Mengi ni nn mkuu
 
Hongera mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba teacher polepole, duh
 
kwa huyu Lugumgya aiseee rikiboy tumepata baharia mdumisha uzi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hakika vipaji vya kula kimasihara kila siku vinazaliwa,

Tulikuwa na malegendary kina juma p maharage na wengine wengi kina acromy, kina kigakoyo, yupo mwamba alipiga nyapu ya binti juu ya kaburi la baake bichi kabisa watu ndo wamemaliza kuzika tu, nimeshamsahau jina. Wakaja kina mikito mikito wazee wa chai ila za maana,

Leo tena ameibuka mwamba mwingine lugugmya, aiseeee hakika jf haichoshi, mwamba anajua kusimulia.
 
Huyo wa kulana makaburini ni ushetani [emoji86][emoji86]

Baba Ako
 
Huyu mwamba ni hatari sana.
 
Shusha shusha mkurungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…