πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nianze kwa kucheka kwanza maana huu uzi umenifurahisha nimesoma comment weee mpka basi..... Nafikiri mm ndio nikiliwa cjui kimasihara cjui kiutani cjui niitaje kisa KARATA tu,, kuna kijana mmoja tulikuwa tumepanga nyumba moja bac tulikuwa washikaji tu story za hapa na pale yani fulesh tu siku moja nlikuwa narudi om kutoka miangaikoni bac nkamkuta nje ya chumba chake kashika karata baada ya kusalimiana akauliza unaweza kucheza karata nkamjibu na maconfidence yani mm nisijue kucheza karata Yani ntakufunga magoli ya ukoo mzima....

Bac buana akasema tuwekane dau kila mtu ataje atampa nn mwenzake endapo atamfunga michezo mitano kwa mpigo.... Yy alisema mie ntakupa laki 1 ukinifunga, sasa mm cjui ni nn tu nkasem mm ukifunga ntakupa uchi... Buana buana...

Nkajiroga tuzama ndani kwani nilishinda mchezo hata mmoja sasa πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† kufungwa nikafungwa na tunda likaliwa na kutokea hapo tukaanza kudate ila badae tulikuja achana baada ya kupata uhamisho wa kikazi na mawacliano yakafa.......
 
Daaah ndipo nilopo juwa kwamba Kuna bahadhi ya miradi inaweza kujiongoza yenyewe especially hii thread maana rikiboy ayupo lkn mambo sio haba kwakwel[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji467][emoji467]

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hayupo, Kwani kuwa na ID nyingine mpya kunahitaji alama za vidole na kitambulisho cha NIDA?!
Yupo kila siku humu na ana comment ili huu uzi uwe alive na hasa akiona umepooza.
 
Hongera umeliwa KIMASIHARA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaaa sasa hapo ndo tunda lako liliwa kimasiala....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My memory loves you,it asks about you all the time_I long for you[emoji131]
We still have a chance ya kupeana mambo sweet as it was before

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cha masihala si kitam sana?
 
Ameaa Italia kwa mda gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Amekaa Italia mda gani
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Nani kasema me natafuta Mume?

ahahaha depal tafadhali ahahaha kule tumeongea vizuri huku umeniruka 🀣🀣🀣🀣 haya bwana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Nani kasema me natafuta Mume?

We endelea kutublock tu, nimekudm hautak kujibu haya bwana 🀣🀣🀣..kuna leo na kesho 🀣🀣🀣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Emu niache [emoji3][emoji3][emoji3]
Me nachangamsha genge tu

🀣🀣🀣🀣🀣 nimecheka 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndio umekuja na ile ID mpya?! Lol sijibugi DM ambazo title tu haieleweki

ahaha kumbe kuna mtu kakufuata kweli dooh 🀣🀣🀣🀣, watu hawalaz damu 🀣🀣🀣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapo kabla ulikuwa unamwelewa mshikaji kwamba labla ulikuwa unampenda au ilitokea tu siku hiyo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…