Ulishawahi kupekua mkoba wa mpenzi wako? Ulikuta nini cha kushangaza?

Ulishawahi kupekua mkoba wa mpenzi wako? Ulikuta nini cha kushangaza?

Kwenye harakati za maisha ya mahusiano kuna watu tunaona mambo ambayo huwa yanatustaajabisha sana, vile hatusimulii hadharani tu.
Niliwahi kupekua mkoba wa manz angu mmoja nikakuta pingu, niliufunga kwa kasi ya SGR.
Nilikuta mkwasa na ashua mbili 🤣katokanaZo kweny sherehe ya wamasai
 
Back
Top Bottom