Military Genius
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 761
- 1,464
Kweli kabisaStori nyingine wadau waongo Sana yaani unasoma hadi unaisi ni keroooh.. mimi nishakula sana matunda kimasihara, na wakuu tuseme UKWELI tu gemu la kimasihara wanangu halinaga muda wa kukojoleshana wala nini..
Gemu la masihara kwanza hakunaga kujiandaa, wanangu humu wanasema jinsi walivyokula mademu zao siku ya kwanza ndo wanasema alimla kimasihara wakati ni demu wako ulishamtongoza huko.
Na kubwa zaidi watu hamjui Gemu la Masihara ni lile gemu ulilokula Kwenye Mazingira Hatarishi yaani pale ndo umekula kimasihara sababu ata Mazingira ayaruhusu kabisa.
Wakuu tuache Uongo tu, Demu akishakuja hadi kwako hapo hakuna masihara, sababu akija mpaka kwako tayari akili umesha andaa wat next.
Masihara ni Hapo kwa Hapo, Kama Radi vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu
Acha uzembe mm huwa nina manzi yangu siku zikiamka huwa napiga mpk 7 chini ya hapo n tano 5 kwahyo mwamba huwa simshangai kupiga 8Najua ni 8 boss. Ulianza na bet ya bao 12 ndo maana nkaiweka hapo. Wewe ni lijendiiii.
Kwa kweli mimi 8 siwezi kufika. Pamoja na uhuni wangu wote, nkishapiga 4 hamu ya papuchi nakua sina tena, nakua natafakari dhambi zangu tu hadi usingizi uje.
hizi mambo kawaida sana tena utasikia ngoja niongee na simu...unajibu usiwaze ongea tu unasaidia punguza na kelele za muzikiIyo normal mkuu,nilikua .namega mke wa mtu gafla mumewe akampigia akapokea wakati anaongea mi nimelala kwenye mapaja yake ananichezea ndevu.nami namchezea chuchu,
Sent using Jamii Forums mobile app
My girlfriend alitaka kuniacha sababu
ya huu uzi.
Ipo hivi, majuzi kati nilipost kula kimasihara kwa mtoto wa kirangi kitoka kondoa, nilielezea kila kitu kuhusu mazingira yalivokua na hadi kumla yule mtoto wa kirangi.
sasa jumapili ya juzi kulikua na ubatizo hapa kwa jirani, watu kibao walialikwa na sisi tukiwemo, tukanywa pombe chakali, jirani akaomba nimsindikize anapowarudisha wageni stand kwa gari yake ili asiwe pekeake kwny gari, kwa vile nimelewa, nikampa simu yangu wife aingie nayo ndani adi nitakaporudi.
sasa tumekwenda kusindikiza wageni, safar zikawa ndefu na huyu jirani yangu, tumezagaa hadi sa saba usiku,
nilivorudi home, wife akanambia kaoge kwanza ndo uje ulale, aiseee, nimetoka kuoga nakuta wife ameamka na amekaa,
kumbe kasoma kile kisa chote cha kumla yule mrangi kimasihara na ameshamjua ni yupi mana aliweza kuunganisha doti.
nimeyumba sana, nimejitetea sana japo nimekataa kabsaaaa kua nimemla yule mdada, amenisamehe kwa sababu ananipenda ila nimeumia sana kumuumiza mwanamke wangu, najisikia vibaya sana, nimejiona mpumbavu sana aiseeee.
imenidi nifute coment zangu zote huko juu kuhusu kula kimasihara ili maisha yaende kwa muda huu.
amenisema hadi nimejiona mjinga, nilikua mdogo kama piliton, nimekosa adi ujasiri wa kumtazama usoni, thou she is okei now but mimi nafeel guilty sana.
najuta kufanya vile, najuta kwnn nilimuachia sim yangu wakati sipo nae,.
tuwe makini wanazengo, tuheshim mahusiano yetu.
play safe, love life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa asubuhi na tayari nilikuwa nimechelewa kazini mkuu.
Ingawa kwa sasa najilaumu maana bidada alikuwa anatoa majibu ya kuridhisha sana ila finishing ndio tatizo.
