisi raha, nikasema potelea mbali ngoja nippate cha kuwasimulia akina Tina shuleni j3.
Kukatisha stori, Mekonnen akawa amenila kimasihara siku hiyo. Akanipa hela akasema hii utumie kama nauli ya kuchukua taxi kesho uje tena. Mi kimoyomoyo nasema hapa sirudi. Nafika home nimechelewa nakuta maza kukasirika mbaya. Wamama wanakuaga na machale sana hasa siku mabinti zao wanapochezea mshipi kwa mara ya kwanza. Akajikuta ananigombeza kama nusu saa. Basi nikaomba msamaha yakaisha. Bahati nzuri mzee hakuepo maana yule Mkurya akiamua kupiga hajali ww ni wa kike au kiume, kama anapiga mwizi.
Basi siku zikapita, baada kama ya wiki mbili hivi, siku moja namsaidia mama kuandaa pilau home, nikawa namenya vile vitunguu saumu, tunapiga stori fresh tu na maza, mara nashangaa mama ameniangalia kwa makini hasa eneo la juu ya kifua shingo inapoanzia. Mwanzoni nikahisi nimeexpose utajiri wangu, kujicheki niko sawa. Sikutegemea swali aliloniuliza, kwa upole kabisa akasema “Rona mwanangu, siku ulipochelewa kurudi ulikutana na mwanaume? Dah, ntajibu nn sasa. Nikajikuta vitunguu simenyi, kujibu sijibu ninetizama tu chini. Maza akanisisitizia tena “tell me the truth" nikajikuta naitikia kwa kichwa, then nikafuliliza na maneno kama buku ya kuomba msamaha na kupromise sitakaa nirudie. Nikaona mama machozi yanamlengalenga then akasema “its too late now, YOU ARE PREGNANT". Then akaniacha hapo kaenda room kwake. Nikakaa hapo kama dkk 10, najiambia its not true, its not true, its not true…
Kesho yake tumeishi kama paka na panya, nilivyomsalimia kwannza hata hakuitikia, nikajifungia zangu room siku nzima hata sikula that day. Siku iliyofuata nakumbuka maza alikua anasafiri kwenda Moro kikazi, nikapata ahueni. Ila bado nikawa sina raha. Siku hazigandi, wiki iliyofuata maza karudi, cha kwanza kanipeleka hospital, majibu ya vipimo kutoka kweli nina mimba. Almanusura nizirai, I swear I just wanted to die. What will I do. How will I survive? Mama ananiuliza eti ninampango gani? Who is the father? Ikabidi nifunguke A to Z.
Naona maza aliona hii ngoma sasa nzito, ikabidi amshirikishe mzee baba, mjeda mwenyewe, mzee Ghatti. Nakumbuka ilikua jioni kama saa 12 hivi siku ya ijumaa, nasikia mzee ananiita kwa sebule, Ronaaaa!. Roho ikapasuka pah!. Nikawakuta wamekaa wote baba na mama. Nilipoketi mama akaniambia, haya mueleza baba yako umalaya wako…. Nikapiga goti nikatembea kwa magoti mpaka kwa baba, nikamuomba msamaha kwa dhati kabisa. Baba hakusema neno, akawa ananiangalia, mm nikawa natarajia nianze kupigwa mangumi. Mara nasikia sauti ya baba kama analia, kuinua macho, dah… my dad alikua kaweka uso kwenye viganja vya mikono, machozi tu yanamtiririka… Since hili sekeseke limeanza sikuwahi kulia, but seeing my father cry like that, melted my heart and I cried too.
I cried a lot. Nikajutia kugawa uroda kizembe. Ndo maana huwa nawaambia wazazi, kumpiga mtoto anapokosea unamtengenezea tu ile hofu kwako. Yyaani akiwa na uhakika jambo ambalo umemkataza kuwa anaweza kulifanya na ww usijue basi atalifanya. Ila mtoto akiona jambo alilofanya limekuumiza mzazi wake, yaani aone ile pain aliyosababisha, hakika itafanya achukie kitendo alichokifanya.
Mzee kaniacha pale nalia, mama kaenda kumpoza mumewe. Baadae nikarudi room nikajilaza. Sijui hata usingizi ulikuja saa ngapi. Nakuja kushtushwa na mlango ukigongwa asubuhi. Mama kaingia. Wote macho yametuvimba. Animalia nikae then kaniambia baba yako amesema hataki kukuona hapa, ushakua mtu mzima kaishi na huyo mmeo, hataki hata mahari yako.
That was the last time nimeishi home kwetu. Kinachoniuma hadi leo ni kuwa the last noment kumuona baba yangu ni ile akiwa analia. It pains me bado. Nilivyofukuzwa home, pa kukimbilia nikaona ni kwa shangazi, mitaa ya Ukonga. Nakumbuka ilikua kama saa saba hivi mchana. Nilivyo msimulia naye kasema baba yako atahisi mm niko upande wako, ww rudi home then ntakuja niongee nae. Mmh. Nikaona hapa balaa. Nimezurura tu mtaani hadi saa 12 jioni ndo wazo la kwenda hall 6 likanijia, labda tukae na Mekonnen tuone tunasolve vipi. Kufika kule saa mbili kasoro, gonga mlango anatoka mdada.. “nikusaidie nini", Mekonnen nimemkuta? Yule dada kaniangaliaaaaa, then akajitambulisha kuwa eti yeye ndo mke wa Mekonnen , nikaishiwa nguvu.. nikatembea usiku ule mpaka ubungo, nikapata wazo la kwenda kwa baba mdogo Magomeni. Kufika na kibegi changu, uzuri alinipokea nikasema hapa siwasimulii mpaka kesho nisije timuliwa usiku huu.
Kesho yake nikawahadithia mkasa mzima. Mzee akasema basi kaa hapa nikiwa naendelea kutafuta suluhu na baba yako. Nikasemma hewala, Mungu hamtupi mja wake, hasa mja mzito hahahaha. Kumbe ba mdogo nae bazazi tu. Yaani nikajifunza kuwa mwanaume hakusaidii kitu mpaka nayeye afaidike, hata ndugu. Siku moja usiku nimelala nasikia kitasa kinafunguliwa, nikajikausha, mara naona mtu anapanda kitandani, nikakurupuka nikasimama. Kumcheki ba mdogo kavaa kichupi tu yuko kifua wazi. Ananifuata kunihug, sasa nikashindwa cha kuamua, nitulie niliwe na ba mdogo ili niendelee kuishi pale, au nigome anitimue. Najua hata yy aliona huyu hana option, akawa ananiminya makalio, dah nikajikuta tu nimepiga ukungaa. Ukunga ukamfanya na yy apanik kaniachia, akawa anatoka room nilipokua, hamad! Wakakutana na mkewe mlangoni kwangu mke kunicheki nimejikunyanta kwenye kona ya room, kumcheki mumewe ana kichupi, nikasikia tu, baba Bhoke, unataka mbaka mwanao. Sijui walimalizaje hiyo kesi room kwao. Mm ilivyofika saa 12asbh nikakusanya kilicho changu nikasepa.
