Inaeleweka sawa Ila huyo G si ndo anasema alimpa tunda ye binti akiwa Bikra. Hafu akamdithi kwa alikuwa kibamia wakati kapiga shuti mpaka nyavu zikachanika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasome tena uzi wake upya mkuuInaeleweka sawa Ila huyo G si ndo anasema alimpa tunda ye binti akiwa Bikra. Hafu akamdithi kwa alikuwa kibamia wakati kapiga shuti mpaka nyavu zikachanika
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, ni kwl kabisa mkuu kifo hakikwepeki unaweza ukajitunza na ndom ukafa na bodaboda n.kMkuu sina ufahamu kabisa kuhusu mambo ya afya zaidi ya kujua huwezi ambukizwa hadi upate michubuko, ilikua inatokea mara kadhaa najilaumu kula kavu baadhi yao lkn nikishakua kwenye tukio nasahau yote nakula tena kavu,
Yaani mimi kuliko kula na ndomu bora nipige selfie,
Kwenye habari ya kupima hofu lazima iwepo, nshawahi kimbia majibu pale lidas miaka flani lkn baada ya kuoa ikawa kupima haikwepeki mambo ya clinic.
Na nshawahi kuuguza adi kufa mama yangu mdogo kwa uo ugonjwa alikua bonge lkn alikufa akiwa km mtoto wa miaka 10,
Nikiwa na akili zangu kawaida nahisi kauoga flani hivi, lkn nkishakutana uso kwa uso na K najisemea NIWE NAO NISIWE NAO NTAKUFA TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu huwa anakomaa kafanikiwa
Huwa anahisi humu ndani umri wetu ni sawa na yule mtoto wa dadaake wa mwishomwenye miaka miwili.
😂 😂Najua utakuja na kula tunda kimasihara ya maiti tunakusubiri
AiseeNyie mgeoana tu na hance maana wote ni wambea tu sijui huwa mnafata nini tu kwenye huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
kukubali dinner ni kama kashakubali, mpige na wine kidogo, au kwakua kashatolewa dinner kibao we yakwako ifanye iwe unique lazima dozi imuingie ajikute yupo on bed with you, wanawake wanapenda supprise...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kapime mpwa ila kimoja tu umesahau karma, mpwa ogopa sana kutembea na mke wa mtu kwa hayo yoote uliyo yafanya hakika utayalipia na kama si wewe baasi ni watoto wako so jiandae , kumbuka hadith ya Akan na wana wa Israel,nina miaka kadhaa hapa ila kiukweli hawa wamebarikiwa1. Nimekula kimasihara demu ndani ya basi la mkoani
2. Nimekula kimasihara mdada niliekutana nae church kwenye ibada
3. Nimekula kimasihara mke wa boss wangu
4. Nimekula kimasihara mama mwenye nyumba na mtoto wake
5.Nimekula kimasihara stranger tu,nilimpa lift ya gari kipindi mvua inanyesha
6. Nimekula kimasihara jirani yangu
7. Nimekula kimasihara mdada wa mpesa
Aya weekend hii,semeni wenyewe nianze na ipi kati ya izo hapo juu
Dah ndugu muombe sana MunguMkuu sina ufahamu kabisa kuhusu mambo ya afya zaidi ya kujua huwezi ambukizwa hadi upate michubuko, ilikua inatokea mara kadhaa najilaumu kula kavu baadhi yao lkn nikishakua kwenye tukio nasahau yote nakula tena kavu,
Yaani mimi kuliko kula na ndomu bora nipige selfie,
Kwenye habari ya kupima hofu lazima iwepo, nshawahi kimbia majibu pale lidas miaka flani lkn baada ya kuoa ikawa kupima haikwepeki mambo ya clinic.
Na nshawahi kuuguza adi kufa mama yangu mdogo kwa uo ugonjwa alikua bonge lkn alikufa akiwa km mtoto wa miaka 10,
Nikiwa na akili zangu kawaida nahisi kauoga flani hivi, lkn nkishakutana uso kwa uso na K najisemea NIWE NAO NISIWE NAO NTAKUFA TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukapime ukimwi kwanza ndio tuendelee na safari[emoji276][emoji276]1. Nimekula kimasihara demu ndani ya basi la mkoani
2. Nimekula kimasihara mdada niliekutana nae church kwenye ibada
3. Nimekula kimasihara mke wa boss wangu
4. Nimekula kimasihara mama mwenye nyumba na mtoto wake
5.Nimekula kimasihara stranger tu,nilimpa lift ya gari kipindi mvua inanyesha
6. Nimekula kimasihara jirani yangu
7. Nimekula kimasihara mdada wa mpesa
Aya weekend hii,semeni wenyewe nianze na ipi kati ya izo hapo juu
UKIPITWA NA HII HUNA HAJA YA KUSOMA SHUHUDA ZOZOTE ITAKUWA AINA MAANA TENA TUNAKUJA KUZIMA NA KUFUNGUA TENA NAONA KULIPOA SASA KWA HISANI YA WANA NITASHUSHA KITU ILI MAMBO YAWE SAWA .............MWAMBIE NA MWENZIO MIKITO MIKITO KARUDI NA ANASHUSHA KITU .....
