Umenikumbusha kitambo sanaa, Sister alinitumia kusabotage plan ya mhun kwa style hiyo kuepuka kuliwa kimasihara, kipindi hiko chalii sijui chochote ila sahiv namuheshim sana sister ni mtu mzima na nadhan amesahau hata hilo tukio ila mwamba Files za tangu nna miaka mi3 ziko intact kichwan.☺
 
Umeniwahi
 

Assalam!
Ngoja nikujibu kama ifuatavyo.
1. Hakuna mahali nilisema alikuwa "kazini". Wakati huo alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo. Huwa hatuandiki kila kitu kwenye stori hizi kwa kuwa zinahusisha watu hivyo tunajitahidi kuwa discreet.

2. Hakuna mahali nimesema alikuwa nesi wa ngazi ya Bachelor degree. Hawa manesi kwenye hizi hospital zetu hawajapita kwenye mlolongo wa kufika chuo kikuu. Huyu hana degree of nursing ( Ana certificate tu) sijui kama aliipata Ndanda ama Msimbazi Centre.
3. Umetaja habari ya kutokwenda JKT - miaka ya hili tukio mpango wa kwenda JKT hata haukuwepo/ilikuwa haijarudishwa kisheria.
4. Umesema labda "nimewadanganya". Niwadanganye ili iweje? Ulitaka niweke na picha yake hapa au na cheti chake cha kuzaliwa? Niwekee na lodge tuliyolala? Niweke jina la mkuu wa mkoa wa wakati huo?

Nikushauri tu; kwenye haya majukwaa lengo ni ku-share experience na kufurahi. Ukijiweka hapa Kama muamuzi wa story ya kweli na uongo utapata tabu ya kiakili na mawazo.
Shukrani.
 
Umeandika sana ila ulichoandika ni "imaginations" zako tu ambazo hazina "logic".
Mtoa stori hajasema kama binti alikuwa na degree! Kwani manesi kwenye hospital zetu wote wana degree au diploma?
Kwanini uwaze Bachelor degree na sio diploma au certificate?

 

Jibu mahsusi!
Nimependa namna ulivyojibu kwa ustaha!
Hoja za jamaa zimetepeta kabisa.
 
Wewe ndio uliliwa kimasihara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
safi mkuu wengi wapo kwa ajili ya kukosoa ndo maana na visa vipya hakuna mpaka tunajikuta tuna mmiss Mikito Mikito
 
Safi sana
Kuna watu kazi yao ni kukosoa
Hawajui humu tunajificha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahahahahhaha hata mimi mkuu [emoji848] toka juzi najitahidi kumscan huyo Nesi wa miaka19 chemistry haikubali kbsa hii chai kbsa brother watu wametufanya sisi maboya kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda baharia alijichanganya Hapo Kaka yeye kuona Sare akajua ni Nesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna vitu ukifikiria sana unakua MJINGA.. ucsahau kuna nursing ya mwaka mmoja tu. (medical attendant) na alieandika hajabainisha ni level gani, plus mm nlivomaliza form 4 mwaka flani huko nyuma nlikua na 20 ila mwanafunzi mweny umri mdogo darasani alikua na 16 .. primary kasoma mpka std 5 kaingia form one and she was topping.. so its believable!. taking all factors into consideration huenda hakukaa mtaan kutafuta kazi bali alitafutiwa na washua yaan unamaliza tu unapachikwa sehemu!..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…