Ntaenda wapi sasa. Nakumbuka nilikaa sana kwenye kituo cha basi siku hiyo. Nikawaza kuna mwalimu wangu wa kike alikua ananipenda sana na nilikua napajua kwake mitaa ya mkwajuni. Nikatembea kwa mguu mpaka kwake, alikua amepanga nyumba moja nyuma ya msikiti pale. Kuniona na begi nahisi alijua tu ujio sio wa kawaida, maana alinifuata akanihug huku mikono yake ikitambaa kichwani kwangu, I cried a lot on her shoulders. All the time ananibembeleza kama mtoto ile, shhhh! Shhhhh! Shhhhh! Its ok now, it will be ok. I felt tired and relaxed at the same time. Akanikaribisha home, hakuniuliza hata chochote, kaniambia nikaoge, nlivyomaliza nikala, then kwa kuwa nyumba ilikua chumba kimoja tu na sebule akaniwekea mazingira pale sebuleni kaniambia pumzika. Huezi amini niliamka saa mbili usiku.
Kuamka nikakuta ashapika cha jioni, then nikasikia anaita, “mpenzi, mgeni ameamka njoo umsalimie" akatoka chumbani mkaka mmoja hivi, kwa umri alionekana kama mdogo kidogo kwa madam Nora. Nikamsalimia pale, akakaa. Kichwani nawaza tu yale ya ba mdogo yatajirudia hapa. Nikajisemea itakua sina jinsi, itabidi tu nigawe uchi maana inaonekana ndo passport yangu ya kupata usalama na malazi. Basi yule shemeji ambaye madam Nora alimtambulisha anaitwa KM, akaniomba niwasilimulie yaliyonikuta. Nikawapa mkanda mzima sikuficha kitu (ingawa issue ya ba mdogo niliipindisha kidogo kumlindia heshima).
Wakanipa moyo pale na madam Nora akawa analalamika namna watoto wa kike tunavyonyanyasika. Akasema hapo mdogo wangu jamii inakuhukumu kwa kupata mimba, watu wanasahau kuwa mimba ni matokeo tu, kosa lako lilikua moja tu la kufanya mapenzi ktk umri huo, na hilo ni kosa ambalo hata kama baba yako angelisikia angekuadhibu akakusamehe. Ingekua kila anayefanya mapenzi anapata mimba basi asilimia 80 ya wanawake wote unaowaona wangekua walifukuzwa na wazazi wao. Na sio hilo tu, binti anayechukua uamuzi wa kutoitoa mimba yake huyo ni wakutiwa moyo maana wengi huishia kufanya kosa la kutoa mimba kwa kuogopa haya unayopitia sasa.
Kimsingi madam alinipa faraja sana. Nimekaa pale siku tatu hivi, madam akanambia sasa inabidi tutafute suluhu na mzee. Kweli mmadam kaenda mpaka home, alivyorudi akaniambia mzee kamtimua tena kwa bastola, nikajikuta namuonea huruma. Kesho yake akaniambia ameshauriana na mpenzi wake wameona ni hatari kukaa na mtoto wa watu, lolote laeza tokea, nikaona sasa hapa natimuliwa tena dah! Wakashauri tukapige ripoti polisi Magomeni, kufika polisi wakasema twende ustawi wa jamii maana mm bado ni minor.
Yule shemeji KM alikua anafahamika sana (Baadae nilikuja kujua ni mcheza mpira wa timu moja maarufu hapa mjini, na hilo jina KM ni ufupisho wa neno Kiungo Mtaratibu, jina alilopewa na watangazaji wa RTD) kwa hiyo akawaomba polisi waweke kwenye record kuwa Rona Ghatti anaishi kwa madam Nora. Ikawa kama taarifa ya kuokotwa mtoto aliyepotea hahahaa. Baadae kweli tukaenda ustawi nako protocal kibao, tukaambiwa tuanzie kwa mjumbe. Ila basi lengo la familia hii iliyonipokea likatimia. Serikali inatambua niko pale .
Bbaada ya wiki shule zikawa zinafunguliwa, tumbo halijawa kubwa madam kanambia ww twende. Wakati huo shemeji KM akawa anafuatilia kuhusu Mekonnen, walau ampe taarifa anakiumbe chake. Kupitia kwa professsor mmoja pale chuoni ambaye alikua ni mdau mkubwa sana wa timu anayochezea akafanikiwa kujua kuwa ni kweli kuna waethiopia walikua UD kwa short course ppale idara ya mimea na ni kweli kuna mmoja anaitwa Mekonnen, basi tukawa tumepata adress ya taasisi wanayotoka kule kwao. Nikapata walau faraja kuwa mwanangu attamjua baba yake. Tukaandika barua kwenda Ethiopia.
Form four hiyo ilivyofika mwezi March tumbo likawa linaonekana kwa mbali maana miezi minne, ila uzuri halikua kubwa sana. Madam alikua ananisaidia sana kukwepa vile vipimo vyao vya mimba shule. Ila baada ya midterm break , madam kashauri nisiende shule. KM akanitafutia vyeti vya kufoji kuwa naumwa figo so niko hospitalized[emoji1787][emoji1787] lengo nikae home then nikafanye tu mtihani.
Ikawa hivyo. Madam alinijali sana, alihakikisha nakula vizuri, aliniletea vitabu vya kujisomea ili nijiweke tayari. Shem KM yy hakua vizuri sana kimasomo ila alikua ananipa kampani sana, mara nyingi madam alikua anatoka mapema, anatuacha mm na KM basi tutacheza karata, atanipigia gitaa, siku nyingine atanipeleka kwenye mazoezi yao alihakikisha nakua happy. Alikua mtu poa sana KM mpaka nikaacha kumhisi vibaya, akawa zaidi ya ndugu.
