Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Wakuu,

Kuna binti mmoja wa TikTok, ni mzuri sana.

Yani nikikutana na video au picture yake hisia zinanipanda hadi utosini.

Ni yule binti ambaye mwili wake ni kama nywila ya kufuli zangu za hisia

Imebidi hadi ni uninstall TikTok kwa ajili yake
Hivi mwanaume mzima mwenye majukumu unapataje muda wa Tik tok, isitoshe DP world wameshikilia bandari zote afu mpuuzi utosi wako unauumiza kwa mtoto anaekiuza mtandaoni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
TikTok ni ya mademu. Wewe umefuata nin huko? ndiyo tatizo limeanzia hapo
Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,
 
Kumbe kuna wanaume na ndevu zao nao wapo huko sijui TikTok?
Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,
 
Hivi mwanaume mzima mwenye majukumu unapataje muda wa Tik tok, isitoshe DP world wameshikilia bandari zote afu mpuuzi utosi wako unauumiza kwa mtoto anaekiuza mtandaoni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ticktock ni zaid ya JF mara100 kule kuna habari za kila aina itategemea wew umemfollow nan, kule si sawa na huku eti ukigusia baadhi ya mambo sababu watu fulan hawapendi uyazungumzie basi wanakulamba bann, kule hata hiyo DP world imeelezewa vzr na wasomi maana kule hakuna upuuzi wa kuzuiwa kutoa maoni yanayokinzana na wanasiasa wapuuzi.

Kule si sawa na hizi social nets tunazopewa limitation ya mambo ya kuyagusia.

Nenda kajifunze usiwe kilaza, waTZ wengi wanapenda umbea na upuuzi ndiomaana wanachafua hata Image ya vitu vya msingi, msiwafollow mashoga na vilaza wanaonengua makalio kule, kuna Accounts za maana ukiingia utajifunza mengi ambayo kiuhalisia huyajui na hutowai kuyajua
 
Sio kwamba nakutusi Ila lazima niulize tu ,
Hv wazazi au ndugu nyumbani ww ndio tegemeo au Kuna mwingine ?? Sababu Kama ni ww naona wakiuma mbao kwa muda .
Yaani Dem tu mtandaoni anakupa hisia ,hapa nashuku hata nyeto akitingisha unachua tu.
Tafuta Hela tu hayo mengine mbona mteremko yatajileta tu , Ila bila mkwanja utabaki kutizama wazee wazima tukimgegeda tu kimsikhara pale Kilimanjaro hotel posta .
Kwani hapo mtandaoni unahisi anajitangazia nani na hicho kiuono Kama sio wazee na hela ze2.
Kwanza ngoja nimcheki dm ,akituma namba tu ,millioni nshamrushia , Baki ukivuta hisia na nyeto tu ,vijana bana kazi ipo
 
Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,
1. Nipe link ambayo nitajifunza kutengeneza website
2. Nipe link ya kujifunza Python
Tuanzie hapo kwanza
 
Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,
Mpaka sasa haujanipa jibu. Umedhihirisha kuwa TikTok ni mtandao wa mademu na watu ambao hawana kazi za kufanya mitandaoni. Nilipakua TikTok, video nilizokutana nazo, ilibidi nifute muda huo huo. Kama hauna mambo ya kufanya, Tiktok ni nzuri sana
TikTok ni mtandao wa kuweka status za whatsApp tu
 
Kama ni wale wa kumwg viuno nusu uchi kaa kiplan Halloo ,,

Kuna mashkaji alipigwa tukio la Masada marefu
 
Nonsense, hiyo mindset mnayo wabongo zaid.

Aliyewaaminisha Ticktock mtandao wa madem ni nan?

Yaan kitu hukijui lkn unakitolea maoni.

Nikueleze kiufupi tu, tictock ni mtandao wa kijamii kama ilivyo wasap, insta, lkn huko kumebase zaidi ktk jumbe za video na sio maandishi, pia huko unapewa kile unachokitaka, kulingana na uliyemfollow.

Tatu kule ndiko kuna uhuru wa hali ya juu wa habari na maoni ndiomaana Taifa la USA lilitaka kuupiga Bann mtandao huo maana unavujisha taarifa zao pia uko wazi sana hauna ile ficha ficha na kuwazuia watu kupata habar pia kutoa maoni kwa baadhi ya mambo ambayo wanasiasa hawataki raia wayapinge.

Huko ndiko kuna uhuru wakupata habari ambazo hutowai zipata mahala popote maana zimefukiwa na kuna baadhi ya media huzificha kwa maslahi yao, pia huko huko ndiko liliko chimbo la baadhi ya wasanii kujiinua na kujitangaza, pia huko ndiko burudani ya kweli inapatikana ,

Sasa watu wataachaje kuitumia?, wabongo wengi ni Vilaza hampendi kuchunguza mambo mnaamini fasta ktk ujinga, wadada wengi kwakuwa ni vilaza basi wanautumia huo mtandao kwa kufanyia ukilaza wao na ninyi wachache mmeamini huko kuna ukilaza?

Njoo nikupe link za mambo ukajifunze ambayo najua huyajui na bila huko hutowai yajua kamwe[emoji16].

There's free right to talk there, free mind,
Umemaliza au unaendelea?

Kama umemaliza,haya nenda huko TikTok ukajibinue.
 
Back
Top Bottom