Niuzie hiyo tablet mzee
 
Badilisheni na mwaka inaonekana imepostiwa 2014 wakati ni mwaka Jana au juzi Kama sikosei .
 
mwaka 2020 november
huwa kuna sehemu napiga bia kila nikitoka job naenda apo napiga bia kazaa nasepa
sema apo wanakaga wazee wenye heshima zao na watu wazima mana miziki na mambo yanayo zungumzwa apo
ni kiutu uzima huwa hakuna umbea wala maneno
sasa huwa kila nikifika pale ninao wakuta nazingusha round au naweka kreti mezani tunapiga na wazee
manaa hawana papara unywaji wao ni taratibu hawana ulimbukeni na bia wala nni wala hawana shida ndogo ndgogo
main point
alikuja jamaa na mkee wake huwa wanakuja mara kwa mara wananikuta au nawakuja
sikuiyo nikawakuta kama kawaida nikaweka kreti mezani tukawa tunapiga vitu ado ado
mkojo wa bia ukanibana nikazunguka uwani kwenda kukojoa ile narudi mkee wajama nae anakuja uwani
ile napishana nae tu akanishikA mkono akasema naujumbe wako usiondoke nipe alert kabla ujaondoka
bhasi mzee nikarudi mezaa kuuu vitu tukaendelea kupiga na story za aina mbali mbali
mwenye mkee akaanza kulegea mana vitu viliongezzwa jamaa akanza kulewa basi mkee wake akasema
ampeleke jama nyumbani mara moja akapumzike
hao wakasepa mi natamaki mbona kasema nisubirie anaujumbe wangu vipi tena
nikasemapoa nikaendelea kula gambe maraaa paaaah
naonagari iyo inapaki cha mtuu huliwa na watu mkee wa mtuu karudi kasema kaakikisha mzee kalala hawezi pombe atasumbua
bhasi adisi adisi weee mkee wa mtuu anajua ninapo fanya kzi akasema mkaa na shida na kazini kwenu naomba no yako kama waweza nisaidia kutatua tatizo nikampa no tukaendelea na story tuu na bia zinanywea
mara paaah sms hiyo tangulia mbele ukifika sehemu flani nisubiri tuongeee
mi nikaaga wazee naenda kulala nikaita bodaboda geresha nikapanda nikashukia mbile kama hatua 30 ivi nikatulia
dakika 15 gari iyo nikaingia kwenye gari mkee wa mtuu anauliza unaishi wapi nikupeleke kwako nataka nipajue
bhasi tukaongozanaaa mara kajisemesha mwenyewe unajua sijavaa chupi hapaa oooooo nikaona mbonaa pepo lememuingia mwenye mapepo

huku kule kaegesha gari pembeni bhasi firauni akaanza kupiga matee mara mpakata mbasi akakalia mkuki uku naendesha gari yake ado ado tukafika home nikapiga kimoja kwenye gari
tukaingia ndani nikapiga shoo ya simba mbaya kabisa

saaa tisa akasepa kwakwe
WALIACHANA KWA MIEZI 4 NA ULI MTAA NILIAMA KABISA SEMABADO NIKIMTAKA ANAKUJA TENA AKIKIMBIA KABISA
ACHANA NA MASIHARA
 
Nikishaona mtu anasema mkoa X napoteza imani na story yake. JF ndio social network ambayo mtu hawezi kukujua unless utake mwenyewe kujukikana sio kama FB or Insta.... hata useme jina la mkoa uliopo hatuwezi kukufahamu hata kwa dawa.
 
Nikishaona mtu anasema mkoa X napoteza imani na story yake. JF ndio social network ambayo mtu hawezi kukujua unless utake mwenyewe kujukikana sio kama FB or Insta.... hata useme jina la mkoa uliopo hatuwezi kukufahamu hata kwa dawa.
Mimi huwa nawashangaa sana..hata akisema kata aliyopo bado hatuwezi kumjua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…