Ulishawahi kula tunda kwa mbinde kiugumu ugumu?

Ulishawahi kula tunda kwa mbinde kiugumu ugumu?

basi bana siku zikawa zinaenda. mdo mdo mazoea napewa eartime kama zote na mimi sikutaka kufanya makosa.

day amekuja gheto tukapiga story nyingi sana... nikampikia chakula kitamu sana ( mimi mpishi mzuri kidogo). amekuta gheto smart akuamini hataaa. nilikwepa sana story za mapenzi na kumtongoza. ( akili kichwani) last nikamsindikiza akasepa.


baada ya kufika kwao ndo nampigia simu namwambia leo ninepata wasaa angalau wa kukuona na kusikia vizuri sauti yako. wewe ni mzuri, mzuri balaa. unamaanisha unacho ongea. sifa kama milioin moja zote za kwake.


nikipata mda nitaendelea..... ( kuandika majanga sanaaaa jamani)
Mkuu ukuje umalizie
 
Screenshot_20250103_103831_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom