Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Utaendelea bila shida
 
Leo nimeona nikoment baada ya kuufuatilia huu uzi kwa muda mrefu. Binafsi huwa silazimishi hata baada ya kumbembeleza mwanamke. Nina kawaida ya kudharau na kuacha after a certain level of inducement. Ishanitokea zaidi ya mara tatu na wote baadae (siku tofauti) wakajilengesha tena wenyewe bila kuombwa tukayamaliza kwa furaha na kuridhishana vizuri.
Kuna huyu mmoja nitasimulia ilivyokuwa coz tulikuwa tunapendana sana na tunafanya foreplays mpaka tunakuwa hoi but when it came to "I want to feel myself inside of you" anagoma
 
Mkuu unavidole vyote lakini ? Au vimekatwa kwa nini usitumie ata kidole chako kimoja cha mkono ,kupiga nyuzi za gitaa mbona mziki angeucheza tu hasa kama unajua kucheza na santuri vizuri.
 
Mkuu hivi unajua miili ya wazungu ni tofauti na yetu ivi ulishawah mwona kuku wa kisasa anapenda ngono ? Ila jogoo la kienyeji moto wake upoje?
 
Hatunaga huo muda
 
Nilikua mdogo ndio Kwanza nimemaliza form 4,mdada mtu mzima kanielewa,mara ya Kwanza home kwao hakuna mtu,tupo sebuleni tunataka kuanza tu,,mdogo wake wa miaka Kama mitano hivi kaingia,,nilichukiaaaaa...mara ya pili jioni chumba ambacho hakuna anaeingia na umeme ulikatika,Dada yake kaja haha Kama alisikia mtu anaongea stoo..sijabahatika Hadi leo kumla,alikua mtoto wa maza house
 
Mtafute huyo mkuu ummege acha uzembe haha
 
dah umenikumbusha,demu kaja geto anaanza kulia eti anasema sikuja kwa mambo ayo kuforce mwishowe akataka kutoka nje usiku,
nikaona nimuache tu,akaniambia next time atakuja rasmi ndio ikawa chenga mpaka leo.
Duh [emoji3] changa la macho hilo, mtafute huyo umle usiache iende
 
Hii ni mbaya, kuna mtu ilimuumiza kisaikilojia hadi akataka kujiua.

Alimkataa jamaa aliyekuwa anamtongoza, jamaa alibembeleza miezi sita ndo demu akakubali, siku ya kumla, alipomvua nguo akamchungulia kila kitu, ndo akaghairi kumla.

Akasema ulikuwa unanisumbua nini miezi yote kumbe huna cha ajabu, upo tu kawaida kama watu wengine, nishakuona so navaa naondoka. Demu alitaka kujiua.
Huo ndio hua tunauita uzumbukuku
Yani sijui nakubaka sijui nakufanya nini?
Ila binafsi ipo siku ntakuja kukuchezea ukiwa tayari kuwekwa dudu nakupotezea navaa nakuacha hapo
 
Papuchi za zamani inasemekana zilikuwa tamu sana, kuliko za sikuhizi sijui ni kweli.
 
Au ulikuwa Unamaanisha demu kazaliwa mwaka 2000?
 
Kuna watu huwa nawaheshimu hata ngono siwawazii kabisa, urafiki ni muhimu kuliko hicho kitu, shida nyie hutaka papuchi tu
Mwanaume kamili ni kutaka kula papuchi, vinginevyo ana matatizo, akatibiwe haraka kabla mambo hayajaharibika.
 
Huyo alikuwa anajiuza, kwa malipo ya simu.
 
Lipia tangazo, unatamba kuwa una dudu kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…