Hizo ambazo sio za kimasihara zikoje?
Unakufa unafufuka ndio unapewa?
Unavutwa na upepo wa kisulisuli kabla ya kula mzigo au inakuaje?
 
we jamaa ni wew..hiiiiiiiiiii ni balaa halafu kama mgumu glan hv..au ni mpaka porder tu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndio ndugu,unajua ni nuksi sana kuingia kila shimo,pia kila bao unalopiga ni uhai wako,ili uelewe hili unatakiwa utambue kwanini MTU anatoka na mkojo(manii/shahawa) za mwanaume?Tunapunguza sana uhai wetu kwa kugegedana.
Sasa mkuu, kwa list uliyotaja kuwala sidhani kama utafika miaka 40 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeipunguza sanaaa miaka yako ya kuishi
 
Hahahaaaaa, umenikumbusha dada mmoja alinizidi miaka 4, alikua rafiki yangu sana yaani sanaa, utani kama wote. Sasa anajua napenda sana mademu na alishawahi nitongozea mmoja nkawa namlia gheto kwake.

Siku nkaenda kwake alinoimba nkamsaidie kupanga chumba anabadilisha mpangilio, basi baada ya kumaliza kupanga nkajirusha kitandani huku namwambia flani akija sa hivi namla mpaka aombe poo maana uwanja umekua mkubwa sasa, (alinunua 6*6 kabla ilikua 4)

Akaniambia hivi na wewe unaweza kumkomoa mwanamke? Nkamwambia ndio, na blabla nyingi za utani kuhusu hayo tunabishana, nkasema "wee subiri siku utakuta hadi ukuta umeloa ndio utajua mwanamke anakomolewaje" akadakia akasema zile porn wanatumia madawa sio kweli nkamwambia bado hujakutana na wanaoweza kuyatoa tu.

Hapo tulikua tunacheza karata last kadi, ukatokea ubishi nikmfunga 5 mfululizo atanipa 1000, nkamtania umekosa cha kunipa hadi unipe ela.... Nkamwambia nakukula wewe mwenyewe akacheka akaniambia najua tuheshimiana sana huwezi nifanya chochote.

Baada ya kumfunga 6 bila nkawa namtania tu leo umeliwa na mimi (hapo nna kauwoga maana ni mtani lkn namuogopa kiaina, yupo siriazi sana) nkawa nimemshika km namfosi hivi kiutani tu nkajikuta nimemshikia mikono kitandani km YESU msalabani wala haonyeshi kumaindi nkajikuta nimempelekea mdomo kaupokea.

Ilipigwa gemu ya hovyo tu maana nilikua na kauoga flani hivi maana jamaa ake alikua dar na mida waliohaidiana kufika ilikaribia....

Nashukuru Mungu yule dada alihama nchini miezi 4 baadae na huyo jamaa ake maana angeniua.... Wee chezea ukitoka kazini lazima upitie kwake mtumbuane kwanza.....
 
Kaaga anaenda lunch kama sijakosea ina mana atarudi huenda hajafungasha sasa mpka sambili ofisi alirud au
Hakurudi mkuu, alipiga tu simu mida flani akawaambia wenzie amepata dharura wakawa wa naongea kilugha sikuelewa ndio akarudi kulala.

Kwenye hiyo office yeye ndio msimamizi.
 
Uzi mtamu huu, acha na mim niweke yangu.

Kipindi namaliza chuo CBE kuna Bint mmoja wa kislamu ,tulikuwa tunautani wa hapa na pale ,siku nipo ktk mihangaiko yangu napita fire nakutana nae anatoka kazin posta, nikasalimiana nae kisha akasema naomba nije kwako, basi nikajua usiku hawez kuja, bwana ehhh akaja pande za kinondon B, tulipoingia room akasema kumbe unakaa mwenyewe nikasema ndio Basi hatukufanya chochote tukalala hadi asubuhi, nilikuwa sina mzuka nae kwa kuwa alikuwa anavaa nikabu ,mikato ile huwa siipendi.

