Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Imeshawahi kunitokea sema baadae nikajuaga ni muathirika na yeye mwenyewe akaniambiaga ,nikashukuru japo kabla nilikua naona demu anazingua kuna kipindi nilitakaga kufosi kabisa ila alichomoa, sahv yangekua mengine
Ogopa sana ukiona demu anakomaa kukukatalia hlf hakupi sababu ya msingi wengi wao ndo wapo ivo. usifosi eti kwa kuwa una nyege mshindo utakuja kujuta maisha yote.
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
 
Mwaka fulani Niko chuo nikafahamiana na mdada mmoja wa kutoka morogoro ana shepu matata Sura sio Sana ila kilichonivutia zaidi ni ngozi yake laini mwili wake laini na mikono yake midogo flani hv na laini ambapo huo ndo ugonjwa wangu

Na infact yeye ndio alianziasha mazoea na Mimi baada ya kua tunakutana mahali na Mimi kuonekana Niko kimya Sana (ingawa ndio Tabia yangu hua nacheka na kuongea Sana Kwa wale niliozoeana nao sana) baada ya kuzoea Nikawa namtania tunapiga story anaenjoy huku nikimvutia timing ya kumuimbisha ingawa na yeye wkt Fulani alionesha kuelewa

Baada ya muda Nikawa nimemtongoza Kwa ishara aliashiria kukubali ingawa ilikua ngumu kuonesha waziwazi kidume nikawaza nakulaje tunda lake.... As tulivyokua tunaendelea akawa analeta Sana stroy za ndoa mara anitumie clip za harusi nyimbo za harusi nisikilize....na Mimi time hiyo nilikua sina hizo guts

Siku moja nikamualika and geto akaitikia mualiko ingawa alinambia anawahi discussion nikasema just normal akaja nikaishia kushika mikono na mapaja yaliyo kwenye nguo tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Mara ya pili akaja tena nikaishia kuhusu shavu na kupapasa mwili uliojazwa nguo Kama magamba ya mgomba tu pamoja na juhudi zote nilizofanya

Mara ya tatu nikiwa na matumaini makubwa Sana ya Kula tunda ilikua jumapili dem kaja geto akaanza pika akiwa anapika akawa ananiita tupike wote hapa na pale nikaanza kumbatia Kwa nyumb huku anapika nikaanza ona kwamba mambo tayariiii baada ya hapo juhudi zote nikafanya kila mbinu niliyotumia Kula madem waliokuja geto fanya kila Aina ya mbinu lakini dem hachangamki ingawa kiss na hugging anakubali tukaishia Kula pilau yetu na nyama ya kuku na Pepsi big moja akasepa [emoji23][emoji23][emoji23] Ila nilikuja kumla vizuri Tu Kwa hiari yake alipokaribia kumaliza chuo coz alikua mwaka mmoja mbele yangu

Mpaka Leo ni mmoja ya wachumba wangu Yuko interesteA d Sana na ndoa huyo
A very happy ending
 
Yeye ndo alilia mana alivyoning'ata meno niliambatanisha na tukio lakunifukuza kama m mbwa na kunisukuma nikapasuka basi nikamchukia mazima ko ht baadae alihitaji ukaribu nikamzingua. Nikawa nawaza kama kanipasua, na amening'ta mena si kuna siku nitampa denda aning'ate ulimi kibisa
Ubaki na kipisi cha ulimi 🤣🤣🤣
 
Kama kuna mtu wa 80's kurudi nyuma akaingiza demu geto na akashindwa kula papuchi mara mbili na anaunga mkono huu uzi, jipige kifua mara 3 na sema "mimi ni fala" 🤣🤣🤣
 
Nilihisi ni mimi tu. Ofcourse zaidi ya madem watatu wamewahi nichezea haka kamchezo. Ngoja leo nishushe ya mmoja kwanza.

Ilkuwa tupo chuo mwaka wa kwanza. So kwenye zile group discussion tukawa saba mabaharia 4 na madem 3 .

Lilikuwa group flani lakibabe mana wale wanaume tulokuwepo tulikuwa sirious sana na shule ukizangitia wawili walikuwa watuwazima wenye familia na mwingne alikuwa kwenye mahusiano yanayofahamika na kila mtu ko me ndo nilihesebika single .