Wanasema majuto ni mjukuu. Ungefikiria kabla hujaachana nae na kumpa heshima yasingekukuta.MREJESHO.
Kama ulisoma kisa hiki, naomba nikupe mrejesho kua nimeachwa rasmi juzi na jana nikatangaziwa tena kwa uhakika zaidi.
kaniacha kwa sababu chanzo ni kile kisa cha kumla binti wa kirangi na akajumlisha na matukio mengne ya nyuma ambayo nimewah kumfanyia hasa ya kumchit.
offcoz, kwa matukio niliofanya, i dont deserve her, nimemchit mara nyingi sana lakn sikuwahi kuwaza kama angejua na angechukua maamuzi alochukua jana.
kanivumilia kachoka na hakika anastahili kunichoka,
imeniuma sana sanaaa kwa sababu ni mwanamke pekee ambaye nilikua nina malengo ya kuishi nae na tulikua tushazaa nae mtoto ambaye ana 2.5yrs by now.
nimeumia na nimejutia kosa langu kutoka ndani yangu, nimejiapia kabsa kua sintakuja kumchit teeeena mwanamke nitakaekuja kua nae, kuachwa na huyu binti kumekua funzo gumu na kubwa sna kwangu.
anaendelea na maisha yake na hataki tena mahusiano na mm.
nitaandika thread vzr kwny jukwaa hili la mahusiano ili tujifunze mana kupitia hili nimejifunza mengi,
nitaelezea full stori muone makosa yangu na yake mjifunze pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi, malipo hapa hapa.Dah ilikuwa 2013
Nilikuwa supervisor kiwanda flani hivi arusha. Kiwanda kina wadada kibao kutoka mikoa mbali mbali na mimi ndo nilikuwa na chagua kazi.
Tulianzisha kitengo kipya (product mpya) kwhy tukawa na uhitaji wa wafanyakazi wapya. Walikuja wadada 10 wageni kutoka kiwanda flan hivi kilichokuwa kimesimamisha uzalishaji.
Mzee baba mimi ndo nikapewa kazi ya kuongeza kitengo kipya banah. Sasa totoz hzo zilpokuja kuomba kazi nikaziambia ziache namba za simu baada ya kuzifanyia usaili. Walikuwa wanahitajika watu sita tu. Nilichofanya ni kuwatongoza wote maana walikuwa wakali kinyama.
Yaani huwez amini nilitafuna wote ndani ya wiki ile kama masihara tu. Walikuwa watamu balaa.
Kimbembe kilikuja kwny matokeo ya usaili maana nilichagua wale tu waliohitajika na kampuni. Wale waliokosa wa kaenda hadi kwa md kumlalamikia kuwa nimewatomba afu nimewanyima kazi. Na msj za ushahidi walikuwa nazo. Md alinitimua mchana kweupeee.
Tokea hapo msj naziogopa sana mazee.
Mkuu hapo kwa mpangaji nilikuwa na mazoea ya kwenda ko siku hiyo nilivyoona nipo bored nkasema niende halafu kuna mida niliona totoz"Ngoja niende kwa mpangaji wetu maana kuna kamekuja"
Muda huohuo hukuwa na mawazo ya mgegedo??
Be serious basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilidhani dume unajifanya mwanamke, nimepitia comments zako nimeamini ni mwanamke.Uzi mtamu huu mi nakumbuka nililiwa kimasihara na jamaa alikuwa na ofisi ya internet nilienda kujaza application za chuo, jamaa alikuwa mcheshi balaa na movie akanipa, baada ya mazoeza tukaanza kubishana kuhusu mapenzi na story za hapa na pale hadi ikafika jioni and wateja waliisha kilichofuata jamaa alijilia tunda kimasihara afu ndo wale wanaume wanaotimia lisaa hakojoi mbona nilikoma nilichechemea hadi kufika home ilikuwa mtihani maana mpaka mate yalikauka, baadae aliomba gemu tena nayo alijipigia show za kutosha baadae nilimpotezea baada ya kuona nitakuja kufa bure, lisaa limoja bao moja siku akikojoa tatu nitakuwa na uhai kweli ukichanganya na alivyojaaliwa mguu wa mtoto
Mnatuongezea masingo maza mitaani, vijana wa sikuhizi pasua kichwa imagine angekuwa Dada yako ndo kafanywa hivyo ungefurahia? Inaonekana wewe hata pesa ya kumtunza mtoto hutoi ndo maana ameamua kuvunja mahusianoMREJESHO.