Miezi tisa ikakatika, wazazi wangu hata hawajui naishi vipi. Barua kwenda kwa Mekonnen Ethiopia haikuwahi jibiwa. Niliandika nyingine kadhaa nazo hazikua na majibu. Mungu akaamua kunifuta machozi Nikabahatika kumpata the prettiest baby I’ve ever seen. Madam na KM ndo ndugu walionishughurikia mpaka natoka hosp,. Wamevumilia vilio vya mtoto usiku, wamenisaidia sometimes kumbembeleza usiku wa manane, na sio madam tu hadi KM.
Nimekaa wiki nzima mtoto sijampa jina, wananiuliza nasema sijui hata, badi wananitajua majina pale mara Gift, mara Celine, mara Rita mm natingisha tu kichwa, then one day asbh madam anaamka kwenda job ananiambia make sure unamuogesha mwanao mchana, nikamwambia mwanangu anaitwa Nora.
Madam akaniangalia kama dakika nzima, then akanifuata nlipokaa, akamchukua mtoto, akakaa naye amempakata hasemi kitu then with tears in my eyes I said, “thank you". We hugged, nikamuonna anafuta machozi pia. It was the least I could do, kumpa mwanangu jina lake ili nisije kamwe kusahau wema alionitendea.
Mitihani nilifanya, na nikafaulu vizuri tu, zaidi hata ya baadhi waliokuwa wanaenda shule kila siku. Madam alifurahi kinoma. Post za shule kutoka nimepangiwa Nganza girls. Dah! Ntaendaje nimuache mwanangu. Shemeji KM mzee wa maconnection akamfuata yule prof, tena kipindi hicho ameteuliwa kuwa waziri. Basi nikabadilishiwa shule nikabakizwa town.
Nimekaa na madam kipindi chote akinilea kama mdogo wake, mahitaji yote akinitimizia, then Mungu akawabariki wakafanikiwa kujenga nyumba yao maeneo ya Tabata mimi na mwanangu tukawa na chumba chetu sasa. Wakaajiri dada wa kuwa anatusaidia kipindi nipo shule. Kikubwa zaidj madam nae kapata ujauzito. Basi full raha na mipango mingi jinsi watoto wetu watakavyokua ndugu.
Muda wa kujifungua umefika, tumempeleka hosp, she was crying maumivu ya uchungu bt I was loughing, knowing soon am gonna hold her baby. Bahati mbaya ilibidi ajifungue kwq operation, basi tukawa tunamsubiri atoke theater. Baada ya kama 2 hrs, akatoka nurse mmoja akamuita KM pembeni hata sielewi kinachoendelea. Mara naona KM kachuchumaa anashika kichwa, namfuata ananiambia, she is dead! My wife is dead, mke na mwanangu wote wamekufa! Nilihisi kitu kama kaa la moto kwenye koromeo, miguu ikakosa nguvu. Ninekuja kushtuka nipo wodini nimelala, housegirl yupo na mwanangu pembeni, ndo nikaanza kulia sasa. My heart was broken. Ndo nikajua siku hiyo maana ya broken heart. Kuna maumivu mengi duniani bt that pain that day, was beyond any pain I have ever endured.
Bt as they say time is a healer. Msiba ukaisha, nikawa nasubiri muafaka kutoka kwa KM, oneday nikamwambia, kwa kuwa dada kaondoka itabidi nikatafute pengine pa kukaa. KM akanambia ww ni mdogo wangu pia. Hapa ni nyumbani. Tutakula tutakachojaaliwa. Tutavaa tutakachojaliwa. Mungu hatatutupa. Basi tukakaa pale mpaka nimemaliza form six. Kifo cha madam kilimaffect sana KM, hata soka kiwango kikashuka, ikabidi asajiliwe na timu moja ya jeshi. Chuo nikafanikiwa kupata nafasi ya kusoma B.A education. Mwanangu anazidi kukua, and she was a beauty, a true Ethiopian queen kama Cleopatra mwenyewe. Nywele ndefu, rangi nyeupe kama mwarabu, macho ya baba yake, watu wakajua nimezaa na mhindi[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Nikiwa chuo KM ndo annakua baba mlezi wa mtoto akisaidiana na housegirl. Mwaka wa kwanza ukakatika. Mwaka wa pili ukaisha. Mwaka wa tatu, KM akapata injury so mpira ukawa basi tena. Bahati nzuri jeshi likampa ajira akawa anatrain vijana wenye vipaji pale kwenye shule ya jeshi. Kipindi chote hicho KM sijawahi muona na mwanamke. Oneday nikamuuliza tu kiutani, shem, si uoe nipate wifi. Kasema eti anamsubiri mwanangu Nora akue ndo amuoe hahaha. Tukaishia kucheka pale.
Then one day sijui kazini kwao alifanya kitu gani wakampandisha cheo, so alifurahi balaa, ameinfmgia tu ndani “Rona, Rona, nimepanda cheo job" and he started loughing alafu akanihug, nikamhug pia. Ila nikashangaa hajibandui, mara nastukia shavu lake kwenye shavu langu, mara anaupeleka mdomo wakr shingoni kwangu. Mm nimetulia tu. Then akawa kkama ameshtuka hivi akastop. Akaniachia. Akaniomba radhi. He is such a gentleman. Najua anahamu za miaka, maybe amedevelop feelings kwangu. I just said, its ok. Hongera kwa kupanda cheo, leo will cook pilau, akatabasamu.
Nimemaliza chuo nikapangwa nikafundishe Msalato. Mm nshazoea mjini. Nikamuomba KM anifanyie mafekechee, akasema sku izi hana connection tangu atoke timu kubwa watu wanampita tu hata hawamsalimii. Baadae nikakumbuka jina la yule waziri professor, oneday nikaenda hadi ofisi yake. Katibu muhtasi wake akaniambia hana muda siku hiyo. Yaani nimeenda pale kama siku nne mfululizo hola, siku ya tano nikakutana na waziri ground floor. Nikamfata, nnikajitambulisha kwa harakaharaka wakati huo tunatembea na kuna watu wengine. Then akasimama akatoa miwani akaniangalia akasema ahaa ww ndo mdogowake KM, nikajibu ndio, sawa, njoo jumatatu saa nne.
Kweli j3 nikafanikiwa kumuona. Nikamsomesha pale anifanyie mpango nipangwe jijini hapa, basi akasema tuonane jioni Kilimanjaro hotel. Then tuone tunafanyaje. Yaleyale ya bamdogo, yani wanaume hakusaidii mpaka apate chake dah!. Mwanzo nikasema niachane nae, ila nikasema liwalo na liwe, ngoja nibaki town. Jioni nikaenda. Waziri kanipeleka room, kanivua nguo kanilaza chali. Bila hata maandalizi kamtoa jongoo kampachika. Was like a robot, machozi yananitoka, sio kwa maumivu, ila nilikumbuka mama alivyoniita malaya, dah, leo kweli nimekua malaya. Nikajiapiza, this is the las time kufanya u malaya.
