Nilimpenda yule kaka jamani nikiwa hata sijui anafananaje, nikiona ki-msg chake tu moyo wangu kwaatu naachia tabasamu mwanana, I'm thankful hata baada ya kufahamu sura yake halisi nashukuru sikujutia, We still good..!
yote mema..!!
Asante sana. Usimcheleweshe sana aje alike comment yangu tu nipate kuponaAnakuja mkuu kama.alikuwa hajui kakuwa
Kweli mapenzi upofu,kwahyo hata kwa picha hukumfahamu?[emoji28]
Mimi yupo nitamtaja baadae ,nadhani akisoma hii thread atajijuwa.
Niliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana aseeTatizo huwa wengi wanatengeneza image ya mtu, sifa, morphology na hata tabia na sura hahahah mkikutana sasa.
Thank you so much mkuu, nakukubali pia 🥰🥰
Jamani😀😀Niliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana asee
Babe safari hii nisipokuacha sijui, ahadi ya IST new model hutaki kunipa hadi sasa so sielewii 😀Jamani huyu @financial services naomba mumuache
Mtaupasua moyo wangu jaman[emoji848][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Huku jaribu ku-approach ?