Sasa picha linaanza kipindi cha field katika wale wadada wa3 kuna mmoja tukapangiwa nae mkoa mmoja office moja. Sa ile office hawakuwa na shobo na wageni design kama walitutenga flani. Ko yule dada me ndo kampani yake muda wote. Wakati mwingne kwangu akawa anakuja namimi kwake naenda muda wote so ikawa ishazoeleka hata kwa wenye nyumba wetu mana hata kazi baadhi tulikuwa tunakutana kuzifanya kwa pamoja.

Siku moja nipo ndani kwake Jini mahaba likapanda nikaanza kumuona mzuri kuliko siku zote. Nikawa namuangalia mara nyingi tena kwa kumkodolea mimacho kwa muda mrefu. Mara nikashindwa kujizuwia palikuwa na kimvua kinanyesha so akawa katoka nje kukinga maji akarudi kaloa ile gauni limenatana na mwili apo ndo kanichanganya kabisaaaaa. Nilirusha pc mezani nikamfata nikamkumbatia kwa nguvu nikaanza kumpelekea ulimi akakataa nikimgusa anaruka, duh! Akanibadirikia ghafra akawa mbogo akanifukuza kwake kama mbuzi huku akiniita malaya, mshenzi, mwanaharam, shetani nk. Mwanaume nilidharirika na ile mvua ikabidi niende kwangu kinyonge huku nanyeshewa.

Kesho yake tukakutana job akanichunia nikawa najishoboshekasha ili nimrejeshe kwenye mood ila kakaza. Iliniuma sana wakuu ikabidi nimuombe radhi akanambia nisirudie yeye ni kama dada yangu na mazoea yasizidi.

Siku nyingine akanikuta geto nime rest nina stress zangu akaanza kunisemesha me namjibu mikato. Akaja nilipo lala akaanza kuongea kwa sauti ya kunibembeleza " Dogo (alikuwa anapenda kuniita Dogo) mbona upo iv leo" sasa kutokana na nilichokuwa nawaza nikawa na huzuni nikajaribu ku relate na yeye so nikajitolesha chozi, apo ndo nikazidi kumchanganya ikabidi asogee karibu yangu zaidi akaanza nionea huruma akinibembeleza huku mikono yake akinishika shavuni akinifuta machozi. Basi nilijitoa akili tena nikaa sogeza mdomo hadi kwenye midomo yake round hii akapokea nikanyonya kidogo mara ghafra aka change Alikuwa na nguvu yule dada alinisukumizia mlangoni nikajigonga kwenye kitasa cha mlango nikapasuka juu ya jicho kidogo but damu zikawa zinatoka nyingi. Lile demu lina roho ngumu sijawahi ona, likasepa huku likisema ndo ukome na kuniacha na madamu yangu yakinitoka. Hakuishia apo akampigia simu sister akamshatakia (hichi ndicho kilichonikera zaidi ukizingatia masister ndo msada mkubwa kwangu afu tunaheshimiana afu mtu ananichafua) basi apo ndo nilipogundua kuwa huyu si mtu mzuri. Na Mimi nikajikata kwanza kesho yake ilikuwa j3 sijaenda ofsin, j4 na j5 pia sijaenda (ukizingatia tulikuwa tushafanyiwa assessment, akawa ana ulizwa sana kazini kuhusu Mimi anakosa majibu. Akashindwa kunitafta akamtafuta rafiki yangu., akamuuliza kuhusu mimi huyo rafiki yangu akamuwashia Moto balaa akamwambia "yani mtu umemuumiza umeshindwa kumsaidia hata kumjulia hali? Na umeona haitoshi umeenda mbali zaidi umemchomea hadi kwa ndugu sehem anapotegemea, mbona unaroho mbaya hivo " . Dem yalimgusa sana yale maneno . Kesho yake (Alhamis) nikaingia ofsin nilikuwa nimeshonwa nyuzi mbili ile sehem nilipopasuka. Akawa ananitazama ananionea huruma kila akijaribu kujikaribisha kwangu namkataa nikajitenga nae. Ilimuuma sana akawa ananitext sijibu, akijiandikisha vikaratasi akimpa Mtu aniletee nisome ninavichana hata kabda sijasoma. Usiku akampigia sister simu akamwambia ameshikwa na ugonjwa ghafra ananipigia simu sipokei na hana msada mwingne zaidi yangu ule mkoa, sister akanipigia nikaenda fasta kwa heshima ya sister namkuta analia ile naingia ndani kwake akanikumbatia huku akilia kwa kwikwi kana kwamba ashalia muda mrefu hadi sauti imekata. Alinikumbatia kama dakika 10 huku akilia tu bila kusema chochote. Aliponyamanza akanipa pole huku akipashika pale palipochanika, akaanza kunibembeleza nimsamehe akanambia hata yeye ananipenda sema haelewi kwanini ananifanyia yale. Mwanaume nikaona ni golden chance nikamlaza kitandani nikimpa ulimi ananipa ushirikiano but nikimshika mwili ananizuwia na mikono. Nikatumia ubabe nikavua gauni nikavuta "taiti" nakuta bado ana chuu××× sasa kimbembe kikawa kuitoa ile pichu sasa. Nikafosi kuivuta aiseeeee nilipigwa meno hayo.! Na dushe likapoa ghafra nililia sana nisidangnye mana yale meno hayakuwa ya nchi hii (alikuwa kama anatafuna muwa). Kuanzia apo mpaka tunarudi chuo sikukanyaga kwake na siku yakuondoka sikumtaarifu. Tulivyoonana chuo akamuhathia rafiki yake kila kitu yule rafiki yake ndo akanifata akanambia kuwa yule dem bado bikraa ko nimsamehe. Nilimsamehe tukawa wadhikaji ila nikamuacha kabisa mpaka sasa ni mke wa R t o mmoja mkoa flani .
Meno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Bora ww iyo, mm nilikutana na demu mkali kinyama years back na kila napotaka kula tunda anazingua eti kwamba mpaka nikajitambulishe kwao dah ilinivunja moyo sana na isitoshe haikuwa ishu ila sasa ishu ni kwamba yeye tayari anamtoto na mm ni kati ya wale wanaume ambao haijalishi uzuri wa mwanamke as long as anamtoto bhas game over kwenye serious relationship. Ili bidi kupotezea tu, huwa wana watu wao wanao wafaa, kila mtu mzeebaba
Narudi

