itavuja tu,hao wana ulokua nao ndo watakusaliti mwana
 
Nimekusoma mkuu, ilà miaka hii kuweka wazi sexual orientation sio issue kivile, jikubali then let others know. Wala sio big deal.
Kuweka ujinsia wazi ni jambo la siri saana.


Cocastic paka ukija kuliwa au kula masikhara ndio utasema
 
Mi nilikosa tunda kifala sana ila acha nielezee hivohivo hata kama nilikosa...

Siku moja nimelala geto kwenye chumba cha kupanga nikaona text kwa namba ngeni "mambo" baada ya kujibu akajitambulisha jina, nikamjua 'mtoto wa mwenye nyumba' {amezalishwa mtoto mmoja ila hajaolewa} akasema ile pia ni namba yake....baada ya salam akaniambia anaumwa, kumuuliza vizuri akasema anaumwa nye**Ge😂nikashtuka, Nikajikuta siamini kabisa kama ni yeye maana hatujawahi kuwa na stori za hivo... nikajifanya kuuliza, kwani imekuwaje hadi uumwe hivo? Akajibu "ina maana we hujui imekuwaje!" Nikamwambia aje chumbani kwangu akasema niende mimi, hapo machale yakanicheza nikawaza kwamba inawezekana akawa ni mamaake amenijaribu kuona nipoje na mwanae...kila nikiwaza kwenda moyo unasita, nikamwambia asimame mlangoni nimuone ndo niende, akafanya hivo..kuchungulia nikamuona mtoto amewaka na kigauni laini cheupe amesimama mlangoni mzee nikazama chumbani kwake, nilipofika tukaanza fasta kama tumezoeana vile tukalana mate sana, mtoto ndani hajavaa kitu, mali ipo nje nje🤣🤣....kitanda kikawa kinapiga kelele ikabidi tuhamie chini, baada ya maandalizi ya kutosha akawa ameiva tayari kwa mechi nikamwambia asubiri kidogo niingie chumbani kwangu nichukue kondom ghafla akainuka akatoka na simu yake kuelekea chooni akasema nimsubiri (choo kipo ndani) akiwa chooni akanitumia sms kwamba nitoke chumbani kwake atanifata kwangu nikakubali, baada ya hapo hakuja na kila nilipomtumia sms hakujibu....kesho yake nikamsimulia mshikaji wangu kisa kizima akanilaumu sana na kusema nilikosea kumwambia habari za kondom, ni kwamba mademu wa huku zenji wamefundishwa kwenye maadili yao kwamba wasitumie condom ni dhambi, tangu siku hiyo kila nikimgusia kumgegeda hataki kabisaaaa...
 
Daah!! nimeumia sana kama vile imenitokea mimi.Jombaa yaani hata haukut*mba huyo mrembo!! Inauma sana!!
 
Mzee wa Pink Pussy
 
Infact,
Umezingua wew huyo tayari nyege zake ziko hivo ...nilishakuwa na demu wa hivo mkoa fulani nilipiga mashine akawa anavibrate tu mwishowe kazimaaa kama nusu saa nikajua nimeau...ila mwisho wa siku alinisimulia baada ya pale kuwa ni nyege zake ziko hivo alielewa nilivo na show zangu.
 
akyanani imeniuma sanaaa😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣🤣daaaaahh pole sanaaaa huyo papuchi hatakupa maisha yake yote
 
Mungu alikuepusha na magonjwa bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…