Ulishawahi kuposti picha yako halisi katika mtandao kimakosa?

Mimi nawekaga avatar zangu Mara nyingi japo naficha sura na kwenye Uzi wangu wangu mmoja huwaga najipost japo nakata sura. Sina cha kuogopa kiviiile sema kuna maneno naandikaga nasema Mara boss wangu kayasoma halafu Ndo ajue ni Mimi
Kwa hiyo hili figa amazing ni lako kabisa
 
avatar yangu ya zamani niliweka mkono wangu mtu wangu wa karibu akagundua maana alishaona hiyo picha. nashangaa tu natumiwa screenshot ya profile naulizwa na wewe umeanza mambo ya JF.
 
E bhana ilishawahi mtokea mdau wangu, ilikuwa FB na alikuwa amempanga mwanadada mmoja full uongo, cku hiyo mwana dada ndio akamuuliza kuna picha huku naiona ni ya nan? Mchizi kuichek ni yake, hahahah........!
 
E bhana ilishawahi mtokea mdau wangu, ilikuwa FB na alikuwa amempanga mwanadada mmoja full uongo, cku hiyo mwana dada ndio akamuuliza kuna picha huku naiona ni ya nan? Mchizi kuichek ni yake, hahahah........!
Nadhani palikuwa patamu kinoma, alafu ukute jirani umepiga sound za uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…