Huyo ndio miongoni mwa watu walio upaisha huu uzi.. plus kiga kyoto. Na yule mzee wa demu wake wa mtwara aliyepanda meli...

Akaja acronomy...akanyambakile. lugumya...just few to mention

Hakika majina hayo yameandikwa kwa wino wa dhahabu
Yah!!! Ningemsahau Acronomy..
Halafu hivi wewe ndiyo kuna siku ulimtaja Madam Opiyo mahali? Nikumbushe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseee kweli ni matatizo,mambo yalikuwa mengi mno hiyo siku

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja namimi nitoe kisa changu
Ilikua mwaka 2013 siku moja asubuhi ninaenda kwa rafiki yangu tulikua tunapiga nae mishe wakati niko njiani ghafla nkamuona binti Fulani kwa mbele ikabidi nikaze mwendo ili tuongozane nilivomfikia nikamsalimia tukawa tunapiga story mpaka nilipofikia sehemu niliokua naenda tukabadilishana namba kwa ajili ya kuwasiliana baadae! Ilivofika mida ya SAA 10 nikampigia akapokea tukapanga kukutana restaurant moja hv kupiga story akakubali akasema saa 11 nikajiweka safi nikisubiria muda ufike mda ulivofika nikapiga simu akapokea mwingine akadai mwenye simu ametoka nikasubiri kama nusu Saa nikapiga tena haikupokelewa nikapiga Mara ya pili yule aliepokea Mara ya kwanza akapokea tena akanambia samahani kaka huyu mwenye simu ana mchumba wake unaogopa kukuambia tu ameniambia nikueleze, ikabidi nibadilishie gia angani nikamuomba kampani kama hatajali akanambia ngoja nimuambie Hutu anilete nikasema poa baada ya dakika mbili akanitext kwa namba yake baada ya kama dk 15 akaja na yule mwenzake tena yeye akawa mzuri kuliko yule wa kwanza tukaenda restaurant moja tukawa tunapata vinywaji wote watatu ilivofika saa 2 yule mwenzake akaaga kuondoka nayeye akataka kuondoka nae nikamwambia ntakusindikiza baadae tulivobaki wawili nikamwambia Leo tunalala wote akakubali nikachukua chumba tukazama nikala mzigo mpaka asubuh ikawa ni kawaida kulana kimasihara tumedumu nae kama mwaka mzima kama wapenz na mama yake akawa ananifaham siku zimeenda nikaamua kumuweka gheto tukaish kama mwaka mmoja hv tukazinguana siku moja akakasirika akabeba kila kitu ndani nikamruhusu chukua kila unachoona kinafaa akabeba kila kitu alivomaliza nikafunga mpango nikaenda kununua godoro na ndo ya maji nikaweka gheto nikaendelea na Mishe zangu akaenda kwao baada ya week 2 ananipgia simu anataka kurudi nikakataa kumbe tayar alikua na mimba baadae akanambia suala la mimba nikamwambia ntakuhudumia kwa kila kitu lakn kuishi pamoja never
Akakaa kwao kama miez 3 baadae akaondoka kwenda jiji la makonda muda wote tunawasiliana na matumizi natuma kumbe alivoenda akatoa mimba Mimi sijui nikahudumia mpaka miez 9 nikapigiwa simu siku moja usiku na dadake akanambia mkeo kajifungua mtoto wa kike kidume nikatuma hela kama laki 3 hv nikaendelea kuhudumia mama na mtoto kama miez 3 nikamwambia mlete mtoto nimuone nikatuma nauli na siku ikawa imepangwa week moja kabla ya siku ya kuja nikapiga simu haipatikani baada ya siku 3 siku nikapigiwa na mama mtu huku analia anadai mwanae yuko hospital alipata Ajali yuko hoi yuko njian anaenda dar nikachanganyikiwa akasafiri mpaka dar anafika ananieleza hali ni mbaya ya mama na mtoto nikawatumia hela kama laki na nusu baada ya siku 4 akatoka hospital na mtoto baada ya miez kama miwili tena ikabidi nifanye mchakato amlete mtoto coz alikua bado hajapata recovery vzr ghafla mtoto akaugua akapelekwa hospital akafariki nikajiuliza hapa kuna kitu nachezewa si bure nikafuatilia kijasusi nikagundua mimba ilitolewa ukiwa na miez 3 kwahy hapo nlikua nahudumia mtoto hewa nikaumia sana nikampotezea mazima kimya kimya nikakaa kwama mwaka mzima nkaoa tena now Nina watoto 2 ila alinipa funzo kubwa sana kwenye maisha saiv yupo tu kwao amepauka kama kopo la mkojo
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ ulikuwa unahudumia mto
 
[emoji23][emoji23][emoji23]et kopo la mkojo.
mkuu hii noma sana
 
Haaaa haaaa
 
Pole sana
 
Kule ndani tulipokuwa nilimwambia demu awe makini kusikiliza yanayoendelea nje,maana nilishachanganyikiwa na yanayoendelea huko nje...mama watoto alikuwa anaongea Kama vile haamini tukio lile na akatoa stuli nje ili akae kulinda kigari chetu na hiyo simu iliyopo ndani kabla wahuni wa uswazi hawajafanya yao,hapo nilizidi kudata na kuwaza nitatokaje nje bila ya yy kuniona na nitajielezea vipi.

Baada ya muda yule demu ndani akanambia ningoje yeye atoke akaangalie usalama Kisha atakuja na majibu,kweli akatoka na baada ya dk 10 akarudi huku anacheka akafikia kwenye godoro akitaka tufanye tena,sikuwa na hamu tena maana nilichoka na wasiwasi wa kufumaniwa ulinizidi baada kusikia huko nje mama wa mwanangu anaongea na shoga ake ambaye pia Ni mchepuko wng. Demu akanambia nisijali kabisa kwani washaongea na mama ake kwahiyo watafanya mpango nitolewe nje salama,nikasema poa. Akanambia kuwa mama ake atampa ishara Kama nje kutakuwa shwari ili nitoke. Kweli baada ya muda nikasikia mlango unagongwa,nikazidi kupata hofu,yule demu akainuka akatoka nje Kisha akarudi na kunambia nitoke maana mke wng hayupo nje. Nilitoka fasta nikapita vichochoro nikatokea barabarani nikachukua bodaboda nikaenda gheto kwangu kwenda kujifanyia usafi huku nikiwaza kurudi nitajitetea vp kwa mama mtoto.

Nilirudi usiku wa saa 4 nikamkuta bibie yupo barazani analinda gari,kuniona hakuamini,nikamsalimia tukaingia ndani nikajifanya nilikamatwa na polisi kituo Cha Kati kwa kosa la uzurulaji. Hakuamini hata,alilia sana huku akinishutumu mie ni malaya kuwa nina wanawake wengi ndomana sitaki kuishi nae Wala kumuoa. Nikajitahidi kumtuliza na kukataa tuhuma zake. Yakaisha,nikawa nayapanga matukio yangu kwa nafasi nje ya ile nyumba. Ikawa nikimtaka yeyote Kati ya jirani yake au binti wa maza hausi namuita lodge tunafanya yetu. Ila binti wa maza hausi hatukudumu Sana alikuwa ananifanyia mambo ya ushirikina anikamate vizuri nikamshtukia nikamtema. Hapo ikawa mwanzo wa Vita kwa mama wa mtoto wng kwani walimfanyia visa vingi mpaka nikamuhamisha ghafla kabla kodi haijaisha na nikakata mawasiliano nao.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yani familia nzima iliamua kukutapeliii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…