Soma between lines..... a new version

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukinyamaza utageuka kuwa James Delicious? Mengine kaa kimya kama hayajakupendeza, waache waliyopendezwa nayo waburudike. Hii ndiyo sifa pekee ya uanaume. Hakuandika usome wewe pekee, bali umejileta mwenyewe kuisoma.
 
Kwani ukinyamaza utageuka kuwa James Delicious? Mengine kaa kimya kama hayajakupendeza, waache waliyopendezwa nayo waburudike. Hii ndiyo sifa pekee ya uanaume. Hakuandika usome wewe pekee, bali umejileta mwenyewe kuisoma.
JF this is where we dare to talk openly...siwezi kunyamaza hayo ni maoni yangu usiingilie uhuru wangu wa kutoa maoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naaaam.... nimeagiza pop con nasubiri mastorii
 
mkuu Boiker ulikuwa unamuulizia Mikito Mikito .???...huyu hapa na id mpya,hope umemuona
 
Juzi tu hapa kama two weeks zimepita. Nlikuwa safari toka mwanza kuja dar. Nlifika hyegezi stand mpya kwenda kupata usafiri, nimepeea tiketi yangu kuingia nakuta mrembo kakaa kwenye seat yangu. Ni mdada mkali haswaaaaaa. Basi bwana nikamwambia aliyokalia ni seat yangu. Na pembeni alikuwepo mmama wa makamo. Akamwambia mwenye seat kaja naomba unipishe nikae. Yule mama kaamka na kupisha, mdada akahamia kwenye seat yake nami nikakaa.
Usiku wake nlikuwa na gambe na dem wangu hivo nlikuwa na usingizi sana. Mi nikakaa nakupitiwa usingizi hata kabla gari halijaondoka.
Baada ya kama nusu saa gari ikaondoka. Na kawaida yangu muda mwingi wa safari huwa nimelala. Nimekuja kushtuka tunakaribia shinyanga.
Nikaamka tukapiga stori mbili tatu. Gari ilipoondoka shy nikapitiwa usingizi tena japo ni wa kushtuka na kurudi kulala, tulipofika nzega usingizi ukawa umeisha ss nikaanza kuangalia movie kwenye gari kule mbele.
Gari ilikuwa na AC kali sana dem akaanza kulalamika baridi kali. Mmnlikuwa na jacket flani hivi nlitoka nalo masomoni ng'ambo nikamuuliza nikupe jacket akakubali na kunishukuru, nami bila hiyana nikalivua nikampa.
Tukafika singida muda wa msosi hajashuka nikamuuliza kulikoni akasema yupo vizuri, basi nikashuka jikagonga msosi naye nikamchukulia chipsi na firigisi kadhaa
To cut it sho jioni kama saa 12 na madakika tulikuwa dodoma hapo kila mtu kachoka. Naye akawa na usingizi. Kawaida yangu mm mkimya sana hivo sikuwa na stori naye kabisa. Usiku saa mbili hivi nikawa kama naota mtu kanilalia begani, kushtuka kweli namkuta amenilalia. Basi nikakauka kwanza kama sijahisi kitu, ila aligundua kuwa nimeamka. Nikamshika nikamlaza kwenye mapaja wala hakubisha basi imeenda hivo hadi saa nnehivi usiku tunakaribia morogoro.
Sasa akawa analalamika amechoka, ila nishamfanyia vituko vya hapa na pale akatoa ushirikiano. Nikamwambia mimi pia nimechoka itabidi nilale morogoro halaf kesho asubuhi nitaondoka dar kama hutojali unaweza ukaniaccompany akasema haina shida. Basi tukadrop msamvu sikutongoza wala sikupata ugumu nimejilia mzigo usiku kucha muda ya saa kumi jioni ndo tukaondoka kwenda dar.
 
Kuna baadhi ya watu hum sijui wanawaza nn wao ni kukosoa kila kinachoandikwa hum wakati mungine nahisi huenda wao ni madomo zege, kauli za kusema huyu chai, huyu ..... Huo ni uzwazwa. Mara kufananisha majina ya watu.

Kama hujapendezwa na stori ya mtu pita pembeni huo ndio uwanaume.

Vinginevyo kukosoa kazi isiyokuhusu ni ushoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…