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ulizingua yani wewe ulishusha bendera nusu mlingoti badala ya kuipeperusha uimbe mwimbo pendwa wa taifa
 
Umeandika ukweli Sasa hapo akikufanya kwa nguvu ukaenda police ni anaozea jela
Sasa kuna wale wasichana wa kwetu, umkute tohara ishatembea sasa.

Wanaume tunafundishwa mbinu mujarabu za 'kuwapandisha nzuka', ni kumkamata kwa nguvu ama kumpiga vibao vya kigomvi ndiyo utakuta hisia zake zinampanda analegea.

Mademu yenye nguvu utakuta linakuburuza mieleka ya adabu hadi unalia poo na kuliacha likisepa zake.

Ni mchezo wa kinyama ambao kwa mtu uliyestaarabika wala hauwezi thubutu kuufanya.
 
Hii Hali ikitokea 2008, nipo shule hapo, alikuja Dem geto, nikang'anana naye Nile mbususu, Ile kugusa mapaja yeye kavua Pichu, kimbulula changu( rashidi upara wa moto)kimekasirika nikakielekeza Ili kiingie tunduni nikachanua, hakupenda! Sikuja kumwona tena!!!! Ikatokea mara nyingi dem anakuja geto , tunakaaa nikijaribu kula tunda anazuia kuvua Pichu, yule dada alikuwa anakaza mbaya 2010, 2011, sikuingiza hata kidole tunduni...utoto ulikuwa mwingi..nahisi pia madem WA miaka hiyo walikuwa na UWEZO WA kukaza Pichu na usiwavue, akibana paja hutanui mguu baba. Ukijumuisha na utoto huambulii!!!!! WENGI MPAKA WALIFIKA MASHORII WATATU!! Sikuambulia kitu!! Ila 2007 nilipata joto ya Sega Kwa kuongoza mguu wa wangu wa 3 kunako mzinga , nikapata Raha sana! 2009, Kuna Dem nilikuwa naloanisha kichwa upara kila weekend ila Hawa wengine naaambulia patupu!!!!! 2010 vile vile! Ila yalikuwa MAPITO MAGUM KWA KWELI. WENGINE WAMENILAUMU WHY SIKUWACHANUA MASEGA YAO MAANA WALIKUWA TAYARI ILA NIKAZINGUA!!!!
 
Back
Top Bottom