Mzee Saliboko JF-Expert Member Joined Jan 29, 2018 Posts 1,311 Reaction score 1,018 Feb 26, 2024 #1 Ulishawahi kupita maeneo au umekaa sehemu ukaona kitu kizuri kinauzwa ukawaza kumnunulia mtu kama zawadi ukaghairi au ukakosa mtu wa kumnunulia. Mie imewahi nikaamua tu kuacha kwakuwa mtu mwenyewe kuja kwangu mpaka abembelezwe.
Ulishawahi kupita maeneo au umekaa sehemu ukaona kitu kizuri kinauzwa ukawaza kumnunulia mtu kama zawadi ukaghairi au ukakosa mtu wa kumnunulia. Mie imewahi nikaamua tu kuacha kwakuwa mtu mwenyewe kuja kwangu mpaka abembelezwe.
MENEMENE TEKERI NA PERESI JF-Expert Member Joined Mar 11, 2022 Posts 5,392 Reaction score 14,646 Feb 28, 2024 #2 Ngono itatuuwa watanzania .
Mzee Saliboko JF-Expert Member Joined Jan 29, 2018 Posts 1,311 Reaction score 1,018 Feb 29, 2024 Thread starter #3 MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Ngono itatuuwa watanzania . Click to expand... Mbona kila muda unawza hicho tu
MENEMENE TEKERI NA PERESI said: Ngono itatuuwa watanzania . Click to expand... Mbona kila muda unawza hicho tu