Ulishawahi kula tunda kwa mbinde kiugumu ugumu?

Sisi ambao hatuna papara na hayo makitu sijui uzi wetu utapandishwa lini.
 
Bado uko nae
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa ya wanaume tunaoish tz.... wote tulipaswa kuwa nyuma ya bars ...cause wote tumeshawahi KUBAKA....kwa mujibu wa sheria za nchi
 
Kuna demu alikuja getto,ile ilikuwa mbinde kweli.Alinivalia chupi 3 na tight 2.Halafu alivaa hii misuruali yao ya jeans.Ilikuwa nikisanga na aliniambia hataki nimguse hiyo siku cha ajabu alikubali kuja getto.Cha ajabu baada mikiki mikiki na kufanikiwa kusaula michupi yote na mitight,na kula mzigo et ananishukuru baada ya show.Dah nipo kwenye foleni hapa ila nikisa cha aina yake sitasahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hizi mada hamjui Kama zinawaathiri vipi watu na kuwaangusha

Wengine ndo huja na majuto sijui ya kuuza mechi

NGONO SIO OXYGEN...TUPUNGUZE KUTUKUZA NGONO,TUPAZE SAUTI KUTANGAZA ATHARI ZA NGONO PIA

Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha uzi wa Ukimwi uone kama watu watajaa kama kule kwa masihara
 
Vurumaia la maana mpaka kufanikiwa kukuna kipele.

miaka kadhaa nyuma nikiwa chuo kaskazin pande flan. nilikuwa nakaa gheto na masela wa kutosha na vyumba juu haina ceiling board (sing bord). basi full miziki, movie na makelele za masela utulivu zero ukiwa room.

kusikia zile kelele °za °°° ilikuwa kawaida wahuni hawajali hata kidogo..........


mda mwingi nikawa nashinda kwa mwamba mabondeni uko, angalau utulivu 98 percent. kimbembe kilianza mama mwenye nyumba akawa anielewi mara anite mwizi, mara ataki kuniona, mara mchafu basi balaa zito kweli kweli. muuno na hesabu kama zote kumkomesha.

nikapoint mtoto wake mmoja na nikaaapa lazima agegedwe kwa namna yeyote ile, ma_enginear atuwazi kufeli swala mda mtu.

mpango wa kwanza mazoe ya awali......

(1) nikatafuta namba ya mtoto, nikabadili tabia na mwonekano kwa 98% nikapanga room kwenye nyumba iyo iyo. fully proud and trick. nikawa mnyenyekevu na wa kujali sana mpaka mwenyewe nikawa siamini. alinikubali mama mwenye nyumba, wapangaji na wengine nikawa mfano. nikiwa zamu hamna kuyumba full kudeki full usafi... ata ungekuwa wewe ungenipa sifa tatu tu. mkweli, muadilifu na mwenye kujituma. first trick was over.

(2) mtongozo wa kustukiza.

mtoto aged kama 21 ivi, hawa wasumbufu sana kwenye kuelewa. nikampa mistari mikavu, migumu na kuntu. nikijua lazima achomoe tu. show inaanza anajibu majibu ya kikomando kama kilaza unabadili njia "anajibu mimi sio msaliti, niliyenae ninayempenda. najua unapenda mtu mwaminifu na anayekupenda, nina sifa izo ila kwa xxx (anataja jina la mpenzi wake)

natamani niandike ila kuandika ndo majanga.... nitaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…