Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Binafsi sijawahi kumchukia mtu.Naamini katika kukubaliana kutokukubaliana.
 
umeongea point. kuna baadhi yao humu. naona wanakuwaga na chuki na wenzao. unaweza mquote akakujibu shit balaa
Ni akili za wale wanaokuja kwa kuamini wana JF wote wawe na mtazamo au mitazamo kama ya kwao tu.
 
Mara nyingi chuki huambatana na WIVU.Sasa unapomchukia mtu ambae hata hujamuona ni dalili ya kupungukiwa na baadhi ya vitu vinavyokamilisha kichwa cha mwanadamu
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Kwenye dunia ya Mola chuki ya nini????!

Kiukweli kuna watu wenye majibu mabaya mnoo, wanakera sana lakini ndivyo walivyo. Hatuwezi fanana wote...

Hakuna sababu ya kuchukiana, mie ukiniudhi wala sina muda wa kushindana huwa nauleft uzi tuu maana hamna namna ingine
Jambo jema pia kujiepusha na tofauti na quarrel zisizo na sababu.
 
Sio fair....
Kama vijana tuna safar ndefu sana.Mitandao ya kama hii ni sehemu moja nzuri sana kupata mambo mbali mbali ya kimaendeleo,kisiasa na hata kufurahisha.
Yote yatakwenda sambamba kama kutakuwa na umoja,mshikamamo na kuheshimiana pia.
Exposure
 
Sijawahi na sidhani kama itatokea.

Nachojua tunatofautiana tu mitazamo na shughuli yote huishia hapa. Hata mtu aniudhi kiasi gani, nabakia kujua kuwa hatujakubaliana mahali.

Baada ya hapo sina hata muda wa kumuwaza. Nikienda kwenye thread nyingine nikamuona kaandika hoja yenye mashiko, nampatia like ya nguvu as if sijakwaruzana naye.

Haijatokea na wala haitatokea.
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi ulio wazi.
 
Kwangu ngum ila kuna id moja anajiita LIDAKU naichukia sijui bado yupo
 
Back
Top Bottom