Kesho yake akanitambulisha kwa mhusika wizara ya elimu, sijui mkurugenzi wa kitu gani nishasahau. Nikiwa ofisi ya huyu mkurugenzi akaingia mbaba mwingine wakasalimiana kama marafiki, nikawa natoka nje niwapishe, huyu mbaba kasema noo, just stay mm nimepita tu. Yule mkurugenzi ndo kanitambulisha huyu ni mtoto wa kaka yake waziri prof, oooh! Kumbe. Mm ni mkurugenzi ofisi ya ujenzi, mawasiliano na uchukuzi. Mwenyeji wangu akamwambia tunamtafutia shule nzuri hapa mjini akafundishe. Yule mgeni kauliza, “umesomea nini" nikajibu, kasema kwanini mrembo kama wewe ukachafuke chaki, njoo wizara yetu.
Nikawa excited, really! Kasema yeah. Basi mipango ya kupangiwa shule ikaishia pale, nikaambatana na yule mkurugenzi hadi wizara yao. Akanipa options tatu, niwe katika ofisi ya raslimali watu, ofisi ya uhasibu, au ofisi ya mawasiloano kwa umma. Nikachagua raslimali watu, basi kirahisi tu kaniambia jioni nimpelekee vyeti pale new Africa hotel. Damn! Hapa nishaliwa tena duh…. Jioni nikaenda kweli… nikaliwa kweli. Nikajiapiza tena, this is the last time nafanya umalaya.
Kweli niliansa kazi, ila nikajiongeza kwa kujiendeleza kielimu mpaka sasa nina postgraduat diploma ya Business Administration upande wa human resources. Nimekaa pale wizarani muda mrefu sana, nikipanda cheo baada ya cheo. Mpake nilipohamishiwa hapa Dodoma. Ambapo umenikuta.
Dah… imepitia mengi mpenzi, nikampa pole. Ila nikamuuliza tena, KM yuko wapi siku hizi,? akanijibu “ndo mume wangu unayemuibia kila siku", nimezaa nae two kids. Nikajikuta najisikia guilty…. Yani namfanyia ufedhuli KM, such a good guy. Bt I wanted to know more, Mlitongozanaje? Nikadadisi, “kuna siku tu niliwaza kuwa no man will marry a woman with a child, na KM alishaoneshaga dalili ya kunitaka,so usiku wake, nikatoka room kwangu hadi kwake. I has a short night dress and nlijua akiniona lazma atamani. Nikamkuta ametoka kuoga, aliponiona alijua nilichofuata. Ndo ukawa mwanzo wa mahusiano na MK.
Sijui alikumbuka nn Ronna, ila baada ya kumaliza kusimulia akaanza kububujikwa machozi. Nikawa nimemkumbatia, bila kusema kitu, akiwa bado analia mkiono wangu ukaanza kupapasa mgongo. Then nikashuka kwenye tako. Nampapasa tu slowly. She continued crying, nikashangaa dushe imesimama dede,… bbasi nikaona huyu ili atulie lazma nimpe tam. Nikaanza chezea kutumbua, nikazamisha vidole, nlipoona ulaini upo sikutaka romance sana, nikamtenga ile ya mende kafa nikapenya. Huku analia mm napump. Nikaona ananihug kwa nguvu…. Pls don’t hurt me…. You are the only person I’ve ever loved. Nikawa napump huku nanyonya lips. The sex was so good. Hadi anaenda kwake ni saa tano na.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu soma kuelewa sio kuja tu kumpinga mtu.
Hujaona sehemu nlipoandika anachukua uber anaomba nimpe directions?
Umeshawah kupanda Uber kweli mkuu?
Na unafikri kwenye chatting zetu za weekend sikumuambia nimepanga wap na yeye anaishi wap?
Unafikiri aliwezaje kukadiria muda wa Nusu saa kufika kwangu bila kujua nakaa wapi?
Jifunze kujiongeza Mkuu.
Anyways, it's of you to take it or leave it.
Your Choice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maaamaeee.... HahahhhhhWell leo naona biashara inaenda taratibu sana, ngoja ni buy some time niweke yangu hapa.
JINSI NILIVYOMLA SLAY QUEEN.
Back in the days, nimemaliza chuo pale Mlimani, nlijikuta nimepigika sana.
Inshort i was totally broke, hasa ukizingatia nlikua sitaki issue za kuajiriwa soo harakati zikawa hazitembei kabisa kwa muda ule, kurudisha mpira weekends kwa Keeper ilikua ni PIE. Constant.
Good thing is nikiwa mwaka wa 2 chuo nlipanga Ghetto langu safi, soo pamoja na kua juu ya Mawe nlikua nina uhakika wa sehemu ya kula, kulala na kumkaribisha mgeni yeyote wa Kike.
JINSI NLIVYOKUTANA NAE.
Siku hio nimetoka kwenye harakati za kimaisha, nkijiangalia mfukoni sina kitu, nkajisemea leo ngoja tu nirushe mpira kwa Keeper, nikajisogeza stand ya Daladala mdogo mdogo ( Hii ilikua around saa 3 usiku ).
Ikaja Eicher mmoja hivi ina baadhi ya seats ziko empty, ile kupanda nkajisogeza kwenye mmoja ya seats ambazo zilikua double hazina watu, kukaa dirishani nikaone nipo sehem ile ya Tairi, kwa wajuzi watanielewa ile position ukiwa ni mrefu kidogo hua panakufanya uwe uncomfortable, bila ya kugeuka nyuma yangu, nkajirudisha kwenye seat ya nyuma.
ieleweke kua wakati napanda nlipandia mlango wa nyuma soo seat iliyokua nyuma yangu nliispot ikiwa imekaliwa na mdada hivi amesuka Braids, ya pembeni yake ikiwa haina mtu.
Soo muda huu nlivyoamua kurudi seat ya nyuma yangu nlifahamu fika yupo mtu lakin seat ya pembeni yake ikiwa haina mtu.
Nimesimama kuelekea ile seat ya nyuma, nikae, ndio nkapata CLEAR VIEW ya yule Dada, Aiseeee!! Aiseeee!!!
Wakuu i was flattered, alikua ni mdada mmoja hivi black beauty, ana shape unaiona hii hapa, mrefu wa shingo na miguu, halafu ana smile mmoja hivi ambayo ilinfanya nichanganyikiwe hapo baadae baada ya kumuona akismile.
