Haya
 
Mamamamae bro
We jamaaa una kila kitu aiseuandishi
Flow
Context aisee
Ieither way if his story is true or not we jamaa una kipaji cha uandishi
Inhave to be honest i do enjoy this series mazafantaa
Kesho mbaliiii
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mzima hachungwi ila omba sana usije ukazaa mtoto wa kike akarithi tabia zako za uzinzi atakuuwa mapema kwa presha,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu nnao wa4 warembo hatari, nikimdaka mazingira tatanishi pasipo shaka naozesha kabisa, wala sina mpango wa kusomesha za bei mbaya apambane na hizi kayumba akifeli imekula kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubaguzi we somesha tu hao wa kiume nao hawaeleweki Mara kawa shoga au teja si balaa tupu
 
Mkuu wanaokula kimasihara sio wote wanafaulu, hata sisi kuna mara chache tunaingia chaka, ila kikubwa ni kua mwepesi kumsoma mtu haraka bila kuchelewa pia na mazingira yawe rafiki, mfano unaeza mseti demu mkiwa kwa gari au kichochoroni hakikisha unamaliza hapohapo (kuna baadhi) ukianza sijui twende gest au home unaeza mkosa hivihivi akili zinamrudia.
Kuna mmoja alinisumbua sanaa kunipa k (hapo ashakubali kua mpenz wangu) kama miezi 6 hivi lkn kuja home hataki kwenda lodge hataki karibu kila wiki ahadi zinavunjika, naeza mchezea sana kwa gari na hua anaanzisha yeye lkn nikimwambia twende mahali anakataa (mwanzo sikutaka kumfanya kwa gari kwa kuhisi katahisi nafanyia na wengine humo) kuna siku tumerudia uani mwa lodge na geti lilishafungwa, a likua na tabia moja nkimrusha pale mlimani (alikua first year) ndio kanaanza mchezo wake wa kutaka romance siku moja tukakamatwa na dada mmoja cjui wanamwita nani akatukoromea sana tukamwomba samahani sana akakakubali ndio ikawa mwisho wetu wa kufanya huo mchezo pale eneo la chuo,
Siku nkapaki maeneo ya meeda sinza kabla ya kumrudisha nkaomba romance kwa madai kule hakufai tena na nkala mzigo hapohapo ndio baadae akaniambia yeye hawezi kwenda mahali akijua anaenda fanya tabia mbaya anakosa amani kabisa, hata baada ya hapo hapendi umwambie mnaenda fanya nini wee mshutukize tu.
Yaani ni wale mademu ukitaka kula tunda unaanza mtongoza upya hata kama ushamla nyingi.

Kwa hiyo mkuu usikate tamaa, utazoea na utajua mbinu zipi zitumike kwa yupi na wakati gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ungeanza na maneno ya kiuchokozi kwanza uone majibu yake,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…