Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!
Mods [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumekucha jamani.
Kuna jirani yangu hapa huwa anajipitisha pitisha sana nikikaa nje na mimi sina story.
Sasa hivi amepita anaenda dukani, nimempa hela akaninulie kondom.
Akirudi atanikuta ndani, akiingia kunikabidhi ndio hivyo tena hakuna namna nyingine. Siku hizi hakuna kutumia nguvu ni masihala tu yanatosha
 
Kula tunda kimsihara unaweza dhani haitokei au labda inatokea kwa maajabu, lkn matunda yanaliwa Sana.

Jana Kuna dada alinipigia kwa simu ya kazin kwao kwa mambo ya kikaz. Simu sikuipokea nilikuta missed call, akaacha ujumbe. Baadae nikaanza kumjibu.

Mwisho wa picha nikauliza HII SIMU NI YAKO AU YA OFISI? akajibu YA OFISI. KWANINI UNAULIZA? nikamwambia nauliza kwa sababu najitaji mawasiliano na ww, lkn Kama uko single Kama Mimi.

Akajibu "Aaah, KUMBE wewe unapenda walio single?? haya namb hii hapa 074............."

Leo nimelala nae usiku kucha
 
Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!

Utakula za uso Mkuu mhuri25 hadi mods[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa watu ukijifanya Messi huwapati, wee kuwa tu Kama Chicharito, utafumania nyavu Hadi waanze kukuita Pele wa Kiafrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dem Demu karudi kaniletea ndomu nikamwambia pita ndani. Kuingia ndani anakibidhi mzigo wako huo,
Nikamwambia mzigo huu wetu wote, akaanza oooo wote na nani.
Nikamwambia si wewe jirani akadai sitaki ukitaka siku nyingine.
Nikamwambia tatizo hizi zikilala zinachacha, kicheko.
Akasema kwanza sitaki ukinot.mba leo utakuwa umenipata kirahisi sana au unanidharau.
Nikamwambia jirani wewe ni mtu unaeheshimika kama malikia Elizabeth. Sasa ili isionekane nimekupata kirahisi subiri.
Nikaingia ndani nikatoka na chapi 3, nikamwambia zivae hizi pamoja na uliyovaa ziwe 4 ili nipate tabu ya kuzivua na niwe nikupata kwa tabu.
Akacheka sana akaniambia we jirani chizi kweli mi nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe hamna kitu, kwanza una uhakika kama nimevaa chupi, nikamwambia sina hakika hebu nihakikishe nikapeleka mkono kunako kazi ikaanza refa kapuliza kipyenga. Nimempiga kimoja cha fasta kaondoka
Sometimes unajifanya chizi unakula kimasihara. YADUMU MASIHARA
 
Hahahahaj hii ipo kibabe saana dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila watu....
 
Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!
Utakula ban mkuu...shauri yako
 
da we fala kweli ulijitoa akili[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna mke wa mtu alikuwa mke wapili kwa wenzetu wanaoa wake ata wanne sasa huyo alikuwa mke wapili...mtt anabonge la pajaa utani tu kumtania unamapaja mazuri uku nmeshikilia zipuu...bac tamaa ikamwingia kumbe jamaa hakurudi om miezi kibao kiulainiii nkajimegea mzigooo
 
Safi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…