Simply put, she was a 10, according to my Standards.
Nakumbuka nlimuangalia once, nkamsalimia halafu nkamute, kimya. Lakin hapa akili ikawa haipo kabisa, mbaya zaidi alikua amevaa earphones kwaio haikuwa rahisi mimi kuanzisha conversation na yeye, halafu ni zile types za wadada ambao ukimuona tu unajua huyu ni slay queen. Nkazidi kuchoka.
Safari ikaanza, yeye kimya, mimi kimya (Lakin muda wote huu akili ipo kwake tu, nawaza na kuwazua namna ya kuanza kumuongelesha sipati sababu)
Bwana bwana Mungu hamtupi mja wake, thankfull kuna insident ilitokea mule kwenye daladala abiria wakaanza kushout out, kila mtu anapayuka, nkajisemea this is my chance, nkasema na mm nalianzisha hapa hapa, lakua na liwe, nkiumbuliwa nashuka kituo kinachofata kwan sh ngapi?
Nkamsemesha yule Manzi a few words kuhusu what really happened mle kwenye daladala, nkionesha kusikitishwa na what really happened, suprisingly alitoa positive feedback ambayo ilinfanya nshangae sana, hapa ndio nlipoiona ile Smile. Nilichanganyikiwa wakuu.
Story zilianzia hapo, na wala hakua na mapozi kama nlivyomchukulia mwanzo, she was soo down to earth, na muda wote anasmile. Sema kwa zile outfits alizovaa, na nywele alizokua amesuka, unajua kabisa huyu mtu sio wa pesa ndogo.
Nlipoona nakaribia kushuka nkamuomba number yake akasema "Cool", kipindi hiki nlikua nimepoteza smartphone yangu soo nlikua sina simu kubwa, but kiNokia Torch.
Akatoa Iphone yake me nkatoa kimeo changu, akaniuliza swali dogo sana,
"Hio ndio simu unayotumia?"
Nkamjibu "YES"
Akasema siwezi kukupa number yangu kama unatumia simu kama hio.
(Imagine anasema hivi mbele ya abiria na wanasikia).
Akilini "I was like WTF!, am Doomed"
Ila akili za 007 zikanjia faster ili kuua soo, nkamwambia simu yangu imeisha charge nimeiweka kwa bag. Hii ndogo hua naitumia for emergencies.
Naona mtu anankazia macho ila akaishia kusema haya
"Write it down, na ukifika nitext kwenye Whatsapp"
Mwanaume nkaandika number nkaibeep kama inapatikana, nkashuka, nkasepa.
Kimbembe kinakuja sina whatsapp wala smartphone.
Nkachukua Laptop yangu nkainstall whatsapp nkamcheck usiku ule ule.
Damn people. Damn.
Hapa ndio nlikujaga kujua huyu Manzi alikua ni mtu wa aina gani.
In a span of few hours had saa 11 asubuh tulichat mambo mengi sana had nkaomba mgegedo usiku ule ule, sikupewa jibu. Nkajua hapa nshatinyanga kazi.
Nkalala.
JINSI NLIVYOMLA.
Kesho yake was a weekend, soo tuliishia kuchat throughtout the day, likewise until Sunday, lakin had inafika jumapili usiku tukawa kama ni wapenzi tayar, sijamtongoza wala nini, just casual and erotic convos tu zilikua zinatembea hapo, ila game sikuomba tena tangu ile ijumaa usiku.
Nlikuja kujua baadae ni mwanafunzi wa chuo final year na alikua akiishi hostel za mtaani na rafiki yake na ni watu wa bata sana (Hii nlikuja kuiona kwenye IG page yake, posts zake hakuna kiwanja hajaacha kwenda)
Nkaishia kujisemea huyu me tutaishia kuchat tu lakin haya maji ni marefu sana kwangu siyawezi. Sina pesa yakumhudumia mtu sasa hivi, afterall nlihisi she was out of my league.
Lakin mwanaume ngajipiga moyo kando nkasema let me see where this will take Us.
Monday imefika siku hio hatukuchat kabisa, na mimi nkaendelea na misele yangu, kufika jion nkawa nsharudi maghetton, nkawa nimechill.
Wakuu mimi ni Introvert sipendi kusocialise kwaio ilikua nkifika ghetto najifungia mpaka kesho yake.
Saa 5 usiku nipo zangu naangalia movie, sina hili wala lile, nkiwa na maswali mengi sana kuhusu mstakabali wa maisha yangu, yan hata huyu Manzi siku hio sikumwazia kabisa, nlikua nina stress vibaya mno, kidogo naona simu ya Manzi inaingia kwangu, i was a little bit Shocked kuiona simu yake muda ule.
Nkahisi huyu atakua amekutwa na msala huko tu.
Nkasema sipokei hii simu. Nkakausha.
Alivyoona sipokei akakata simu akapiga tena.
This time nkasema ngoja niipokee nimsikie anasemaje usiku wote huu.
MAZUNGUMZO YETU.
Mimi "Hello D*"
Yeye "Poa, leo umenkaushia"
Sikujibu kitu hapa.
Yeye "Uko wapi"
Mimi "Nipo Ghetto nimechill"
Yeye "Uko na mtu?"
Mimi "Hapana"
Yeye "Unajua ijumaa sikukupa jibu lako?"
Mimi "That i realised"
Yeye "Nakuja kukupa jibu lako, nipe Nusu saa"
Mwisho wa kunukuu.
Sikuamini nlichokua nimekiskia kutoka kwake, nlijua anantania, nkachukulia poa.
Ikaingia text "Nachukua Uber nipe directions"
Nkapanic kidogo.
Nkajisemea Shit has just got real here.
Halafu muda huo mfukoni ni buku 5 tu ya kesho.
Yan kusema hata nkamnunulie msosi muda huo i cant.
Nkajisemea leo ukisikia mwanaume anaumbuka ndio leo.
Ila moyoni nlikua nina furaha kinoma iliyojawa na hofu cause nlijua mwanaume naletewa mzigo.
Nkampa maelekezo namna ya kufika mwanaume nkaenda nkapiga zangu pushups kama 100 hivi, Squarts kama 100, nkastretch out nkaenda kuoga nkatulia. Kunywa maji mengi sana.
Hii hua ni mbinu hua naitumia kabla ya Game yeyote ile isiyo ya gafla.
Nkajisemea huyu leo akinvulia chupi, sifanyi makosa.
Kwanza kabla sijaendelea naomba nimdescribe huyu manzi kidogo.
Alikua na urefu wa 6 ft.