Kama ulisoma kisa hiki, naomba nikupe mrejesho kua nimeachwa rasmi juzi na jana nikatangaziwa tena kwa uhakika zaidi.
kaniacha kwa sababu chanzo ni kile kisa cha kumla binti wa kirangi na akajumlisha na matukio mengne ya nyuma ambayo nimewah kumfanyia hasa ya kumchit.
offcoz, kwa matukio niliofanya, i dont deserve her, nimemchit mara nyingi sana lakn sikuwahi kuwaza kama angejua na angechukua maamuzi alochukua jana.
kanivumilia kachoka na hakika anastahili kunichoka,
imeniuma sana sanaaa kwa sababu ni mwanamke pekee ambaye nilikua nina malengo ya kuishi nae na tulikua tushazaa nae mtoto ambaye ana 2.5yrs by now.
nimeumia na nimejutia kosa langu kutoka ndani yangu, nimejiapia kabsa kua sintakuja kumchit teeeena mwanamke nitakaekuja kua nae, kuachwa na huyu binti kumekua funzo gumu na kubwa sna kwangu.
anaendelea na maisha yake na hataki tena mahusiano na mm.
nitaandika thread vzr kwny jukwaa hili la mahusiano ili tujifunze mana kupitia hili nimejifunza mengi,
nitaelezea full stori muone makosa yangu na yake mjifunze pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi tu mkuu hawawezi kuyavumilia, wengine wanajibana sana au kukutoa hapo kwa nguvu, wachache sanaa wanaweza kuvumilia yatoke huku unaendelea. Mwingine yakishatoka kiasi hawezi tena kuendelea anachoka mbayaWengine huyazuia hayo maji sio wote wanaoweza kujiachia mpka yakatoka"mara nying ukiona demu kat kat ya game anakimbilia choon ndo hayo maji yalitaka yatoke sema kayazuia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nina hisia nae mbona hizo dk 3 tutaenda sawa tuSasa kipi Bora mkuu, wa dk 3 kakojoa au show ndefu ukitoka dudu zote hutamani tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mwanàmke anayejitapa kugongwa na wanaume wengiNilidhani dume unajifanya mwanamke, nimepitia comments zako nimeamini ni mwanamke.
Hivi niambie, unajisikiaje ukigongwa? Mkiwa wanawake, huwa mnajisifia kugongwa na wanamme wengi? Mfano sisi wanamme ni sifa na hatuoni aibu kusema nisha wagonga 20. Kwenu ikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu kwenye chama kadi utaipata kwa MLEVi MmojaMREJESHO.
Kama ulisoma kisa hiki, naomba nikupe mrejesho kua nimeachwa rasmi juzi na jana nikatangaziwa tena kwa uhakika zaidi.
kaniacha kwa sababu chanzo ni kile kisa cha kumla binti wa kirangi na akajumlisha na matukio mengne ya nyuma ambayo nimewah kumfanyia hasa ya kumchit.
offcoz, kwa matukio niliofanya, i dont deserve her, nimemchit mara nyingi sana lakn sikuwahi kuwaza kama angejua na angechukua maamuzi alochukua jana.
kanivumilia kachoka na hakika anastahili kunichoka,
imeniuma sana sanaaa kwa sababu ni mwanamke pekee ambaye nilikua nina malengo ya kuishi nae na tulikua tushazaa nae mtoto ambaye ana 2.5yrs by now.
nimeumia na nimejutia kosa langu kutoka ndani yangu, nimejiapia kabsa kua sintakuja kumchit teeeena mwanamke nitakaekuja kua nae, kuachwa na huyu binti kumekua funzo gumu na kubwa sna kwangu.
anaendelea na maisha yake na hataki tena mahusiano na mm.
nitaandika thread vzr kwny jukwaa hili la mahusiano ili tujifunze mana kupitia hili nimejifunza mengi,
nitaelezea full stori muone makosa yangu na yake mjifunze pia.
Sent using Jamii Forums mobile app