Ila pacha hebu hakikisha kwanza mbona kuna sehemu nimeona comment yake moja nikapata shaka na jinsia yake.pacha ni vizuri kutumia fursa vizuri zinapojitokeza[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Good..hapana Dada hiko ni kitengo chetu wote
Wewe si ndo sudi mwenyewe au...hapana Dada hiko ni kitengo chetu wote
MmmmhNi shunie
[emoji2] [emoji2] [emoji2] naongea na simu bamdogo ila sio weweKwani mamdogo unaongea na simu au namimi? Mbona umechanganya nafsi hapo umeweka nafsi zote tatu wakati....
Ukimchukia unajipa jakamoyo lisilo na maana yoyote! Huwezi kumpangia mtu anachokiwaza hivyo tupendane kwa ajili ya AllahKwa maana hiyo nyie wote mlio comment hapa hakuna hata mmoja anaemchukia huyu dada anejiita "cocochanel"?
Acheni unafiki nyie....!!
Hata hii thread nayo imeletwa kinafiki.
Makonda oyeeee [emoji2]Kwa maana hiyo nyie wote mlio comment hapa hakuna hata mmoja anaemchukia huyu dada anejiita "cocochanel"?
Acheni unafiki nyie....!!
Hata hii thread nayo imeletwa kinafiki.
Yaani umemchukia mpaka umemsahau????!Binafsi humu jf nishawahi kumchukia jamaa mmoja alikuwa anasuport zile sera za kina David Cameroon ..
Ila nishamsahau sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Daby weka umri wako hapo kama hujaniamkiaAtajulia wapi wakati unapenda kujikuza ili ulingane na mimi
hahahh sijikuzi tena bamdogoAtajulia wapi wakati unapenda kujikuza ili ulingane na mimi
Nakuonaa nakuonaaaMakonda oyeeee [emoji2]
nilikua naumwa mpenziSijambo mbon umeadimika hivyo
Anaitwa somebody MEKIYaani umemchukia mpaka umemsahau????!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hiyo inaitwa "Jaza ujazwe"[emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] Mzee hajambo, na Namshukuru M/Mungu wiki mbili hizi tulianza mazoezi ya Gym kuimarisha nyonga mambo yalikwenda vizuri maana mpaka sasa naweza sema amepona kwa kiasi kikubwa
Hahaha... sio wewe nilimaanisha shunie [emoji16][emoji16]. Eti nikuamkie mimi mkubwa mkubwa wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] Daby weka umri wako hapo kama hujaniamkia