Yan amenzidi kidogo had mimi urefu.
Ana hips na matako ambayo toka nianze kua na kujihusisha na mademu sijawah kua na mtu mwenye mzigo kama huo.
Nahisi ndio maana nlipanic kidogo.
Her face and smile ndio vilikua vinanmaliza kabisa.
At first nlihisi ni Mnyarwanda cause hana tofauti sana na maumbile yao.
Mama yake ni Mbulu.
Na alimfata mama yake mazima mazima.
Mnaweza imagine alikua na uzuri wa namna gani
Nlikua sijawah kumuona hivi live live toka ijumaa, nlijua haya baada ya kuona pics na vids zake za IG.
Kuhusu urefu nlikuja kujua baadae.
Baada ya kama 40 mins.
Ananambia nimeshafika nipo nje.
Ile nimetoka kumpokea nje, ndio nilizidi kupagawa aiseee.
Alivaaa this short dress, with heels, ananukia vizuri, mzigo wote unajichora huko ndani, halafu anakua anasmile tu muda wote, hapana aiseee this was too much to bare.
NILIDINDA PALEPALE.
Wakati namhug aligundua kua huyu jamaa ameshasimamisha, akaishia kusmile tu hakusema chochote.
Akamlipa Uber nkamkaribisha ndani.
Ila ameingia ndani, sikutaka hata kumuuliza chochote kile, nlimuanziashia pale pale mlangoni, she never resisted nashangaa napewa ushirikiano tu, nkajisemea huyu leo atantabua.
Nafikiri alikua ameshajua nini kitatokea baada ya kuona mwanaume nshasimamisha toka nje huko.
Sitaki niwachoshe na nini kiliendelea wakati wa kutiana ila hakuna kitu sikuacha kufanya.
Alikua msafi mnooo.
Smelling soo damn good.
Akili mm haipo.
Piga sana dekio.
Mtoto analia tu huko.
Na alivyokua mrefu na lile shape me ndio morali ikawa inazidi tu simsikilizi.
She was soo flexible ya miguu nliibania kifuani kwake nkaishika yote na mikono yake nkaibana na miguu.
Hapa alikua hawezi kufanya chchote, akawa anapiga tu kelele, mwaga sana maji mtoto wa watu yule.
Me simsikilizi hata kidogo.
Yan mpaka anakuja kunambia niingize ndani ameshalegea muda sana.
Piga sana mashine.
Kula Sana Mate.
Yan sikumhurumia hata kidogo.
Nlijisemea am might not get this chance ever again, better use it wisely.
Wakuu naomba tu nseme ile kitu nliipiga usiku kucha.
Ilikua ni mwendo wa pumzika, oga, nimerudi kiunoni tena.
Demu analia tu huko.
Hadi kufika asubuh miguu iko hovyo vibaya mnoo.
Siwezi hata kusimama.
Muda huo yeye kalala tu.
Baadae alivyoamka nikaendeleza show, i remember siku ile alikua na group presentation akawaambia rafiki zake anaumwa hawezi kwenda.
Alishinda pale for the whole day.
Nkamkopa mwanangu mmoja hivi pesa ikatuvusha siku hio.
Asante zikawa nyingiiii, me nkawa nacheka tu.
Mwanzoni nlijua huyu akisepa harudi tena, kesho yake jioni nkapokea simu, "Eiffel I Miss You"
Nkamwambia come and get it if you want it.
Kwan alikawia, hahaha.
Baharia nlijiona mshindi sana.
Tuliendeleaga hivyo kwa miezi sita ila sikutaka kuweka majeshi cause baadae nlikujaga kushika simu yake nkakutana na mambo ya ajabu sana.
Although baadae she came to fall in love with the Nigga.
Kilichokuaga kinaendelea kwenye Sms, Whatsapp, na DMs nkajisemea mm hapa sikai.
Wakuu hawa mademu wazuri WANATONGOZWA SANAAAAAAAA.
Tena na watu wenye mawe yao.
Honestly this made me soo uncomfortable.
Yan wewe kama umejiweka kwake weka hilo akilin, take things easy, piga sepa.
La sivyo Kisukari na Pressure vinakuhusu.
Alikuaga anatongozwa sana na watu famous kwenye industry ya muziki na filamu.
She even slept with a couple of them.
Sikuwah kumuuliza chochote cause nlijua huyu sio wakuweka makazi.
Nlichompendea hakuwahi kuniomba hata 100 yangu.
Ilikua tu akijiskia nyege huko ananpigia simu napiga anasepa.
We went for a couple of dates, and i never had to pay a Dime.
Sema sikua comfortable mwanamke kutake care of the bills, soo nlikua namake sure tunasplit the costs.
Kama sina ndio ntoleee hio.
Tulikujaga kuachana baadae kwa sababu zilizokua nje ya uwezo wetu/wangu.
Hua anantafuta mpaka kesho lakin sijawah kureply wala kuanswer her calls back.
She's one of the good woman i've ever met, inshort ndio demu mzuri katika wanawake wangu wote nliowahi kua nao, kwa kipindi hicho, sema alikua hatari kwa usalama wa afya yangu.
Sikuwahi kutumia Condom.
Nlipima baadae na majibu yakaja Safi.
Nkamshukuru Mungu.
Maaana kwa zile Conversations nlizokua nakutana nazo kwenye simu yake.
Watu maarufu wanapita sana pale.
Mnajua Slay Queens tena.
Nlichompendea ilikua akifika kwangu anakua real, the real her.
Mapozi yote yanaisha, sema ndio hivyo alikua soo immature.
Utoto mwingi.
NB:
Huyu Manzi kiukweli siwezi kusema nlikula kimasihara, yeye alinkula kimasihara.
Maana kwa ule uzuri na standards alizokua nazo, kwa financial status nliyokua nayo kipindi kile, sio rahisi kumiliki demu kama yule. Ukiwa huna Chapaa.
Nayakumbuka maneno yako mpaka kesho D*
"EIFFEL i know you are broke, let me take care of everything, things will fall inplace oneday"
Thanks for the good memories.
Cause ulinkubali for whom i was.
I rarely get this these days.
TUPIGE KAZI WAKUU.