KAMA UNA MKATE ANDAZI CHAPATI NJOO NAYO CHAI IPO YA RANGI NA MAZIWA
KAMA NI MTU WA KUAMINI BASI BAKI NA MIMI MPAKA MWISHO NA ENDELEA KUAMINI .......
Hapo ndipo mlifeli mlivyosepa. Ilitakiwa mkaze Ile kindaki ndaki.... Yaani mnakuwa full bandidu.... Full bahariaEbwanaeee,,,,Haya mambo ya kula Fruits kimaskhara yamekuwa mengi sana,
Mwaka Jana mshikaji wangu alitongoza jimama Hilo hatari,sasa likampa namba wakawa wana chat,
Hilo jimama likamwambia jamaa aende weekend mana lilisema lina ishi lenyewe mitaa ya kilima hewa,na likadai mume wake alishafariki na kuhusu watoto wako shule wanakaa boarding, wakawa wana chat chat ile mbaya mpk mambo ya sex,jamaa akawa ananionyesha anajidai ile mbaya.
Nakumbuka Siku kama ya jumatano ambayo ndo ilikuwa wiki ya kwenda kumtembelea kwake weekend hyo,Lile jimama lilimwambia jamaa kuwa atafute kijana mwingine mana kuna jimama lingine linatafuta kijana,Ebwanaee jamaa akanipa ile taarifa,moyo ulilipuka Paaaaaaaah,,,,,, kama vile nimetupiwa Bomu lilitongenezwa Kwa virusi vya corona,
Pale pale nikapewa namba wazee baba,nikaanza kuchat nae,Mara akaniomba picha,nilivyo mtumia akaniuliza,wew mbona ni mdogo sana?
Nikamjibu Haina shida mtoto mzuri,sawa me ni mdogo lkn Kwa matendo yangu huwa shetan mwenyewe anakaa pembeni kushuhudia game,,,[emoji16]
Nakumbuka baada ya hiyo text alinipgia video call akicheka,Duuuh huendan na maneno yako,akasema hvo.
Siku zilienda huku tukiwa tumeshapanga tukutaniae kwenye nyumba ya yule jimama la mshikaji,
Ebwanaeee nakumbuka wiki ile nilikuwa naona kama vile haiendi mana haya majimama yalikuwa yako njema ile mbaya,ninavyo sema majimama siyo ile mijimama mitupu nyema,hapana aisee,
Nakumbuka ilikuwa ni Siku ya j pili nimeamka asubuhi tu nikakutana na text,eti tuwaandalie nin waume zetu,Nikamwuliza mshikaji,akanambia wapike ugali,akajibu duuuh mnataka mtusugue mpk tukome eti,,,!!
Mida ya saa 4 nikaenda kuchukua ndinga Kwa bro ya kwenda nayo ili kujiongezea thamani,Tukaenda mpk kilima hewa,walioko mwanza wanapajua,tukaelekezwa mpk tukafika Kwa huo mjengo,get Kali mpk nikaanza kuhis hapa kuna hatari ya kufumuliwa malinda mamake,ila mtu mzima nikajikaza tukazama mpk ndani,geti likafungwa Daaaah,Kweli wale wadada walitupokea vzr huku tumepiga pamba zile za kibishoo hasa,na tulisifiwa vya kutosha wazaz.
Tukapiga stori pale sebulen,baada ya nusu saa msosi ukaletwa tukafinya,tulivyo maliza kula,nikashangaa jimama lile la mshikaji likaanza kusema,nyie watoto sikilizen,nyie bado ni vijana wadogo sana,hii tabia ya kupenda wanawake walio wazidi umri siyo nzuri,ebu fikirien wazazi wenu wakijua kwamba sisi tunatoka na nyie watatufikiriaje,Ebu achen umalaya nyie watoto mtakuja kufa vibaya Kwa maradhi[emoji24][emoji24],muda huo hata sielewi Niko wap, yan Nipo Nipo tu huku nimeinamisha kichwa chini,waliongea vitu vingi vya kutushauri mpaka nikajuta kuzaliwa,
Ilibidi tu tuage tuondoke mana duuuh,nakumbuka wiki yote ile hata performance yangu kazin ilikuwa ndogo sana,yani nilihis kama wale wamama wametuvua nguo.[emoji29]
Licha ya wale majimama kutuchamba Siku ile ila hawakuacha kuwa wana tutext kila Siku.
Continued.
Sent using Jamii Forums mobile app