kaka naona sasa PM yako Imejaa namba za watu kibao maana umekuwa star boy hadi Kenya

nimelikuta jina lako chuo kimoja flani hivi Kenya kwa wanaosoma hicho chuo wanajua huyu riki boy jina lake limeandikwa sehemu gani ha ha

kuna demu pia eti aliniomba namba zako si unajua tena nilijifanya nakujua kindakindaki mzee ha ha

nahisi kupitia wewe lazima nitamla Yule demu

Mtunza mazingira
 
Kwa heshima ya RIKIBOY kwa kutoka kifungoni kuwa huru
Nitafanya kama zawadi au kumpongeza ndugu yetu
Nitashusha ushuhuda ambao nilikuwa nikiuficha na kuulinda kwa mda kidogo
Kama wewe ni mpenzi wa huu Uzi utakiwi kukosa ni kosa kisheria
Hii itawajia Leo ndio Leo kwaiyo mda saa yoyote kitashuka kitu
Kama shukrani kumkalibisha tena ndugu yetu
Naludia hutakiwi kukosa huu ushuhuda
 
Leta vitu mkuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa kula dada jambazi. .baby jini. .ndugu mchawi. .sister mwizi safari hii bila shaka itakuwa story ya kula devil mwenyewe lusifer
 
Ungemuambia kwamba we ndo @Rikiboy
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…