TUTAFUTE HELA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kukusahau ww mkuu
Sijui alikupa chai si chai, kahawa si kahawa, alikasusi sijui nini...naona na sisi hizi chai si chai, kahawa si kahawa...unataka kutuleteaAsubuhi na mapema kama kawaida yangu sasa 10 asubuhi natoka zangu naelekea beach kwa kukimbia huwa natumia nusu saa nikichelewa sana dakika 40 kutoka kwangu mpaka beach ilikuwa ni siku ya kazi juma5 nilivyofika beach siku kuta watu wengi wali kuwa wachache sana hata 10 hawafiki kama kawaida nikifika tu beach mazoezi hapa na pale viungo nini baada ya kumaliza kabla ya kuludi huwa na tabia ya kukimbia mchanga kwa mchanga kama round 3_4 ndio naelekea home wakati napiga round ya kwanza kule ninapo geuzia nikakutana na mdada mmoja akiwa peke yake amejitenga akifanya mazoezi yake huku akiwa na headphones zake alivaa zile skintait cjui nimepatia na kitop flan juu tumbo kitovu kipo wazi huko chini sasa na ile skintait yake ndio balaa kabisa kama mwanaume aliye timia lazima ningemfata na kuongea naye japo kidogo tu roho yangu ilizike kweli nakamfata alipoona namkalibia akatoa headphones zake nikampa salamu na kumuomba tujumuike sote kwenye mazoezi akakubali alikuwa ni mgeni pale beach nilijua hilo kozi ndio siku ya kwanza kumuona pale na Mimi huwa naenda kila siku baada ya maswali mawili matatu ndio nikajua anaitwa happy sio jina lake halisi na anakaa kalibu kabisa na pale beach ameamia juzi juzi tu baada ya kupata kazi na kupangiwa nyumba na ndio alikuwa anaanza mazoezi pale kwa siku ya kwanza ...
Tulifanya mazoezi huku nikiwa nafanya yeye anaiga nikajifanya mwalimu ikafika kipindi nikawa nashika na kumuelekeza JINSI ya kufanya au kumpa msaada kweli zoezi baada ya mda nikasema hapa naweza chelewa job ngoja niage nisepe nikaomba namba nikapewa nikamwambia Mimi nasepa akasema hata yeye basi tukaondoka wote uku tunakimbia njia ya kwakwe ndio ile ile niliyopitia kama nyumba ya 5 tu kutoka pale beach tukafika na kusimama akaniambia kalibu ndani unajua zile nyumba za kalibu na beach zinavyokuwa niliogopa kidogo na kuuliza hakuna mbwa au Mme wako akasema naishi mwenye basi kidogo nikapata nguvu tukaingia akanikalibisha mpaka ndani sebleni na yeye kuingia ndani baada ya dakika 3 akaniletea kahawa sijui chai sijui alikasusi nilishindwa kuielewa chungu si chungu tamu si tamu yeye akasema anakuja aneenda kuoga baada ya dakika 5 akaludi uku amevaa taulo liloanzia kidogo juu ya mapaja na kwenda juu uvumilivu ulinishinda ngoma ikasimama na zile nguo za mazoezi ndio kabisa likawa linaonekana nadhani aliona hali hilivyo akaja uku anacheka cheka na kufata kikombe chake alivyofika na kuchukua kikombe nikajifanya nanyanyuka ili niage nisepe nikajikuta nimesima nyuma yake na kugusa tako na ngoma yangu iliyo simama tukaganda kama sekunde 30 na akanigeukia na kuniletea mdomo kweli bwana njia yangu ilifanikiwa nilipiga pale pale kwenye kochi Yule demu hakuwa mzuri sana kwa mapenzi ila lile umbo lake ndio balaa kumbe ndani hakuna kitu k mbaya sana joto hakuna kabisa alafu ni zile k unaweza pitisha hata mkono na ukazama nilisha yavulia maji nguo ikabidi nayaonge tu demu alipiga sana kelele maji kibao nikashindwa hata kumuelewa inamana anaisikia au mbona Mimi naona kama napiga deki bahari kama dakika 20 ndio nikaja shusha wazee demu hongera hongera sana pale mm huyu nikasepa zangu tuliendelea na ile tabia kama wiki1 tujakuwa mapenzi kabisa nikawa naenda kwake au anakuja kwangu akaniambia ana MTU wake aliye MPA kazi nzuri gari nzuri na nyumba nzuri jamaa ana mke demu ndio mchepuko tulidumu kama 5yrs kozi nilipata kitonga sana ganda LA ndizi jamaa yake alikuwa yupo vzr tulijenga na kununu vitu mbali mbali na tukazaa jamaa akijua mtoto ni wake na jamaa akaja kufa kwa ajali lkn. Maisha yetu yaliendelea na bado yanaendelea mpaka sasa
Kazi bado anayo na magari anayo na nyumba anayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wee fala si uoe angalau unadilishe rangi kweny ukoo[emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya ile story nilivyokuwa ninamtafuna Mama wa Kisomali ngoja niwaletee hii nilivyomtafuna mtoto wa Kiaarabu
Kama nilivyowaambia mwanzoni nilikuwa nafanya kazi kwenye nchi Fulani hivi ambayo inaongozwa na sharia kali za Dini.
Ukitaka kunywa pombe lazima uende kwenye hotel za 5 stars kama Kempeski , Sheraton, Hilton, Acacia etc
Weekend kwenye ile nchi huwa unaanza Alhamis jioni. Basi ikifika mida ya saa 4 huwa napenda kwenda Sheraton Hotel, nakumbuka Bar yao ilikuwa floor ya 12 (tuseme ni Bar na Disco). Basi kama kawaida yangu mimi nikifika huwa ninakaa Counter na kuagizia Heinken yangu baridi.. Pombe ni gharama kwa hiyo inabidi unywe mdogo mdogo.
Basi bwana siku hiyo kulikuwa kuna mtoto mmoja wa kishua ana birthday party pale (wenyewe waniiita kwa kifaransa anniversaire).
Siku hiyo kulikuwa kumechangamka hatari.. watoto wa Kishua wa Kiarabu wanavutua shisha na masigara kwa fujo zote. Katika like kundi kulikuwa na mtoto mmoja kajaza hatari (Sanche ansubiri)
Basi kidume mimi kichwa cha chini kikapiga alarm. Ila yule dada alikuwa havuti shisha wala sigara. Akawa amekuja counter kununua kinywaji. Nikamshika mkono kama nataka kumsalimia.. Demu akanikataa mbaya..
Basi baada ya muda nikamstua demu mmoja aliekuwa rafiki yangu.. counter pale, nikamwambia ninamtaka yule demu mwenye matako.. kwanza demu akastuka..akanimbia why unamataka demu mwenye matako makubwa wakata kuna vi modal vya kufa mtu? Nikacheka tuu nikamwambia mimi ni Muafrica (I like touching). Demu akacheka sana.
