Ngabu is be ubiquitous....some see him in their dreams...some in their dinner plates...others in their daily imaginations...heck, some even think they are him!
Mkuu mimi huo wimbo ninao nikiona watu wamenalalamika wale wa CCM mimi naufungulia halafu naanza kuperuzi nyuzi za JFWacha waisomee namba eeeee,nawasage ramiiiiiii.CCM mbele kwa mbeleeeeee.Bado tu una chuki baada ya kuuimba wimbo kimoyomoyo au umepunguza kidogo?
[emoji15] [emoji15] Punguza uoga ikibainika hivyo tutaishia hapo hapo. [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nimeshtuka habari ya wewe kufahamiana na shemeji yangu espy, nikasema kuna umuhimu wa kutambulishana isijekuwa wewe na mimi ni ndugu, ila kama ni ndugu ijulikane mapema kabla hakijaharibika kitu.
[emoji57] [emoji57] [emoji57]Umemwona Ngabu au avatar yake!
Asante kwa Promo.Mkuu mimi huo wimbo ninao nikiona watu wamenalalamika wale wa CCM mimi naufungulia halafu naanza kuperuzi nyuzi za JF
Mmmmmh!!Umemwona Ngabu au avatar yake!
[emoji15] [emoji15] Punguza uoga ikibainika hivyo tutaishia hapo hapo. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwema tu!
Conference finals msimu huu hazina mvuto kabisa yaani.
So najikuta sina la kufanya na leo nimeamua niende ziwani huko nikapunge upepo na huyu bi mdogo wangu Kisura.
Nazisubiri kwa hamu sana finals....
Mzeya we muhaya nn
Mimi ni Mhaya, Mnyalu, Mgwalu...you name it...I am.
Mimi wakinikashifu au wakinitukana ndio nazidi kuwapenda...yaani roho inasuuzikaaa [emoji23]Mambozzz
.
Ivi ulishawahi kumchukia members yeyote wa jf. Kutokana na mijadala,mabishano yanayoendelea humu.mimi binafsi sijawahi mchukia members yoyote humu jf. Hata anikashifu vipi.
Ila.
Naam, Na huo ndio UKRISTO.Sijawahi na sidhani kama itatokea.
Nachojua tunatofautiana tu mitazamo na shughuli yote huishia hapa. Hata mtu aniudhi kiasi gani, nabakia kujua kuwa hatujakubaliana mahali.
Baada ya hapo sina hata muda wa kumuwaza. Nikienda kwenye thread nyingine nikamuona kaandika hoja yenye mashiko, nampatia like ya nguvu as if sijakwaruzana naye.
Haijatokea na wala haitatokea.
WeeeNilitaka kutoa ya moyoni ila kumbe jiwe la wengine sio la kwetu bwana
[emoji16][emoji16][emoji124] [emoji124]Weee
Usijiamini saaana, huwezi jua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha! Hata kama yale mambo tayari kweli!
Bora nijue kabla.
Mi bado nakupenda hata ukinichukia uniuwe tu.Jf kila mtu msafi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]