Next day akaja mwenyewe ,nikasema huyu ananitania sasa, nikampinda mgongo nikapiga kombora la USA kama Tatu hivi.

Kuanzia siku ile akawa anakuja kufumania.
 
Uzi umeanza kutia kichefuchefu! Mitungo tena, dah! Nawaachia mbaharia maana mimi dem huwa sitaki hata kujua aliyempitia kabla yangu
Miaka hiyo napata akili nilikua nawaza kama ww kutomla ninaejua kaliwa na nani.

Siku nkatumiwa sms "samboko ujue wee ni hb, na unaonekana mtundu sana" huyu alikua mke wa mtu tunafanya kazi wote mmewe m'babu hivi yeye bado binti tunalingana na alikua na mchepuko ninaemjua ila walikua wamezinguana mda, yaani hii sms ilinifanya nkasahau falsafa yangu nilidindisha mpaka pumbu ziliuma siku hiyo, alikua anasafiri siku anatuma sms anarudi baada ya cku 3, yaani mpaka arudi nilipiga nyeto kama mara 12 hivi, kila nikisoma sms yake huku nikiwaza alivyokua mrembo afu kajileta mwenyewe.

Yaani anabaki kwenye list ya wanawake wazuri sana kuwahi kuwala.
 
Sio wote mkuu, soma vizuri.

Pia ukumbuke gemu kama hizi hua unapata nguvu za ziada kuonyesha uhodari wako ili na kesho akukumbuke maana umempa bila kutumia nguvu, mwingine unamla hujui kwake, jina hata namba yake huna, saa ingine mnapeana baada ya kitombo.
 
Wadau huu uzi umenisababisha nimeaibika jana..

Baada ya kusoma comments za wadau kuhusu kula tunda kimasihara nikataka kwenda kuyaweka maneno ya wadau into practice...

Sasa na hiki ki mvua kuna manzi hapa kitaa ananiangalia angalia sana.. sasa nikajumlisha na story za wadau kuhusu manzi kukuangalia angalia nikasema huyu mtoto namtafuna bila kutongoza...

Sasa nikamlia timing jioni jioni kama saa 1 hivi ametoka town kupiga mishe zake nikamfwata nikapiga story nae tukawa tumesimama sehemu ...nikijumlisha kigiza giza + shuhuda za wadau hapa nikasema huyu namtafuna hapa hapa....sasa nikajichanganya kumgusa mkono nikaona ametulia... hapo nikasema mtoto ndo alishaelewa....
Ile napeleka mdomo kula mate alinigonga kofi moja hatari sana.

Nikabaki naona nyota tu.. ikabidi niulize kulikoni.. akaanza kunitemea shit kwamba alikua anajua najiheshimu kumbe mwanaume hovyoooo...

Niliondoka pale na aibu kama kilo 5... leo sitaki kutoka home maana tukikutana sijui ntamuangaliaje..


MMENIPONZA WADAU..
 
Zamani sana way back 2012, kuna mpangaji wetu home alimuita demu wake akaja na dada yake. Wakati wanaenda kulana nikabaki mwenyewe na yule manzi. Mwisho nasi tukala mema ya nchi.
 
Za kuambiwa changanya na zako.
Ilitakiwa akutemee na mate kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]. Kubwa zima hujiheshimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Epuka kufata mkumbo mkuu hayo mambo yanakuja automatic. Pole sana, nenda kamuombe radhi tu usiogope mwambie genye zilikuzidia so ukajikuta unafikiria kwa kutumia kichwa cha chini. Unaweza shangaa ndio akakutunuku.
 
Kumbe kurusha ni kitu anaweza kucontrol mwenyewe?
Kuna baadhi wanaweza control, kuna mmoja baada ya kugundua akirusha sana miguu inakosa nguvu, kuna kipindi tukienda mitaa nataka nimchoshe fasta ili asinichoshe sana anabana akizidiwa anatafuta upenyo anachoropoka, nkaja jua janja yake nkawa nam'bana hawezi chomoka hadi mi nitake,
Mwingine akifikia kurusha anakutoa hapo ili arushe huku anajiangalia... [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…