Yule demu akamfuata akamwambia ninamuita..demu akagoma, akamwambia basi anipe number yake..Demu akagoma,akasema nimpe no yangu atanitafuta. Basi fasta Baharia nikatoa number.
Baada ya pale ikapita kama mwezi hivi kimya.. siku moja weekend nipo home jioni nikaona msg imeingia imeandikwa (Salut comment ca va? Vous souvenez-vous de moi?) yaani Habari,unaendeaje ? unanikumbuka ?
Fasta nikasave ile no. Nikaiangalia kwenye whasapp kama ipo… kuangalia nakutana na profile picture ya yule demu. Basi tukaendelea kuchart nikamkaribisha nyumbani. Tukapanga the next weekend nimfuate kwao kwenye saa 1 jioni.
Kweli nikapanga na dereva wangu mmoja mshikaji tukamfuata kwao.. Kama kawaida demu katoka home fully Hijab(kininja),halafu kabeba zawadi kaaga home anakwenda kwenye birthday.
Huku na huku demu huyoo mpaka apartment. Kufika tuu ndani demu kavua hijabu kabaki na jensi moja matata sana inambana. Nywele kaziachia zinapiga kwenye mgongo..Mtoto alikuwa mzuri sijawahi kuona.. (Aisee hizi Hijab zinaficha mambo mengi)
Ile piga piga story nikawa ninamtania tuu.. vipi nikuleteee shisha.. akasema hatumii,nikamwambia sigara kasema pia hatumii,nikamtania tuu vipi nikuletee Ganja ? Kwanza demu alistuka sana kisha akacheka kweli kweli,baada akaniambia unavuta ganja ? nikamwambia ndio navuta..akasema hata yeye ndio kilevi chake, akaniambia nimejuaje anavuta ganja ?
Nikamwambia sisi wavutaji tunajuana ? (ukweli sijawahi kuvuta ganja,ila nimekaa sana na watu wanaovuta ganja huko kijijini)
Demu akanimbia ana ganja vipi alipue ?nikamwambia mimi nimeacha kwa muda ila kama anataka kulipua tupande juu ya ghorofa kwenye kuna sehumu open watu huwa wanapenda kukaa. Basi bwana akanyonga ganja lake.. akaomba maji ya baridi huyu tukapanda zetu juu. Kufika juu yeye akawa mbele amesimama na mimi nipo nyuma (mfano ile wa Jack & Rose kwenye Titanic, wakati Jack kampeleka mtoto Rose juu ya Meli )
Basi mtoto akipiga fundo la ganja mimi kwa nyuma napapasa kichwa,chezea nywele shuka mpaka kwenye kifua,, shuka mpaka kwenye mzigo.. binya binya sana mzigo.
Mtoto anakuambia anasikia raha za ajabu..anakuambia anahisi kama anapaa (nilivyokuwa ninampiga romance huku anakula Ganja. anakuambia Peponi ni hapa hapa duniania… Nilikula sana mate na moshi wa ganja ile siku..
Baadae tukashuka chini kitandani.. chezea sana mtoto. Piga mashine sana..mpaka tukavunja kitanga..Tukaweka godoro chini piga sina machine..(Though ana mashine ndogo ajabu. Pamoja na demu kuchezea sana K..imeloa lkn kuingiza ilikuwa shida
Yule demu anasema ameisha Europe ila hajawahi kutiwa hivi,aliniambia Ganja alijifunzia Europe alipokwenda kusoma..kutoka na baridi kali rafiki zake walimshauri ale ganja itamsaidia kuondoa Baridi
Basi usiku mkali nikamtoa demu, kesho yake nikareport kitanda changu kibovu,, basi walinzi wakawa wananicheka tuu. Nilikuwa namtafuna yule mtoto mpaka nilivoondoka kwenye ile nchi
Bado tunawasiliana na bado anataka kuja kunitembelea. Anasema haweza kumpata maishani mshikaji kama mimi (nilikuwa ninamuelewa sana). kila tukichart anakumbushia Ganja na romance especially ile head massage niliyokuwa ninampa
Hehehe.. nimeshaoa mkuuSasa wee fala si uoe angalau unadilishe rangi kweny ukoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo chuo mwaka wa 3,kuna demu wa mwaka wa kwanza nilimkuta yupo sehemu kama ana maumivu, nikamsogelea kujua nini tatizo, kumbe demu anamaumivu kisa kapata sup somo moja, kidume nina sup 3 afu sina habari, tukapiga piga story paleee, nikamshawishi twende geto tuchk movie, aiseee kilaani nikala tunda bila kumtongoza, baada ya wiki niakaanza kumtongoza, eti akanikataa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. wanawake wakiwa na mahasira mpka raha
Lini utakuja kunitembelea mageton?Haaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yan jamani, haya matusi mengine haaaaa
Taki mimiLini utakuja kunitembelea mageton?
Mmeona?Acheni kukaa peke yenu jamani. Hata kwenye upande wa wanyama, simba anatishiwa na kuchanganyikiwa kwenye nyumbu wengi. Nyumbu mmoja ni rahisi sana kupata lolMwanamke akiwa mpweke kumla laisi sana
Wanawake hua hawasikii.... Unaumiza vidole vyako bure tuu, hakuna mwanamke mjanja mbele ya mwanaume.....Jamani wanawake mmeona. Mkiwa na hasira tafuta rafiki yako wa kike au ndugu wa kike unaemwamini umueleze na kama wewe ni mtu wa Imani muombe Mungu akusaidie. Wazungu wanasema "When you are hurt take time to heal" Yaani kama umeumizwa jaribu kutafuta hobby unayoipenda ili kujifariji. Mimi huwa nikikerekeka ntaenda kusikiliza muziki halaf rafiki yangu atanipa na support nzuri. Hakikisheni mnapokua na boyfriend au fiance wako usiache urafiki na mahusiano yako ya karibu na marafiki zako. Huwa wanawake wanaumizwa kwa ajili ya kuweka akili zao zote kwenye mahusiano. Mkija kuvunja mahusiano ndo mnakutana na vijana kama hawa wanawala kihasara hasara tu bila mpangilio. Kwanini ushirikiane kimapenzi na mtu ili kutoa hasira? Naombeni tafadhali msifanye hivyo. This is a cautionary tale. Mtaishia tu kuwa dustbin ya sperm..... ndo mnavyofanywa na ndivyo mwanaume atakavyokufikiria. You are more than a one night stand.
PS: Najua nimewakera watu wachache. Ni maoni yangu tu. Kuwa huru kutoa mawazo yenu pia. Siku njema wadau