Bahati tuSikutia neno mie kwenye ule uzi
[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Walianza story kwenye uzi wa mtu..
Walikula ban zaidi ya watu saba kwa mpigo
Shemeji mbona unalazimisha kutambulishwa?
Mbona naona ostadh swalehe na ngabu in one post!! Whats happening!!Mod siku hizi hata hawaeleweki mkuu, ukishangaa shangaa tu uko ban.
Niaje lakini?
HahahaHaha haya master.
Mod siku hizi hata hawaeleweki mkuu, ukishangaa shangaa tu uko ban.
Niaje lakini?
Huko kuniona veepeeHahaha
Nakuonaa nakuonaaa
Asalaam[emoji28][emoji28][emoji28]
Ndo ivo mamy[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe ndio sababu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shemeji mbona unalazimisha kutambulishwa?
Umelikimbia jiwe ama neneHuko kuniona veepee
Asalaam
Kwema tu!
Conference finals msimu huu hazina mvuto kabisa yaani.
So najikuta sina la kufanya na leo nimeamua niende ziwani huko nikapunge upepo na huyu bi mdogo wangu Kisura.
Nazisubiri kwa hamu sana finals....
Nilitaka kutoa ya moyoni ila kumbe jiwe la wengine sio la kwetu bwanaUmelikimbia jiwe ama nene
Mbona naona ostadh swalehe na ngabu in one post!! Whats happening!!
Wacha waisomee namba eeeee,nawasage ramiiiiiii.CCM mbele kwa mbeleeeeee.Bado tu una chuki baada ya kuuimba wimbo kimoyomoyo au umepunguza kidogo?We ukishakuwa CCM tu nakujua sikujui mi sikupendi
Umemwona Ngabu au avatar yake!