Basi tuite "zali la mentali" sio tena kulana "kimasihara"
 

Ishue ni kwamba mtu mmekutana randomly alafu unaenda kupiga, hamna future whatsoever, hapo unataka kusema sio kimasihara ? umekutana na mwanamke njian unaenda nae home humjui hakujui unapiga sasa hapo si kimasihara ?
 
[emoji3][emoji3][emoji3] duh aliemuoa anafaidi sana huko aliko, huwa nawatafuta sana wa dizain hiyo lakni bado sijabahatika,
 
Mbona unabania maneno jamaa au kuna mama mkwe wako humu anaijua avatar yako?
 
Kweli mkuu niliadimika kuna kipindi, simu yangu ilidumbukia kwenye maji ikazima imekaa kwa fundi almost mwezi,

Nimekuja kurudi jukwaani daah nimekuta mambo na masihara mengi sana ya wadau ndo nipo nafatilia post kwa post, mstari kwa mstari ili niende nao huu Uzi pendwa, hakika nikiusoma huwa nafarijika sana, ndo maana nilikuwa naupigania sana kipindi hicho, nilishawahi kupigwa ban ya mwezi na sabab ya Uzi huu pia.

Tuko pamoja sana mkuu,
 
Hii mbaya sana
Kama ulibaka vile [emoji23][emoji23][emoji23].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana mwezi kudadeki, huyo ni malaya
 
Mbona wote wanaotoa ushuhuda wa kula mzigo kimasiharamashara ni wanaume tu,embu na nyie madada elezeeni kidogo mlivyoliwa kimasiharamasihara
 
Mwenye mzigo wake jamanii.

Mara ya 3 saizi leo jumapilii kimasihara imekuwa kila siku .

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…