Dah ina uma sana jamaa anafeli wapi.
 
BASTOLA TU
 
Hapo uliliwa kimasihara chief,hiyo kutaka ajipime HIV ilikuwa Ni kutaka kukujulisha kuwa yeye Ni mzazi na u can https://jamii.app/JFUserGuide her ukitaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nakuambia kuna mambo mengne mtu akikusimulia unaweza ukadhan anatania ila duh!! Kuna mengne zaid ya hayo hata sijayasema make yanaumiza balaa
Aaaaaaah weee lete bhana plz shusha vitu mkuu, [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Very interesting joke joke. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hii ni nyingine ambayo ndio ilinifanya nistaafu umalaya na kuamua kutulia na kuacha mapenzi ya kurukaruka maana nilipigwa tukio linalonikosesha raha mpaka leo.

Nilikuwa na kawaida ya kumtembelea
Chuoni demu wangu mida ya jioni na huwa nakaa huko mpaka usiku ndo narudi maghetoni. Kama ambavyo inajulikana maisha ya vyuo ni dhiki kwa baadhi ya watu hasa upande wa hela,hivyo niliwala baadhi ya wanahostel wenzie kwa shobo zao za kushoboka na visenti kidogo ninavyomhudumia mwenzao.

Siku 1 mida ya saa 4 usiku wakati natembea pembezoni mwa barabara ya vumbi kutokea hostel kwa demu wng nikakutana na demu ambaye huwa namuona hostel anayokaa demu wng. Nikamsalimia na kumuuliza anapotoka akadai anatokea mjini kwa ndugu zake na ndo anarudi hostel kulala,Basi nikaanza kuimbisha akawa hanielewi nikawa namkazia akawa anadai atanifikiria na kunipa jibu siku nyingine. Pale barabarani magari machache yalikuwa yanapita na kutumulika hivyo nikawa naona jau, nikamuomba tusogee upande wa pili wa barabara ambao unapita kichakani Kisha unatokea kwenye reli. Demu akawa anabisha na kudai anaogopa njia ya relini na akichelewa Sana atashindwa kurudi hostel maana anaogopa Sana,nikawa nambembeleza sana akubali kunisindikiza mpaka stendi kupitia relini Kisha nimpandishe bodaboda arudi hostel maana kutokea pale ilikuwa Bado Kuna umbali kufikia relini. Akawa haamini Kama nitampandisha bodaboda akawa kila mara ananiuliza Kama nina uhakika na nisemacho,nikamhakikishia,akakubali kunisindikiza.

Tukazama kile kichaka kidogo tukatokea kwenye reli tukawa tunaambaa na kokoto za reli huku Bado namuimbisha,safari hii hakuwa akibisha Sana na akawa hakatai nikimshika popote. Nilivyoona sipati upinzani nikamsogeza pembeni ya kichaka hivi pembeni ya reli nikaanza kumla mate na kumfanyia fujo za mapenzi,akakolea,nikapenyua nguo zake nikawa namnawa sana bila pingamizi na nilivyoona wote tumezidiwa nikampandisha kisketi chake nikamuinamisha nikaanza kupiga mashine. Show ilikuwa tamu japo ni ya wasiwasi ila hili tatizo langu la kuchelewa kukiona kilele hata kwa bao la kwanza ndo lilikuwa chanzo cha tatizo jingine.

Show iliendelea huku tukijisahau kabisa kama tupo kwenye reli ambayo ni maeneo ya karibu na kambi ya jeshi,tukawa tunabadili staili huku tunasikilizia utamu. Ghafla bila kuelewa imekuaje nikastukia mwanga kama wa camera,mwanzoni nilidhani ni radi nikapotezea. Mara nikaona tena mwanga mwingine, safari hii ulinipiga usoni kabisa ndo nikastuka na kumuachia demu nikaamka nijiweke sawa huku natweta kwa hofu bado mwanga wa camera uliendelea na safari hii nahisi haikuwa camera moja maana ilikuwa Kama tunashambuliwa vile,tulikimbia sana. Nakumbuka yule dem aliacha viatu ila mie raba hazikunivuka,nilikuwa na mbio kiasi cha kumuacha mbali yule dem,akawa analia huku akipiga kelele nisimuache. Nikapunguza mwendo nikamshika mkono tukawa tunakimbia wote japo mpaka muda huo hatukuona mtu yeyote kutufata.

Tulitembea mpaka kituo Cha daladala huku yule demu akilia na kunilaumu kuwa nimemponza,wakati huo anatoka damu unyayoni sababu ya kukatwa na kokoto za kwenye reli. Nikamuambia apande bobaboda nimlipie arudi hostel akasema hawezi na anaogopa kurudi na ile njia hivyo baada ya kubishana Sana nikapanda nae bodaboda mpaka kwenye kimaabara flani ili akafungwe kidonda baada ya hapo namuambia arudi hostel bado anadai anaogopa kurudi. Nikamchukua mpaka gheto kwangu,usiku nilijaribu kumla lakini kila Mara mashine ilikuwa inanywea ikiwa ndani kwa presha na mawazo ya kupigwa picha. Sikuwa na raha hata kidogo,kila nilipojaribu kuingiza mashine,nafanya kidogo Kisha inanywea humohumo ndani. Ikabidi tulale hivyohivyo tu baada ya majaribio matatu ya kumla tena kushindikana.

Asubuhi kulivyokucha tulikunywa chai na kumnunulia viatu,tatizo ikawa hataki kurudi chuo anadai picha za yeye kuliwa relini zitakuwa zishafika. Nilikuwa najitahidi kumtuliza na kumpa moyo japo nami nilikuwa na hofu kuu.

Ilibidi akae mjini kwa ndugu zake wiki nzima huku akidai anauguza kidonda,hakuna aliyejua kwao. Ikawa kila nilipigiwa simu na demu wangu naogopa kupokea nikidhani atanipa habari za picha lakini haikuwa hivyo.
Mpaka leo imepita miaka sijawahi kukutana na hizo picha popote japo bado sina Raha kwani siamini Kama aliyepiga picha hizo Kama hatozitumia popote. Tukio lile limenifanya niogope kufanya jambo lolote litakalonipa umaarufu nchini maana sijui hizo picha zitatumika siku gani na kwenye tukio gani.

Nilikuwa kijana mwenye ndoto nyingi na ninayependa umaarufu lakini leo hii hata itokee fursa itakayonipa umaarufu huwa naikwepa[emoji1787][emoji1787].
Ninachoshukuru ni mhanga mwenzangu ameendelea kunifariji na tunapomisiana huwa tunakumbushiana lile tukio tunacheka na kupasha kiporo.
 
Pole Sana mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Hahaa nilijikuta nasema naweza kusamehe lakn naisi kumbe mengi sijayaona.
Vp uliweza kusamehe
 
Hahaa nilijikuta nasema naweza kusamehe lakn naisi kumbe mengi sijayaona.
Vp uliweza kusamehe
Nilimsamehe sio kwasababu alistahili kusamehewa nilifanya hivyo kwasababu nilihitaji amani ya moyo make nilijiuliza hata nikisema nimchukie haitasaidia coz tayar nishapata hasara nyingi mno zaid nikaendelea na maisha yangu tu na mpaka Leo huwa ananipgia Mara moja moja na tunaongea vizuri tu ila alinipa funzo sana nashukuru kwa hilo
 
Pale panapostahili kutoa pole tutoe tu kwakweli, mjuba pole sana kwa mkasa huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…