Ni kweli ila mazingira ya kimasikhara ni mapana saana.

Mi naenjoy tuu kusoma watu wakibanduana...

Hebu shusha kimoja basi ulivyo mla kimasihara one boy
 
JANA NIMEMLA MKE MTARAJIWA WA RAFIKI YANGU KIMASIHARA BAADA YA KUSOMA UZI HUU NIKAAPLY MAUJANJA YA WADAU;
Ebhana kuna dada mmoja alikuwa anakuja sana office ambayo kwayo ndipo mimi ninahudumu sasa tukawa tunasalimiana alafu basi mm huwa sio mtu wa kuwaangalia wanawake sijaumbwa tu hivyo ila sio kwamba sipendi mm jicho moja tu siangalii mara mbili.
Ni zaidi ya miaka mitatu anatembelea office yetu kwa huduma zake sasa kuna rafiki yangu katokea kumpenda ni mtoto wa Kiarabu sasa jamaa yangu akatangaza nia but awali hakuwa na mazoea naye n alikuwa anamhofia siunajua waburushi wanavyojisikia.
Nikamuombea namba sasa bhana wakapanga wasifanye chochote mpaka ndoa na ndoa ni tar 12 Mwezi wa nane mwaka huu.
Huyu swaiba yangu ni muislamu na huyo mwarabu vilevile sasa ramadhani yote wanajifanya eti hawaonani ila jamaa anatumia eti mm nimsalimie jamani.
Mimi mzee wa mizigo ya Sheikh kipozeo [emoji3]huyu mwarabu ni size ya kati na mara zote sasa bhana huyu mwamba haisi kujifariji kwa kumsifia mara eeh rangi adimu mara kabinuka si ikabidi na mm nimwangalie vizuri alipokuja tena.

Nikamtania shemeji hatimaye nimewaunganisha katka mema na mnafunga ndoa soon nitafutie zawadi basi huku nikijichekesha[emoji3][emoji2][emoji1]
Akasema usijali utapata zawadi shem wangu uchague tu huku nikimcheki shingoni ninaona mapigo yake ya moyo yakienda kasi sana ilw paah paaah paah ya fasta.
As a medical personel nikajua huyu kashajaa nikamwambia zawadi yenyewe ni ww ila chondechonde usimwambie rafiki yangu akasema kwa aibu sawa ila tutaongea mm sikukubali tuongee baadae baada ya shetan kumtoka nikamkazia kabisa kuwa tuongee kabisa na prome me iwe siri yangu mm na ww.
Akasema sawa nikamwambia lini sasa akasema tufanye jumamosi asbh nikasema poa ila jumamosi nikabanwa sana na kazi nikasema akizingua basi bhana nikamtext kuwa jmosi haitawezekana nipo bize akasema vp jpili!!
Nikapata mshangao inakuwaje anakuwa na uchu na mm kiasi hiki au kuna mtego nn.
Nikamwambia kuwa j3 coz ninajua swaiba yangu yupo bize so kama kuna mchezo wananichezea sitamwona job ebhana j3 saa3 asbh text kibao vp sasa umenitia minyege kibao shem alafu hutaki kuzishusha nikamwambia panda uber njoo town nikamwelekeza venue kisha alivyofika tu nikampitia pale kwenye ile lodge nikaondoka naye nikaenda kumtafunia nje ya mji mtoto mtamu sana aisee na anatoa mpaka ndogo ila nimeikataa coz sichezi na mavii.

Funzo
Usimtume mtu akutongozee wala usimsifie demu wako kwa marafiki zako hawa viumbe ni dhaifu sana.
 
Ila watu

Umeweka code zote usije ukauvunja uchumba wa watu.

Tarehe..

Professional yako. Edit chap
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] aya bhna ile nyie madem wa chuo sjui kwann hamuwaelewagi wanafunz wenzenu
Wanaopenda chips kuku na [emoji485], na kupewa lift kweny BMW, ndo hawawaelewi mates zao, ila mie akaaah npo na class mate tunasongesha life simpleeh tyuuuh yaaan kwan tsh ngapi? Huhuhuhuh lol
 
Ni vema ukabadili upepo... class mate hana changamoto
Wanaopenda chips kuku na [emoji485], na kupewa lift kweny BMW, ndo hawawaelewi mates zao, ila mie akaaah npo na class mate tunasongesha life simpleeh tyuuuh yaaan kwan tsh ngapi? Huhuhuhuh lol
 
Ni kweli ila mazingira ya kimasikhara ni mapana saana.

Mi naenjoy tuu kusoma watu wakibanduana...

Hebu shusha kimoja basi ulivyo mla kimasihara one boy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] by the way hata vinavokutanishwa huko ndani kweny masikhara sijawahi kufany achilia kujua. Mie mtakatifu mnooooh. Uwiiiiiiiiiih
 
Ni vema ukabadili upepo... class mate hana changamoto
Huhuuuuh nisiwafiche nyie watu, hawa dents wa chuo wanapenda pesa na mali zenu tyuuh, ila mapenzi ya kweli yapo kwa mates waoooh. Tatzo hawa boez wa chuo hawawez gharama ndo maan dents wanatoka nje, ila sio kwamba hawawaelewi mates zao noooh.
 
Huhuuuuh nisiwafiche nyie watu, hawa dents wa chuo wanapenda pesa na mali zenu tyuuh, ila mapenzi ya kweli yapo kwa mates waoooh. Tatzo hawa boez wa chuo hawawez gharama ndo maan dents wanatoka nje, ila sio kwamba hawawaelewi mates zao noooh.
Mtajuana wenyewe sis ni kuwala kimasikhara tuu. Demt kwa demt kubebishana kwingi
 
Usikute kuna Baharia ameisha shusha jinsi alivyo kula kimasihara [emoji23]
Huhuuuuh nisiwafiche nyie watu, hawa dents wa chuo wanapenda pesa na mali zenu tyuuh, ila mapenzi ya kweli yapo kwa mates waoooh. Tatzo hawa boez wa chuo hawawez gharama ndo maan dents wanatoka nje, ila sio kwamba hawawaelewi mates zao noooh.
 
Usikute kuna Baharia ameisha shusha jinsi alivyo kula kimasihara [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nan mie au? Ni huku tyuuh JF ila real life mie n innocent sanaaah, wala huwezi amini hata ukiniona uwiiiiiiiiiiih
 
Huhuuuuh nisiwafiche nyie watu, hawa dents wa chuo wanapenda pesa na mali zenu tyuuh, ila mapenzi ya kweli yapo kwa mates waoooh. Tatzo hawa boez wa chuo hawawez gharama ndo maan dents wanatoka nje, ila sio kwamba hawawaelewi mates zao noooh.

sa apo mwenye tatizo ni mwanafunz manake hata yeye anachezewa akija kustuka ashazeeka hana option inambid aolewe na zombie tu, tatizo la wanawake wengi hawajui kuwajua the real guys mpaka wachezeeeewe waachwe ndio wanajua kumbe huyu alikuwa real na nlikosea too bad inakuwaga very late
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…