Ndugu mwandishi pole saanaa kwa mkasa huu

Wakati nasoma nkamkumbuka jamaa mmoja anaita mikito mikito. Any way na unaendelea kula kavu???



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa hizi sio chai kama za mkito.. nna weza kukutumia hata picha ya kodonda sasa hivi maana bado hakijapona fully..

Kuhusu kula kavu alipokuja nilikula kavu mkuu.
 
Umenikumbusha jamaa kamnunulia mcheps wake flat screen kubwa sijui 49" anaenda kumpa surprise kwa ghetto alilopmangishia. Mara anafika anakutana na 55" Samsung.

Aliumia sana na ile ilikuwa kodi ya mwisho kumlipia yule mdada.
 
Umenikumbusha jamaa kamnunulia mcheps wake flat screen kubwa sijui 49" anaenda kumpa surprise kwa ghetto alilopmangishia. Mara anafika anakutana na 55" Samsung.

Aliumia sana na ile ilikuwa kodi ya mwisho kumlipia yule mdada.
Gafla nabadili gia angani naipeleka home naifunga chumbani kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nyoosha maelezo!

Hakuna mwanamke wa KAWAIDA. kuna mwanamke MZURI na MBAYA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha jamaa kamnunulia mcheps wake flat screen kubwa sijui 49" anaenda kumpa surprise kwa ghetto alilopmangishia. Mara anafika anakutana na 55" Samsung.

Aliumia sana na ile ilikuwa kodi ya mwisho kumlipia yule mdada.
Unarudi nayo home taratibu, bora ukaweke zako chooni iwe inakufariji ukiwa unafanya miamala huko.
 
Miaka kadhaa nyuma, nilipata nafasi ya kutembelea mradi wa ujenzi wa hospitali Nachingwea chini ya ufadhili wa USAID.
Siku ya kwanza nikiwa katika msafara wa Waziri wa Afya, Mkuu wa Mkoa na Mganga mkuu wa mkoa ajili ukaguzi, jicho langu likashuka kwa nesi mmoja aliyekuwa analeta maji meza kuu.
Baada ya ukaguzi wa siku ya kwanza, jioni ile alipokuwa akitoa vitu meza kuu nikamkaribia na kumuuliza mahali napoweza kupata lodge nzuri hapo Nachingwea. Ukweli nilikuwa nimepata lodge maana nilifika siku mbili kabla ya siku hiyo, hii ilikuwa mbinu tu ya kupata kuongea na huyu binti.
Binti aliniangalia kwa jicho jeupe la duara na kuniambia nimsubiri pembeni ya jengo maana naye alikuwa anatoka muda huo.
Binti alirudi akiwa ameshabadili nguo na kuongozana naye centre ya Nachingwea tukiwa pamoja kwenye moja ya gari ya ofisi ya mkuu wa mkoa ambamo niliacha begi langu.
Alinipeleka kwenye lodge moja wapo na hata kabla sijajua la kufanya tuliongozana mpaka chumbani tukiwa na mhudumu.
Tulipoingia akaniambia chumba nimeshapata Kama nina shida nyingine nimwambie. Niliwaza Kisha nikamwambia tatizo moja tu mahali pa kupata msosi, binti akaniambia anakwenda mara moja kisha atarudi kuja kunipeleka mahali tukale.
Baada ya dakika kadhaa alirudi akiwa na mfuko ukiwa na chakula (kuku wa kuchoma na chipsi).
Tulikula huku tukiwa tunazungumza kama watu tuliofahamiana muda mrefu.
Baada ya msosi tukiwa tumekaa kitandani binti akaniuliza baada ya kula una ratiba gani? Nikamjibu nitapumzika tu humu ndani, huku nikiongeza inabidi nawe upumzike hapa hapa. Binti akajibu huku akiangalia chini sawa ila sitalala hapa.
Msosi uliisha nikaingia bafuni kuoga, kabla sijamaliza binti naye akajiunga akiwa na chupi na sidiria tu huku macho ameyafunika kwa aibu. Nilimkaribia na kuanza kufungua sidiria, mkono mmoja ukiwa unapapasa tako.
Binti akaninong'oneza kwa sauti iliyochoka, nakupenda, nifanye utakacho....hii kauli ikanipa mzuka sana.
Tukapiga kimoja bafuni, baadaye tukaendelea kitandani.
Alimka siku ya pili na kurudi kwake kujiandaa kwenda kazini.
Kila siku akawa akitoka kazini anakuja kuniletea mzigo lodge.
Nilipanga kukaa siku nne pale Nachingwea lakini nilimaliza wiki nzima.
Binti wa miaka 19 lakini alikuwa na mafunzo yote ya kumridhisha mwanaume.
 
Mbna nili
 
Huyo alikuelewa sana mkuu mpaka kukutamkia anakupenda mfanye utakacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alipiga mzigo flesh ( kesho yake nikajua kwamba alizama na chumvini akala bao zangu zote 3) nilimuonea huruma kusema ukweli

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Aiseeeeeee!!

Jamaa hakusitukia kuwa papuchi imeliwa muda mfupi uliopita maana tayari hapo papuchi bado imelowana na shahawa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui lwa nn hakushtuka..
Labda yeye alihisi manzi kalowa chapa chapa sababu ya nyege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…