Sasa kama umekula hdi jini tushangae nn ww kula maiti?
Ila we jamaa htari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri nao unakukimbia angalia usije ukaanza kulalama kuwa hauna bahati
 
Huu uzi jamani una haribu vijana wetu sana bora ufungiwe tu
Ulishakazana Uzi ufungiwe, Uzi ufungiwe wakati kila kukicha umo tu unasoma comments zote fupi na ndefu, halafu inaonekana ukiusoma huwa unakuwa wet sana na huna wa kukukuna ndo maana, emu kitulize basi binti na jaribu kubalance shobo zako, pita kimya uende kwenye majukwaa ya dini huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilete na hiyo ya maiti tujue ilikuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliachana vibaya sana ikabidi niache kazi lakini boss lady akawa hataki. Kesi ilifika hadi mahakamani. Kwa kifupi ni story ndrfu sana

God save us
Kaka naomba uimalizie mpaka huko maana mbali na kula tunda kimasihara huu pia ni uzi wa mafunzo na burudan ku share life stories kama hazitakuathiri sana binafsi.

Please naomba uweke huo muendelezo kuufanya uzi uwe na nakshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…