Ulishawahi kula tunda kwa mbinde kiugumu ugumu?

Vurumaia la maana mpaka kufanikiwa kukuna kipele.

miaka kadhaa nyuma nikiwa chuo kaskazin pande flan. nilikuwa nakaa gheto na masela wa kutosha na vyumba juu haina ceiling board (sing bord). basi full miziki, movie na makelele za masela utulivu zero ukiwa room.

kusikia zile kelele °za °°° ilikuwa kawaida wahuni hawajali hata kidogo..........


mda mwingi nikawa nashinda kwa mwamba mabondeni uko, angalau utulivu 98 percent. kimbembe kilianza mama mwenye nyumba akawa anielewi mara anite mwizi, mara ataki kuniona, mara mchafu basi balaa zito kweli kweli. muuno na hesabu kama zote kumkomesha.

nikapoint mtoto wake mmoja na nikaaapa lazima agegedwe kwa namna yeyote ile, ma_enginear atuwazi kufeli swala mda mtu.

mpango wa kwanza mazoe ya awali......

(1) nikatafuta namba ya mtoto, nikabadili tabia na mwonekano kwa 98% nikapanga room kwenye nyumba iyo iyo. fully proud and trick. nikawa mnyenyekevu na wa kujali sana mpaka mwenyewe nikawa siamini. alinikubali mama mwenye nyumba, wapangaji na wengine nikawa mfano. nikiwa zamu hamna kuyumba full kudeki full usafi... ata ungekuwa wewe ungenipa sifa tatu tu. mkweli, muadilifu na mwenye kujituma. first trick was over.

(2) mtongozo wa kustukiza.

mtoto aged kama 21 ivi, hawa wasumbufu sana kwenye kuelewa. nikampa mistari mikavu, migumu na kuntu. nikijua lazima achomoe tu. show inaanza anajibu majibu ya kikomando kama kilaza unabadili njia "anajibu mimi sio msaliti, niliyenae ninayempenda. najua unapenda mtu mwaminifu na anayekupenda, nina sifa izo ila kwa xxx (anataja jina la mpenzi wake)

natamani niandike ila kuandika ndo majanga.... nitaende
 

Endeleza simulizi injinia
 
inaendelea hapa chini👇👇👇👇
 
basi bana majibu yake ya kishujaa " kwamba ana mpenzi anampenda na awezi kuwa msaliti"

muuni nikawa na furahia sanaaa. i am master, triking in tricks "kichwa changu kiliwaza ivyo"

(3) ujenzia wa imani aminifu ( genius trick )
yale majibu yake ya kishujaa yaliongeza ukaribu sana mimi yeye, nilisifia sana kwamba jamaa kapata dem mwaminifu, na bahati iyo ingekuwa yangu ningejihisi nipo peponi na malaika.

mara nyingi alikisikia maneno haya kutoka kwangu ' wewe ni special, achilia mbali sura, umbo, macho na sauti nzurii mungu alokujalia... .. Bado una sifa ya kipekee. uaminifu wa dhati. " your too beautifully my dear, natamani sana nikwambie mengi nashindwa na maneno ila kaa ukijua. chakula kitamu chenye harufu nzurii uvutia sana walaji. ila haooo walaji sifa zao nyingiiii........ kama itatokea siku ukajua kuwa mimi nakupenda kwa dhati karibu katika mikono yangu. nikwambie tu ukweli nenda ishi alafu olewa na uzalishwe na uzeeshwe. ila ukija kwangu ukaniambia inanipenda nitakuona mpya, wa thamani na hadhi hii. mi naamini nimekutana na mtu mwenye mapenzi ya kweli na mwema kwangu. ila pia najua mapenzi ya kweli yana changamoto sanaaa. wewe ni wake, ila wewe ni wangu kwenye imani yangu.... kuna siku tutadhililisha haya maneno hata ikipita miaka mia kuanzia leo.

"kwa kifupi alipata maneno mengi sana" muuni nilijitapa na kujipa sifa kibao.

(4) friendpower

nikatafuta marafiki zake wa kike wawili na nikawazoea kwa haraka'lengo lilikuwa kufanya upelelezi ya uyo jamaa yupoje anaependwa, ili nipate mbinu ya kuangusha mbuyu kwa kiwembe"


kweli bwana nilipata sifa kadhaaa za mchizi na nikaona naziweza. pia marafiki zake wakawa mdomo wangu wa pili... na nii ichonga bala bala midomo kufikisha ujumbe wangu adi wakawa wanaona wivu " nikastuka" ila nikafanya kama sijui kinachoendelea sauti yangu ikawa ndani ya midomo yao. akili kidogo tu.... hahahahahah
 
inaendelea hapa 👇👇👇👇
basi bana siku zikawa zinaenda. mdo mdo mazoea napewa eartime kama zote na mimi sikutaka kufanya makosa.

day amekuja gheto tukapiga story nyingi sana... nikampikia chakula kitamu sana ( mimi mpishi mzuri kidogo). amekuta gheto smart akuamini hataaa. nilikwepa sana story za mapenzi na kumtongoza. ( akili kichwani) last nikamsindikiza akasepa.


baada ya kufika kwao ndo nampigia simu namwambia leo ninepata wasaa angalau wa kukuona na kusikia vizuri sauti yako. wewe ni mzuri, mzuri balaa. unamaanisha unacho ongea. sifa kama milioin moja zote za kwake.


nikipata mda nitaendelea..... ( kuandika majanga sanaaaa jamani)
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Daaaaahh baharia una moyo sanaaa mm uvumilivu huu sina japo nina story moja kama hii nkipata tym ntashare na mabaharia wenzangu humu
 
Hehehe ndo dawa yao iyo mzee me walinisumbua sana back then
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…