Ulishawahi kuona nyumba iliyokufanya uhisi yako ni kama banda tu?

Ulishawahi kuona nyumba iliyokufanya uhisi yako ni kama banda tu?

Wakati huku Afrika hiyo ni nyumba ya kifhahari, Warren Buffett anajigamba kuishi kwenye nyumba ya kawaida kwa miaka zaidi ya arobaini. Ndiyo hiyo hapo.
 

Attachments

  • Warren_Buffett_House_inside(360p).mp4
    3.1 MB
Oregon nchini Marekani
 

Attachments

  • Oregon_s_Top_Luxury_Waterfront_Dream_Home_-_1500_Northshore_Rd,_Lake_Oswego_OR_97034(240p).mp4
    8 MB
Ni Marekani, lakini naamini kule Kinondoni jijini Dar kuna mijengo mikali zaidi ya huu hapa.
 

Attachments

  • Stunning_3_Bedroom_Luxury_Apartment,_Stanmore,_Harrow,_London,_England(240p).mp4
    12.8 MB
London
 

Attachments

  • £28.5m_Primrose_Hill_Luxury_London_Mansion___UK_House_Tour___Property_London(133).mp4
    10.9 MB
Ni halali yake kuitwa nyumba ya kifahari!
 

Attachments

  • Luxurious_waterfront_house_on_the_Oregon_coast(360p).mp4
    8.6 MB
Dah uwa inauma .
Back in days nilikuwa nikipita mitaa ya Keko na mburahati huko sijui chang'ombe nilikuwa nakutana na mabanda ya kuku basi nikawa Nampa heshima mshua kwa kujenga mjengo wa maana hivyo nikawa navimba .

Miaka ya karibuni nilialikwa na rafiki yangu Fulani huko Mbweni kwenye kijiparty nikaenda aisee kwanza nilijisikia vibaya sana kujua kuwa mbali na umri huu bado nilikuwa najisifia kwa Mali za urithi Ila Kuna vijana rika langu Wana mijumba ya maana ,nilishinda bila Raha Ila usiku wake nikilewa sna kuondoa hasira na hapo nikaapa nitaacha hata kunywa pombe mpaka na Mimi niwe na nyumba nzuri Kama ya rafiki yangu .

Ila siku ya pili nikasahau kila kitu na maisha yanaendelea Ila nimeamua kutomtembelea mtu yeyote anayenizidi umri Wala cheo maana sipendi stress kabisa .

Hivyo nitaendelea kwenda mitaa ya wanyonge wangu wa chang'ombe ,Keko na mburahati waniogope Mimi mtoto wa masaki
 
Apongezwe aliyeidesign au anayeimiliki?
 

Attachments

  • 5_Bedroom,_4.5_Bathroom_Home_w__Mirrored_Backsplash___New_House_Tour(240p).mp4
    19.7 MB
Sijafika Ikulu lakini nahisi mijengo yake haitofautiani sana na huu!
 

Attachments

  • Inside_£7M_Surrey_Mansion_in_Cobham,_England,_UK___Residential_Market_Property_Tours(240p).mp4
    6.6 MB
Dah uwa inauma .
Back in days nilikuwa nikipita mitaa ya Keko na mburahati huko sijui chang'ombe nilikuwa nakutana na mabanda ya kuku basi nikawa Nampa heshima mshua kwa kujenga mjengo wa maana hivyo nikawa navimba .

Miaka ya karibuni nilialikwa na rafiki yangu Fulani huko Mbweni kwenye kijiparty nikaenda aisee kwanza nilijisikia vibaya sana kujua kuwa mbali na umri huu bado nilikuwa najisifia kwa Mali za urithi Ila Kuna vijana rika langu Wana mijumba ya maana ,nilishinda bila Raha Ila usiku wake nikilewa sna kuondoa hasira na hapo nikaapa nitaacha hata kunywa pombe mpaka na Mimi niwe na nyumba nzuri Kama ya rafiki yangu .

Ila siku ya pili nikasahau kila kitu na maisha yanaendelea Ila nimeamua kutomtembelea mtu yeyote anayenizidi umri Wala cheo maana sipendi stress kabisa .

Hivyo nitaendelea kwenda mitaa ya wanyonge wangu wa chang'ombe ,Keko na mburahati waniogope Mimi mtoto wa masaki
Badili mtazamo bro, hii yako ni HUSDA wivu mbaya..... Kama hauna husda hauwezi jisikia hivyo.

Furahia hatua za wenzio, wapongeze ukipenda huku nawe unajipambania kuwafikia au kuwakaribia tu.
 
Dah uwa inauma .
Back in days nilikuwa nikipita mitaa ya Keko na mburahati huko sijui chang'ombe nilikuwa nakutana na mabanda ya kuku basi nikawa Nampa heshima mshua kwa kujenga mjengo wa maana hivyo nikawa navimba .

Miaka ya karibuni nilialikwa na rafiki yangu Fulani huko Mbweni kwenye kijiparty nikaenda aisee kwanza nilijisikia vibaya sana kujua kuwa mbali na umri huu bado nilikuwa najisifia kwa Mali za urithi Ila Kuna vijana rika langu Wana mijumba ya maana ,nilishinda bila Raha Ila usiku wake nikilewa sna kuondoa hasira na hapo nikaapa nitaacha hata kunywa pombe mpaka na Mimi niwe na nyumba nzuri Kama ya rafiki yangu .

Ila siku ya pili nikasahau kila kitu na maisha yanaendelea Ila nimeamua kutomtembelea mtu yeyote anayenizidi umri Wala cheo maana sipendi stress kabisa .

Hivyo nitaendelea kwenda mitaa ya wanyonge wangu wa chang'ombe ,Keko na mburahati waniogope Mimi mtoto wa masaki
1. Jiondoe kwenye kundi la wanyonge hata kama kila mtu anakuona ni mnyonge!

2. Epuka kujilinganisha na watu wengine. Mashindano pekee sahihi ni ya kushindana na nafasi yako

3. Jiwekee malengo. Jenga taswira kamili akilini mwako ya unachotaka kufikia na upambane uyafikie

4. Kuwa huru kuwa karibu na watu waliokuzidi kipato. Usijione mnyonge. Ukaribu wako na wao ukuhamasishe kupiga hatua na si kukunyong'onyesha

5. Kwa kila hatua ya mafanikio utakayofikia, mshukuru Mungu kisha "ujizawadie"
 
Back
Top Bottom