Samboko mwananangu nimeanza na huu uzi toka mwanzo.

Nimesoma comment zote mpaka vituo

Sina nia ujisikie vibaya wala nini ila kaa ukijua kwamba tunajua kabisa story zako ni za uongo

Mbaya zaidi uongo wako wa kitoto sana
Ni kweli mkuu, hata mimi ndio najua hili kua zangu za uongo.....,
Nakuunga mkono....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh najuta kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
nlipo ona heading sijasoma , mtu mwingine ambae akiandika sisomi in samboko, za samboko nilisoma zile za mwanzo kadri alivyoendelea kusimulia nkanusa harufu ya majani ya chai, wengine wanakula kiharakati wanatuletea humu any way andikeni wanaosoma watasoma wengine tuna skip by the way nawapongeza wote mnaoandika story iwe za harakati au zakimasiara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]...! Wewe mwamba umetia fora. Huyo hakuwa chizi,ni spy,sio spy wako ila alikuuwa na kazi maalum,ila alikuelewa. Naamini kuna siku alikusaka tena mbele ya safari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hz bahat tunaztafutaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…