Mlupembe ulikuwa na hatari sana kha! mtaroni mtu ghafla mara umemuinamisha ulikuwa kama jogoo
 
Nikiwa form two nilienda gheto kwa boyfriend wangu,sikumkuta nikamkuta rafiki yake.Mvua kubwa ikaanza sijui hata ilivyokuwa nilijikuta nshatiwa.Hatukuonana tena hadi mwaka jana bada ya miaka 24,kaja chuo ni mwanafuzi wangu.

pitia hii thread kuna post nimesoma jamaa anasema amelala na girlfriend wa bro wake cz kuna mvua ilikua inanyesha....
 
Unexpected sex result to unexpected pregnant, ila ni tamu hata hivyo

That's very TRUE,nlimzalisha binti kwa staili hiyo,mpaka sasa nalea,na kwa sababu sipendi mwanangu apate shida nafikiria kumuoa Huyu bibie ili tumtunze vizuri mwanetu japo kiukweli japo tangu ni sex naye cku hiyo mpaka Leo sijawahi ku sex naye tena,
 
Thumb Up
 
Duh! umenikumbusha mbali, 2005 jiona nikaonana na dem wa kaka wa rafiki yangu tukapiga stori barabarani hadi kigiza kikaingia nikamshauri alale aondoke kesho yake , mtoto akakubali muda huo na mimi ni ugenini kulingana na mazingira kuwa magumu ilibidi nilale nae kitinda kimoja kilichotokea ni historia maana hadi tulivunja chaga, hadi leo cjui yuko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…