Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,

Awe mkweli tu kwamba hana bando la kuingia huko manake tiktok sio kama whatsap ambayo MB 200 unaweza kushinda online siku nzima
 
Habari za wakati huu wakuu.

Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa JF kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.

Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.

Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.

Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.

Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa. Na naomba usione soo mama njoo PM niambie nitakupokea kwa mikono miwili. Huwezi juwa huwenda mimi ndo fungu lako!

Au nasema uongo ndugu zangu?

Itoshe kusema mapenzi ni ugonjwa wa akili.
 
Ubaya ni pale unapomcrush mtu kumbe ni mzee😹
Kuna umri ukifika inabidi uwaachie vijana. Wewe mzee upo facebook, Tiktok, Jamii forum n.k tena unabishana na vijana kwenye mada ambazo hazina maana lazima utakanwe. Mzee naye anachangia kwenye kula tunda kimasihara lazima utukanwe tu
Ukishakuwa mzee hata muziki unabadilsha, siyo unasikiliza muziki wa singeli, mbuzi kagoma, unaangalia movie wanabusiana, zile za kitoto n.k haifai.
Unatakiwa usome habari za kukujenga zile habari maalumu kwa mfano suala la DP, unafuatilia watu wanasema nini, masuala ya dini n.k
 
Kuna umri ukifika inabidi uwaachie vijana. Wewe mzee upo facebook, Tiktok, Jamii forum n.k tena unabishana na vijana kwenye mada ambazo hazina maana lazima utakanwe. Mzee naye anachangia kwenye kula tunda kimasihara lazima utukanwe tu
Ukishakuwa mzee hata muziki unabadilsha, siyo unasikiliza muziki wa singeli, mbuzi kagoma, unaangalia movie wanabusiana, zile za kitoto n.k haifai.
Unatakiwa usome habari za kukujenga zile habari maalumu kwa mfano suala la DP, unafuatilia watu wanasema nini, masuala ya dini n.k
Kwahyo mimi ni mzee au sijakuelewa?
 
Kwa kuonesha hivi bado TikTok haijafikia hadhi ya YouTube. Nikiingia Youtube, nikiandika kichwa cha habari, naletewa video nyingi sana ambazo nachagua ninayotaka tena kutoka kwa watu tofauti tofauti.
Kwenye TikTok, unaweza kupata videos za kujifunza coding na programming, ingawa si kama vile unavyoweza kupata kwenye YouTube ambapo ni jukwaa lenye mkusanyiko mkubwa. TikTok ni zaidi ya jukwaa la burudani watu wanaweka video fupi zenye maudhui mbalimbali.

Hata hivyo, kuna watumiaji wa TikTok ambao hujitolea kuweka video za kujifunza, kama coding na programming. Wanaweza kuonyesha vidokezo, mifano ya namna ya kuandika program, nk. Unaweza kutafuta kwa maneno kama "coding," "programming," au "tech tutorials" kwenye TikTok ili kuzipata, sijamaanisha kwwamba ni huyo m1 tu.

TikTok sio jukwaa maalum kwa mafunzo ya kina na marefu kama YouTube. YouTube bado itabaki kuwa bora zaidi. Kwenye YouTube, unaweza kupata video ndefu kwenye mada husika.

Ingawa TikTok inaweza kuwa chanzo cha maelezo mafupi na vidokezo kuhusu coding na programming, ni vizuri kutumia vyanzo vingine kama vile YouTube, social media platforms, vitabu, na mafunzo ya kina ili kujifunza vizuri na kupata uelewa wa kina zaidi katika uwanja huo. Na kama you are obsessed na TikTok, kuna watu creative ambao ni programmers wanaweza kukuispire kwa wanayoweza yafanya for fun, ama maisha yao.

Sio kila muda unatakiwa kuwanga serious tu😉, sometimes refresh. Hata hapa Jf kila mtu ni follower wa Jukwaa analolitaka, unapotaka kila mahali pafanane ndo hapo kwa nini wewe upo Jf, jf unaweza jifunza vitu ulivyovisema? Kwa nini haupo Reddit, Stack Exchange, Quora, GitHub, Dev.to, nk ambazo ni forums zenye deep knowledge.

Kawaida yangu huwa sijifunzi kutoka kwa mtu mmoja
Unaweza badili hili from personwise to sourcewise na kupata taste kubwa zaodi. At the end sio kila anachopenda mwingine, na wewe ukipende.
 
Habari za wakati huu wakuu.

Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa JF kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.

Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.

Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.

Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.

Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa. Na naomba usione soo mama njoo PM niambie nitakupokea kwa mikono miwili. Huwezi juwa huwenda mimi ndo fungu lako!

Au nasema uongo ndugu zangu?

Aisee! Kuna dada alikuwa anaitwa Miss Chaga sjui yuko wapi? Sjui anafananaje lkn mpaka leo namuwaza....popote ulipo jua Nakupenda na Mungu akutunze
 
Back
Top Bottom